Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Achana NDOA na kabisa 🤓🤓🤓🤓🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sikati mkuu umeongea point... lakini uyo dogo sio wakili vidole vyake vimemuwasha tu kaamua kuanzisha thread.Wengine humu ni mawakili mkuu. Hawajaoa/kuolewa lakini wanasikiliza sana migogoro ya ndoa inayowahusu wateja wao.
Na kumbuka kwamba ukienda kwa Wakili ni lazima umwambie ukweli ili akusaidie. So Mawakili tuna siri nzito ingawa baadhi yetu hatumo ndoani.
Mimi sio wakili ila ni mmoja wa wahusika wanao sikiliza sana kes za ndoa child protectionNi kweli sikati mkuu umeongea point... lakini uyo dogo sio wakili vidole vyake vimemuwasha tu kaamua kuanzisha thread.
[emoji3][emoji3]Ni kweli sikati mkuu umeongea point... lakini uyo dogo sio wakili vidole vyake vimemuwasha tu kaamua kuanzisha thread.
MawakiliMtajie kabisa ni wat gani hasa wanasikiliza kesi za ndoa
Ila hao wote n last choice baaada ya ustawi wa jamii kushindwa kupata suruhu ndio shaur linapewa referralMawakili
Mahakimu
Majaji
Maafisa Ustawi wa Jamii n.k
Ingawa kwa upande wa Majaji wengi wao wamo ndoani, ingawa wapo ambao wameachana na wenza wao pia.
Ww hujui kusomaMaisha ya ndoa yamefanyaje...!!???
🤓🤓🤓
Najibu according na heading yako ..Ww hujui kusoma
Unaongeleaje Ndoa na Hayuwahi IngiaBado navuta mda nawaangalia rafiki zangu tu
Mod ndio wamelekibisha headingNajibu according na heading yako ..
🤓🤓🤓🤓🤓
Umechukua hatua gani baada ya kutopenda?Unaongeleaje Ndoa na Hayuwahi Ingia
Au Shobo Sijapenda
Pia inahitajika aikilNoted ndoa haina marking scheme.
Mungu Huwa haweki wakorofi wawili pamoja labda ujiongeze.Hapa nakaziaaaa,mama yangu alikuwa anamheshim Sana baba yangu,nami nimeiga lkn rfk yngu mama yake alikuwa anamdharau baba take nae kaiga anamdharau mmewe,Sasa mmewe mnyakyusa jmn anapigwaaa mpk KERO Ila yule dada kujirekebisha kashindwa kbisa
ni kweli, kama mama anaishi hovyo na mume wake watoto wanakopi. Kama mama ni single mother wa kujitakia kuishi bila mume hata watoto wake nao wataishi maisha yaoNdoa ni photocopy jinsi kila mmoja alivyomuona baba na mama yake walivyoishi,so usioe bila kuchunguza asili yao.
Wanakuwa katika the same spiritni kweli, kama mama anaishi hovyo na mume wake watoto wanakopi. Kama mama ni single mother wa kujitakia kuishi bila mume hata watoto wake nao wataishi maisha yao
SEMA yule dada Ana asili ya wehu....kutoka hataki,kutii hataki anaishia kupigwa km mbwa mwiziMungu Huwa haweki wakorofi wawili pamoja labda ujiongeze.
Mwanamke mkorofi unyooshwa na mwanamke primitives yule wa neno moja la pili ngumi,teke huyu ndie anaweza kata mdomo mchafu wa mke.