Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums


Labda ituambie ndoto zako ni zipi?


Hakuna kitu kizuri kama kumtumia mtu aliyefanikiwa kama inspiration kwako,sidhani kama humu JF hamna mtu anayependa kuwa na Bakhresa.
 
Maada haina tatizo ila tatizo ni mleta uzi ndo nimejaribu kufikiria kuwa anatembelea jukwaa gani analo kutana na haya majigambo ya watu
 
Labda kwa baadhi ya watu lakini nafikiri wengi wao wanaweka ukweli na uhalisia wao.
Kila mtu utamjua kwa mchango wake humu na sio kila mtu anaonyesha utajiri wake kwenye forbes kama kina Gates wengine wapo hawaongei kabisa lakini utakuta kwenye misaada wanachangia haswa.
Wapo wanaokebehi na kuweka utani ili maisha yaende
 
hahahahahahahaha..............
hahahahahqhahahaja..

nimecheka sana kwenye kundi la kwanza namba 4.
 
Safi sana, askirimu zinafaida nzuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…