Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa


hiyo picha ya juu Osama bin Laden enzi za uhai wake

hiyo nyumba ya ghorofa ndio alikuwa anaishi Osama kabla ya hajakamatwa...
 
Mungu ametupa akili kwa ajili ya kufikiri na kupima mambo hiyo ndiyo tofauti yetu na wanyama.
Hivyo mimi kuuliza wewe, mpenzi msomaji, kwa msingi gani unaamini kweli kilichotokea? Kutoka Telegraph Uingereza: barua pepe walikuwa iliyotolewa na Pentagon baada ya uhuru wa habari ombi na Associated Press, lakini walikuwa sana redacted. Wao wazi kwamba mazishi ilikuwa hivyo siri kwamba hakuna hata mmoja wa wafanyakazi juu ya USS Carl Vinson alishuhudia mazishi katika bahari. Wao alithibitisha kile utawala alisema katika muda kwamba mila za Kiislamu walikuwa aliona.
Hakuna mashahidi, hakuna maiti, photos hakuna, hakuna rekodi redio, kuna chochote cha kuthibitisha hilo hasa kilichotokea. Hata barua iliyotajwa katika hadithi chini ya kubeba hakuna kuwaeleza ya jina la Osama Bin Laden,
Pentagon pia alisema hakuweza kupata yoyote cheti cha kifo, ripoti ya uchunguzi wa maiti au matokeo ya vipimo vya DNA kwa kitambulisho Bin Laden, au vifaa yoyote ya kabla ya uvamizi wa kujadili jinsi serikali ilipanga kuondoa mwili bin Laden kama yeye waliuawa.
Utawala wa Bush alituonyesha ushahidi wa Saddam Hussein na wanawe. Utawala wa Obama ina alituonyesha chochote. Kwa wote tunajua, wao wangeweza kuangalia sehemu ya Winnie ya Pooh-katika "chumba vita". Hii ni kwa nini shughuli mihuri na utambulisho wa familia wamekuwa kuathirika. Sasa kwa kuwa NTEB ni kuwasababishia ukweli, nini ijayo.
 
Mungu ametupa akili kwa ajili ya kufikiri hiyo ndiyo tofauti yetu sisi na wanyama, mwenye ufahamu ajisomee hii.

[h=2] Osama Bin Laden Pronounced Dead…For the Ninth Time[/h]
 
Mingu ametupa akili kwa ajili ya kufikili na kupima mambo hiyo ndiyo tofauti yetu na wanyama.
Ni kweli usemayo japokuwa umekosea kutamka lakini nimekuelewa...
Duh! hichi kiswahili ulichotumia sidhani hata kama wewe mwenyewe umejielewa, lakini nadhani utakuwa ume translate kutoka kingereza kwenda kiswahili inaweza kuwa kwenye google... kwa hiyo kwa kifupi hapo hujaeleweka
Hakuna mashahidi, hakuna maiti, photos hakuna, hakuna rekodi redio, kuna chochote cha kuthibitisha hilo hasa kilichotokea. Hata barua iliyotajwa katika hadithi chini ya kubeba hakuna kuwaeleza ya jina la Osama Bin Laden,
acha uongo.. hebu chukua hichi kipande hapa chini
Hebu soma hicho kiswahili umeelewa nini sasa hapo kwa kweli mimi hapo sijakuelewa nadhani pia na wewe hapo hujajielewa, unaweza nifafanulia zaidi... au ukaandika kwa uzuri zaidi na mimi bila ya hiyana nitakujibu tu...
Japokuwa kiswahili ni kibovu lakini nimekuelewa hebu angalia hapa chini ni kwanini hawaku expose mwili sababu ni hizi hapa chini zimetolewa
 
Mungu ametupa akili kwa ajili ya kufikiri hiyo ndiyo tofauti yetu sisi na wanyama, mwenye ufahamu ajisomee hii.

Osama Bin Laden Pronounced Dead…For the Ninth Time
Inaonekana unaamini labda Osama bado yupo au alifariki muda mrefu labda kwa maradhi ya figo sio kwa ile operation nadhani utakuwa unafikiri hivyo kati ya hayo mawili...
kwakua eti ameshatangazwa kwa mara tisa amekufa...
sasa ngoja nikuulize swali kwani Rais wa Marekani amekwisha tangaza mara ngapi Osama amekufa awe Bush au Obama?
Tafakari hilo maana kama unavyosema Mungu ametupa akili kwa ajili ya kufikiri, hebu itumie kweli kwa ajili ya kufikiri...
haya mwenye ufahamu ajisomee hii...
kwa bandiko hilo juu watu wako huko Pakistan wanaongelea hilo...
wewe ambaye upo hapo Kariakoo unapinga je tumwamini nani wewe wa kusikia kwenye vijiwe vya kahawa au tu search zaidi na kujenga hoja?
 

Teh teh teh, kwa hiyo mimi kuleta habari za kina Hamid Karzai, Pervez Musharraf, Fox News kuwa walitangaza Osama kaishakufa naonekana muongo wewe ndiyo mkweli na hizo copy and paste za kina Chuck Norris na Fred Wiliamson.

Hebu msome vizuri Mkuu kahtaan, ushauri wake.

Wewe unameza mazima hautaki hata kuishughulisha akili yako kuhoji hizo story za kina Rambo na John Travota.

Endelea kuamini unachoamini lakini unapopewa habari ambazo azikuvutii usiseme uongo au mwenzetu unafanya kazi CIA.
 
Last edited by a moderator:
Siyo mimi ninaye hoji ni Wamerekani wenyewe wanaihoji serikali yao kupitia "The Corbett report" pamoja na vyombo vyao vya habari.

