Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

hata nikikuambia hautonisadiki...
utakuja na swali jingine unaweza kuniuliza nitajie majina ya walio kuwa kwenye msiba wake au utaniuliza alizikwa saa ngapi? au unaweza ukaniuliza hitma yake ilikuwa ni lini?
bwana Ritz unachekesha sana...
Siku zote watu wa magharibi huwa wanasema ukimiliki media unamilki na akili za watu hebu soma hii.
There are no witnesses, no dead body, no photos, no audio recordings, there is nothing to prove it actually happened. Even the emails mentioned in the story below bear no trace of the name of Osama Bin Laden, so any idea that they reference Bin Laden personally must be implied and inferred. Even the members of SEAL Team 6 who were talked about as being part of the Bin Laden raid, where are they? Oh, that's right, their chopper crashed shortly after the raid took place. How very convenient for the Obama administration.
So I ask you, dear reader, on what basis do you believe actually it happened?
From Telegraph UK: The emails were released by the Pentagon after a freedom of information request by the Associated Press, but were heavily redacted. They disclosed that the funeral was so secret that none of the crew on USS Carl Vinson witnessed the burial at sea. They confirmed what the administration said at the time that Islamic rituals were observed.
In an indication of the intense secrecy surrounding the operation, senior naval officers referred to the slain terror leaders's body was referred to as a FedEx package.

The correspondence represents the first public disclosure of government records about the former al Qaeda leader's burial. They were released on Wednesday by the Pentagon in response to a Freedom of Information Act request by The Associated Press.

One email stamped secret and sent on May 2 by a senior Navy officer briefly describes how bin Laden's body was washed, wrapped in a white sheet, and then placed in a weighted bag. According to another message from the Vinson's public affairs officer, only a small group of the ship's leadership was informed of the burial.
RELATED STORY: Benghazi Embassy 9/11 Attack Cover-up Threatens To Sink Obama White House
Bin Laden was killed on May 1, 2011, by a Navy SEAL team that assaulted his compound in Abbottabad, Pakistan. His body was carried out to sea by the USS Carl Vinson.
"Traditional procedures for Islamic burial was followed," the May 2 email from Rear Admiral Charles Gaouette reads. "The deceased's body was washed (ablution) then placed in a white sheet. The body was placed in a weighted bag.
"A military officer read prepared religious remarks, which were translated into Arabic by a native speaker. After the words were complete, the body was placed on a prepared flat board, tipped up, whereupon the deceased's body slid into the sea."
The email also included a cryptic reference to the intense secrecy surrounding the mission. "The paucity of documentary evidence in our possession is a reflection of the emphasis placed on operational security during the execution of this phase of the operation," Admiral Gaouette's message reads.
Recipients of the email included Admiral Mike Mullen, then the chairman of the Joint Chiefs of Staff, and General James Mattis, the top officer at US Central Command. Admiral Mullen retired from the military in September 2011.
 
inasemekana Osama alizikwa baharini na hata wavuvi hakuna aliyeona hilo tukio...

sasa unaponiuliza sehemu gani nashindwa kukujibu...

labda wewe unaweza kujua ni sehemu gani alizikwa yamkini unaweza kutupa maelezo wewe unafahamu kwani ni bahari sehemu gani?

kwasababu kuna story zilitoka tofauti na hiyo mimi naziita ni za uongo zinasema eti Osama alikufa muda mrefu wala sio kwa ile operation eti ni kwa ugonjwa...

Sasa swali linakuja mbona baada ya ile mission Al Zawahir ikatangazwa kuchukua nafasi ya Osama?

toa darsa kama unaujua ukweli zaidi...

CC: kahtaan
Mkuu wa chuo,

Wewe ndiyo umeandika kuwa kazikwa baharini mimi nimesoma mabandiko yako ndiyo maana nikajenga maswali wewe ndiyo umeyasema hayo.
inasemekana Osama alizikwa baharini na hata wavuvi hakuna aliyeona hilo tukio...

sasa unaponiuliza sehemu gani nashindwa kukujibu...
Sasa unapoleta jambo ukumbini si lazima huwe na ushahidi nalo utapoulizwa maswali.
labda wewe unaweza kujua ni sehemu gani alizikwa yamkini unaweza kutupa maelezo wewe unafahamu kwani ni bahari sehemu gani?
Mimi ninachojua baharini watu huwa hawazikwi.
kwasababu kuna story zilitoka tofauti na hiyo mimi naziita ni za uongo zinasema eti Osama alikufa muda mrefu wala sio kwa ile operation eti ni kwa ugonjwa...
Ni vizuri sasa wewe ukaja na story za ukweli kuhusu kifo cha Osama, tujifunze kutoka kwako.
Sasa swali linakuja mbona baada ya ile mission Al Zawahir ikatangazwa kuchukua nafasi ya Osama?
Nani alitangaza kuwa Ayman Mohammed Rabie al-Zawahiri kachukuwa nafasi ya Osama?

