Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Hahahahaha lol! Mzima weye!? Vipi weekend unakaangiza nini!? Kama samaki wa kukaanga na ugali nije kudowea.

Ngoja niandae materials ya darasa la namna ya kuandika gazeti. Sawa mrembo!?

Asipokuelewa kwa ulichoandika basi ana lake jambo.

Ila BAK inabidi na Emmy umfundishe kuandika gazeti sababu sio kwa gazeti hili. Lol
 
This counts 5% only of the total jf population, hata hivyo nimeandika katika exceptional paradigm.
 
Haihusu kitu kukutana na mtu kisha kuja kumnanga humu. Watanzania tubadilike!!! Kabla hujafa hujaumbika KAMWE tusifanye dharau dhidi ya wale waliopigika kimaisha. Ukijaaliwa basi ni kumshukuru Mwenyezi Mungu badala ya kufanya dhihaka dhidi ya wale wanaotaabika kimaisha.

Yani hao anaowataja wanaigiza maisha ni wale aliokutana nao sababu kiuhalisia haiko hivyo humu.
Tuseme sample yake ikafikia kuhitimisha hivyo ni wale aliohakiki wanaishi fake kweli
 
Sawa BAK
 
Kabisa yaani kuna watu wanasifa hizo za kujikweza haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…