Cha kuchekesha wewe ambaye upo Rombo hautaki kusikia hizo habari wewe umeganda na Pakistan kuwa Osama alikuwa anavaa kofia za cow boy kujificha, halafu nyumbani kwake alikuwa anashamba la mchicha teh teh teh.

FaizaFoxy.
 
Last edited by a moderator:
kwani hizo zote walizotangaza ipi ilithibitishwa na Rais wa USA? Opinion yako ni ipi? iwe story za kina Rambo au John Travota... Issue ni kwamba hayo mambo yametendeka...
 
sasa hizo story zingine unaongeza chumvi mimi nimeongelea mambo ya mchicha na wapi nimesema alikuwa anavaa cowboy akiwa nyumbani?
chukua hiyo hapo chini uendelee kuburudisha ubongo wako... sio kuburudisha na stori za kahawa tu pata na hizi
 
sasa hizo story zingine unaongeza chumvi mimi nimeongelea mambo ya mchicha na wapi nimesema alikuwa anavaa cowboy akiwa nyumbani?
chukua hiyo hapo chini uendelee kuburudisha ubongo wako... sio kuburudisha na stori za kahawa tu pata na hizi

Unadhani kuna mtu anapingana na haya masimulizi ya kina Willy Gamba na Elvis Musiba, tatizo upeo wa kupambanua mambo.
 
Unadhani kuna mtu anapingana na haya masimulizi ya kina Willy Gamba na Elvis Musiba, tatizo upeo wa kupambanua mambo.
Unafikiri kidogo na utabakia hivyo hivyo...
Tatizo wewe unaona kama riwaya...
No matter masimulizi ya kina Willy Gamba na Elvis Musiba, the issue ni kwamba mission has been accomplished successfully...

Basi na wewe na kupa wasaa wakuleta story za vijiwe vya kahawa tuzichambue hizo hizo sasa unadhani utafanyaje ndio ulizonazo hizo...

Lakini kama haupingani nazo ni vyema pia...
 

Unawafahamu hawa ma-prince wa Saudi Arabia
1. PrinceAhmed bin Salman bin Abdul Aziz
2. PrinceSultan bin Faisal bin Turki bin Abdallah al Saud
3. PrinceFahd bin Turki bin Saud al-kabir
Hawa wote ni watoto wa Mfalme wa Saudi Arabia ambaowalikufa ndani ya wiki moja miezi mine tokea kukamatwa kwa Abu Zubaydar. Wakwanza alikufa kwa heart Attack tar 22/7/2002. Wa pili alikufa kwa ajali yagari siku moja baada ya kufa wa kwanza tar 23/7/2002 akiwa anaenda kwenye msibawa prince Ahmed. Mwili wake ulikutwa kwenye ajali mkono ukiwa umenyoosha kidole kimeelekeamacca. Wa tatu alikufa jangwani akiwa amepotea na alikutwa amekufa kwa kiukaribu na gari alilokuwa nalo huku simu yake ikiwa inafanyakazi na ina networktar 30/7/2002. Zipo report nyingi kwenye mtandao lakini kuna moja ya pdfanayetaka aicheki imeandikwa{ (9/11: 3000 Americans for Three Saudi Princes)New details about the troubling omission of Saudi Arabia’s wealthy from 9/11commission Report}
 

Attachments


ok mkuu nimekuelewa ila samahani kama nimekukwaza ila hilo nililobold halikuwa lengo langu!! nimeshindwa kuendelea kusoma maana umeanza na mashambulizi wakati sikuwa na intention ya kuanzisha ubishi ila njilikuwa interested na report kama unadhani kuzificha hizo report na kuja na mutsari ndicho sahihi its ok! ila dont take it personal kila lakheri mkuu!!!
 
Hivi kule Mbagala Osama alikuwa anaishi maeneo gani kabla hajarudi Afghanistan?
 
Hivi kule Mbagala Osama alikuwa anaishi maeneo gani kabla hajarudi Afghanistan?
Osama hakuwahi kuishi Mbagala na haijawahi kuripotiwa kwamba aliwahi ishi Mbagala

Vinginevyo kama unayo report ya Osama kuishi Mbagala basi iweke pamoja na vithibitisho kabla hajarudi Afghanistan
 
sasa hizo story zingine unaongeza chumvi mimi nimeongelea mambo ya mchicha na wapi nimesema alikuwa anavaa cowboy akiwa nyumbani?
chukua hiyo hapo chini uendelee kuburudisha ubongo wako... sio kuburudisha na stori za kahawa tu pata na hizi

Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!
 
FUHRER hii makitu ndo bongo yangu inapenda sio story za kwenye gahawa, asante mkuu!
 
Last edited by a moderator:

sijaelewa chochote hapa
 
Osama hakuwahi kuishi Mbagala na haijawahi kuripotiwa kwamba aliwahi ishi Mbagala

Vinginevyo kama unayo report ya Osama kuishi Mbagala basi iweke pamoja na vithibitisho kabla hajarudi Afghanistan


Mkuu nilikuwa nafurahisha wana jamvini.
 
FUHRER hii makitu ndo bongo yangu inapenda sio story za kwenye gahawa, asante mkuu!

Sasa na we RealMan mi nilidhani jina lako linafanana na tabia zako!
Kumbe hamna lolote!
We mtu akuandikie alicho kiona kwenye gazeti la sani!
Halafu we unaskia raaaaaha!
Na kumsifia juu!

Be real ma man! For real!
Not following the croud!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…