CC. kahtaan,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo unapo sikiliza habari ambayo huna ushahidi nayo basi kama una busara unaiacha kama ilivyo!
Sasa kama watu wamekupa habari pamoja na ushahidi wenyewe nitaachaje bila kuhoji bwana kahtaan?
Kwa mfano! Hii habari hapa ! Je wewe Mkuu wa chuo uko tayari kwenda mahakamani kutoa ushahidi kuwa wale wanajeshi walimuua yule usama!?!
Ushahidi upo kuna ushahidi wa vyombo vya habari vilivyotangaza na wewe una ushahidi gani kama hawakummuua? vinginevyo useme kama na mimi nilikuwepo nilishuhudia kwa macho on spot wakati operation inafanyika hapo sikushuhudia, lakini kama evidence zipo zimeletwa...
Unaweza kuleta opinion zako kutokana na kupima mambo kwa kutumia akili Mungu aliyo kupa!
Lkn sio uuite ushahidi!
ni kweli unavyosema na mimi ndicho ninachokifanya nipo na pima tukisaidiana na nyie pia... ili tuweze kufika hitimisho...
Kwa mfano, kwanza tunafahamu usama ni zao la Cia na American secret service na amefanya kazi na Cia kwa miaka kadhaa. Na kazi yake ilikuwa si mchezo! Mambo yalipo geuka baina ya pande hizo mbili (usama na americans
Huyu usama akageuka kuwa ni Number one most wanted man ktk Fbi na Cia na mataifa yoote ya magharibi!
hapo unaweza tupa darsa zaidi bwana kahtaan tutashukuru sana...
Leo hii auwawe kwa kupigwa risasi halafu kaburi lake liwekwe mafichoni!?
Na istoshe vyombo vya habari vimekata habari zake zoote!
nafikiri sababu zimewekwa wazi za kufanya hivyo, we ulitaka vyombo vya habari vifanyeje sasa kwa mfano je viwe vinatangaza sikuzote habari zake?
We hata machale hayakuchezi na ukajiuliza nini kinaendelea hapa!?
Machale yananicheza ndio maana tupo tunajaribu ku reasoning...
Basi tu kwasababu Cnn na Abc na Wale paka Fix(fox )news wamesema hivyo baaasi! Sisi huku kwa sababu km unavyosema tuko dunia ya kariakoo tukubali tu!
Sasa inabidi mpinge kwa sababu sio kwa kubisha tu mpinge mkiwa na sababu...
Alllaaa! Na sie tumeenda shule bwana!
Inabidi muonyeshe sasa hapa kwamba mmeenda shule...
Hawa si walisema wamekwenda mwezini miaka ya 60'
Mbona wametokea scientists kulipinga hilo na mpaka leo 2013 hawajaamua kuuonyesha ulimwengu wakatuma tena wale wanaojifanya kurukaruka kama ndege mwarabu! Angani!
Hao scientists ni wa wapi tunaomba darsa hapo kidogo, kumbe jamaa huwa wanarukaruka kama ndege Mwarabu?
Walikuja wakawaambia mababu zetu! "Fungeni macho tuombe" wazee maskini wakafunga!
mababu zenu wa wapi? basi walikuwa ni wajinga vinginevyo kama sijakuelewa..
Kuja kufungua! Hamadi! Wameondoka na dhahabu na almasi zoote!
Sisi wametuachia "andiko" na nyimbo kwa wingi!
hebu niambie hii migodi ya Almasi na Dhahabu imeanza lini? yaani juzi juzi watu wameshakuwa mababu kweli? Inamaana na Almasi na dhahabu zote wamemaliza, kwa hiyo hapo we ni full kuimba ma nyimbo tu?
Kwa kuwa na imani kama zako ndio maana hawa jamaa waliweza kutawala na kuwatumikisha ma babu zetu!
Leo tumeamka! Kama kuna habari inautata lzm tuulize!
Kunani paleee!?
kwani utata upo? ni kweli Osama bin Laden ameuawa hapo hakuna utata...
Kama alivyo elezea mkuu Ritz

Ni hayo tu Mkuu wa chuo.
Mbona Ritz bado sijamwelewa ameeleza nini?
 
did-obama-really-kill-osama-bin-laden-navy-seals.jpg

In an administration riddled by lies, scandal and massive cover-ups, is this the biggest lie ever told to the American people.
ni kina nani hao walio kushikia akili?
 
