min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kuna watu humu wanasimulia vita vya urusi na Ukraine experience sijui wanatoa wap.kama hujaoa wewe experience ya ndoa umeipata wapi???
Kama unavyosema MAISHA YA NDOA
sometime utumie akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu humu wanasimulia vita vya urusi na Ukraine experience sijui wanatoa wap.kama hujaoa wewe experience ya ndoa umeipata wapi???
Kama unavyosema MAISHA YA NDOA
sometime utumie akili
ndio, kama nitakua karibu na eneo la tukio lakiniUtatoa mchang
Ukiwa ukiwa rusha🤔🤔🤔🤔ndio, kama nitakua karibu na eneo la tukio lakini
nikiwa arusha sio??Ukiwa ukiwa rusha🤔🤔🤔🤔
Ndionikiwa arusha sio??
naweza hata nkawa dar, inategemea utafanyia wapi na ntakua wapiNdio
Most mbeyanaweza hata nkawa dar, inategemea utafanyia wapi na ntakua wapi
mbeya, moro, dar, arusha...pote machimbo yangu mbona😂Most mbeya
Utapewa kadi ya.mchngmbeya, moro, dar, arusha...pote machimbo yangu mbona😂
[emoji38][emoji38] unatakiwa uwahoji wakuelezee kwa kina maana wengi unakuta wanasimulia uongoKuna watu humu wanasimulia vita vya urusi na Ukraine experience sijui wanatoa wap.
Karibu sana mdogo wetuAhahah soon mimi nataman kuoa sna sna leo kesho
Au basi nishaelewa😊🙈Wapi ujaelewa mkuu
Au basi nitakuoa wewAu basi nishaelewa😊🙈
Mbona umeenda mbali sana😃😃😃Au basi nitakuoa wew
Wengine humu ni mawakili mkuu. Hawajaoa/kuolewa lakini wanasikiliza sana migogoro ya ndoa inayowahusu wateja wao.kama hujaoa wewe experience ya ndoa umeipata wapi???
Kama unavyosema MAISHA YA NDOA
sometime utumie akili
Si tuna elewana ww umeelewa na mm nime elewaMbona umeenda mbali sana😃😃😃
Kwakweli ndoa maelewano🤣🤣🤣🤣Si tuna elewana ww umeelewa na mm nime elewa
Mtajie kabisa ni wat gani hasa wanasikiliza kesi za ndoaWengine humu ni mawakili mkuu. Hawajaoa/kuolewa lakini wanasikiliza sana migogoro ya ndoa inayowahusu wateja wao.
Na kumbuka kwamba ukienda kwa Wakili ni lazima umwambie ukweli ili akusaidie. So Mawakili tuna siri nzito ingawa baadhi yetu hatumo ndoani.
Hasa tukielewanaKwakweli ndoa maelewano🤣🤣🤣🤣
Ni kweli 😊🙌Hasa tukielewana