Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Yani hao anaowataja wanaigiza maisha ni wale aliokutana nao sababu kiuhalisia haiko hivyo humu.Sijaona alipoandika hivyo. Hebu niwekee hapa nami nionee.
Tuseme sample yake ikafikia kuhitimisha hivyo ni wale aliohakiki wanaishi fake kweli