Mkuu wa chuo,

Wewe ndiyo umeandika kuwa kazikwa baharini mimi nimesoma mabandiko yako ndiyo maana nikajenga maswali wewe ndiyo umeyasema hayo.

Sasa unapoleta jambo ukumbini si lazima huwe na ushahidi nalo utapoulizwa maswali.

Mimi ninachojua baharini watu huwa hawazikwi.

Ni vizuri sasa wewe ukaja na story za ukweli kuhusu kifo cha Osama, tujifunze kutoka kwako.

Nani alitangaza kuwa Ayman Mohammed Rabie al-Zawahiri kachukuwa nafasi ya Osama?

CC. kahtaan,
mkuu kahtaan amekwisha nirekebisha hapa chini kama atakuwa yupo sahihi....
Yaani wao kusema alizikwa baharini baasi! Wewe umeridhika kabisa! ili siku nyingine usije jiingiza kwenye ushahidi na ukapata matatizo ya kuulizwa ni bora useme"nimeskia wanasema kwenye radio au nimeona kwenye runinga kuwa kazikwa baharini!.

Halafu baharini hawaziki! Wanatupa tu!
Kwa hiyo usimlaumu mkuu Ritz kukukatalia na kukuuliza maswali hayo. Hii inatokana na kauli yako uliyotoa!
Yaani kwa majibu yako ni kama mtu alikuwa kwenye tukio.
We mpira ukipigiwa mpasie huyohuyo aliye kupigia hakuna mtu atakulaumu.
Mkuu wa chuo,
Nani alitangaza kuwa Ayman Mohammed Rabie al-Zawahiri kachukuwa nafasi ya Osama?

CC. kahtaan,
Hebu soma hichi kipande hapa chini
[h=5]Formal appointment[/h] As of May 2, 2011, he became the leader of al-Qaeda following the death of Osama bin Laden.[SUP][55][/SUP] This was confirmed by a press release from al-Qaeda's general command on June 16.[SUP][4][/SUP] al-Zawahiri's succession to command of al-Qaeda was announced on several of their websites on June 16, 2011.[SUP][33][/SUP] On the same day, al-Qaeda renewed its position that Israel was an illegitimate state and that it wouldn't accept any compromise on Palestine.[SUP][59][/SUP]
The delayed announcement led some analysts to speculate that there was quarreling within al-Qaeda: “It doesn't suggest a vast reservoir of accumulated goodwill for him," said one celebrity journalist on CNN.[SUP][60][/SUP] Both U.S. Secretary of Defense Robert Gates and Chairman of the Joint Chiefs of Staff Mike Mullen maintain that the delay didn't signal any kind of dispute within al-Qaeda,[SUP][61][/SUP] and Mullen reiterated U.S. death threats toward al-Zawahiri.[SUP][62][/SUP] According to U.S. officials within the Obama administration and Robert Gates, al-Zawahiri would find the leadership difficult as, while intelligent, he lacks combat experience and the charisma of Osama bin Laden.[SUP][61][/SUP][SUP][63][/SUP][SUP][64][/SUP]
 
Last edited by a moderator:
mkuu kahtaan amekwisha nirekebisha hapa chini kama atakuwa yupo sahihi....


Hebu soma hichi kipande hapa chini

Bandiko lako ambalo unalitumia kama ushahidi umelitoa kwenye wikipedia limeandikwa na hao wazungu wenyewe.

Nakushauri kitu kimoja wasome na huwafahamu Al-Qaeda's network ni kina nani.

Twende taratibu tujadiliane.

Unajua chochote kuhusu walioshambulia WTC Manhattan, New York Marekani chanzo cha haya yote yalianzia apo.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama watu wamekupa habari pamoja na ushahidi wenyewe nitaachaje bila kuhoji bwana kahtaan?

Ushahidi upo kuna ushahidi wa vyombo vya habari vilivyotangaza na wewe una ushahidi gani kama hawakummuua? vinginevyo useme kama na mimi nilikuwepo nilishuhudia kwa macho on spot wakati operation inafanyika hapo sikushuhudia, lakini kama evidence zipo zimeletwa...

ni kweli unavyosema na mimi ndicho ninachokifanya nipo na pima tukisaidiana na nyie pia... ili tuweze kufika hitimisho...

hapo unaweza tupa darsa zaidi bwana kahtaan tutashukuru sana...

nafikiri sababu zimewekwa wazi za kufanya hivyo, we ulitaka vyombo vya habari vifanyeje sasa kwa mfano je viwe vinatangaza sikuzote habari zake?

