Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

Hahahahaha lol! Mzima weye!? Vipi weekend unakaangiza nini!? Kama samaki wa kukaanga na ugali nije kudowea.

Ngoja niandae materials ya darasa la namna ya kuandika gazeti. Sawa mrembo!?

Asipokuelewa kwa ulichoandika basi ana lake jambo.

Ila BAK inabidi na Emmy umfundishe kuandika gazeti sababu sio kwa gazeti hili. Lol
 
Acheni kufuatilia maisha ya watu hayawahusu. Pambaneni na hali zenu. Si kila mtu humu ni muongo wa kujikweza. Niliobahatika kuwafahamu humu ni watu bomba sana na wengine wana maisha mazuri sana kwa kuchakarika kwao kwenye elimu na biashara.

Mbona kuna wengi humu wanakuja kuomba misaada ya aina mbali mbali na wanasaidiwa!? Mbona hao hamuwasemi!?

Mambo ya Ngoswe mwachieni Ngoswe. Si kila mtu humu ni muongo au mtu wa kujikweza wengi wako kimya mpaka mpate bahati ya kufahamiana kwa karibu.
This counts 5% only of the total jf population, hata hivyo nimeandika katika exceptional paradigm.
 
Haihusu kitu kukutana na mtu kisha kuja kumnanga humu. Watanzania tubadilike!!! Kabla hujafa hujaumbika KAMWE tusifanye dharau dhidi ya wale waliopigika kimaisha. Ukijaaliwa basi ni kumshukuru Mwenyezi Mungu badala ya kufanya dhihaka dhidi ya wale wanaotaabika kimaisha.

Yani hao anaowataja wanaigiza maisha ni wale aliokutana nao sababu kiuhalisia haiko hivyo humu.
Tuseme sample yake ikafikia kuhitimisha hivyo ni wale aliohakiki wanaishi fake kweli
 
Haihusu kitu kukutana na mtu kisha kuja kumnanga humu. Watanzania tubadilike!!! Kabla hujafa hujaumbika KAMWE tusifanye dharau dhidi ya wale waliopigika kimaisha. Ukijaaliwa basi ni kumshukuru Mwenyezi Mungu badala ya kufanya dhihaka dhidi ya wale wanaotaabika kimaisha.
Sawa BAK
 
Alichoshindwa kuelewa mtoa mada ni kwamba. Kwenye jamii yoyote hao aliowataja wapo. Wapo watu wana sifa zote humu alizozitaja na kweli ndo maisha yao halisi hawaigizi. Na wapo watu sio maisha yao wanaigiza. Kwenye mitandao yote tunao hao watu. Sio humu tu.
Kabisa yaani kuna watu wanasifa hizo za kujikweza haswaaa
 
Back
Top Bottom