Machale yananicheza ndio maana tupo tunajaribu ku reasoning...

Sasa inabidi mpinge kwa sababu sio kwa kubisha tu mpinge mkiwa na sababu...

Inabidi muonyeshe sasa hapa kwamba mmeenda shule...

Hao scientists ni wa wapi tunaomba darsa hapo kidogo, kumbe jamaa huwa wanarukaruka kama ndege Mwarabu?

mababu zenu wa wapi? basi walikuwa ni wajinga vinginevyo kama sijakuelewa..

hebu niambie hii migodi ya Almasi na Dhahabu imeanza lini? yaani juzi juzi watu wameshakuwa mababu kweli? Inamaana na Almasi na dhahabu zote wamemaliza, kwa hiyo hapo we ni full kuimba ma nyimbo tu?

kwani utata upo? ni kweli Osama bin Laden ameuawa hapo hakuna utata...

Mbona Ritz bado sijamwelewa ameeleza nini?

Unajua Mkuu wa chuo hapa tunazunguka palepale.
Na kutokana na maelezo yangu umeniuliza maswali ambayo itasababisha topic zingine ndeefu kabisa.

Nadhani nirudie mara ya mwisho!

Vitu unavo viona kwenye kwenye tv huwezi hata siku moja kuviita ushahidi!

Eti kwa sababu tv imetangaza!

Unakumbuka uchaguzi wa rais mwaka km sijakosea ni 1998. DTV walitangaza kuwa Seif sharifu ndio mshindi wa urais zanzibar!

Matokeo yakawa sivyo DTV walivyotangaza!

1947 Fix (Fox tv news channel) America

walionyesha kuwa wanamfanyia ALIEN autopsy! Eti Baada ya alien space shuttle kuanguka!!
Na watu wa magharibi juu ya elimu walizonazo karibu woote wakaamini kuwa kuna aliens!
Na mpaka leo tv nyingi za magharibi zinaonyesha footage za flying objects wakidai kuwa ni aliens!
Hata siku moja bahati mbaya isitokee mtu wa kawaida akamuona huyo alien! ?!

Huna haja ya ushahidi kuhitimisha kuwa hili ni la uongo!
Unatakiwa utumie nguvu ya fikra tu!

Ndo maana wakati mwingine Hakimu anatoa hukumu kwa kutumia fikra bila ushahidi wa wazi, anapo orodhesha facts from fictions!

Na mifano mingi tu!

Tunapo pokea habari hasa habari kubwa kama hii ya usama! Sio kuruka tu na kukubali na ukiulizwa unasema nimeona kwenye tv!
We kama utaamini iwache hiyo habari ibaki ndani ya tv! Ukiitoa nje ukasema una ushahidi hapo ndipo unapojiweka ktk mazingira magumu kabisa!

Vyombo vya habari vinatawala vichwa vya watu na lolote watakalotaka kuufahamisha umma. Basi hakuna wa kuwazuia!

Mbona tumeskia mengi ya uzushi kutoka ndani ya vyombo vya habari miaka mingi tu!
Na yule mwenye kuipinga hio habari kutokana na utata wake wewe huna haki ya kumlazimisha kutoa ushahidi wakati wewe ya kwako pia haina ushahidi ispokuwa umeona tu ndani ya tv!
 
Last edited by a moderator:
Bandiko lako ambalo unalitumia kama ushahidi umelitoa kwenye wikipedia limeandikwa na hao wazungu wenyewe.

Nakushauri kitu kimoja wasome na huwafahamu Al-Qaeda's network ni kina nani.

Twende taratibu tujadiliane.

Unajua chochote kuhusu walioshambulia WTC Manhattan, New York Marekani chanzo cha haya yote yalianzia apo.
ni kweli hizo ndio source zilizopo na source zinginezo zinasema hivyo vinginevyo utupatia source zingine zenye kuaminika zinazosema tofauti na hivyo, inasemekana ni mtandao wa al qaeda ndio ulihusika pamoja na ile milipuko ya Dar es salaam na Nairobi 1998, lakini kuna habari moja nimeiona mwana jf mmoja ameileta hebu isome hapa chini inahusiana na Rockafeller family, chukua kipande hicho kidogo...

WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
WORLD TRADE CENTER NA

STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER

WHY??

1 SWEET REVANGE
2. 1 SHOT TWO BIRDS


SWEET REVANGE

SWEET REVANGE NI KUWA WANA TAKE BACK THEIR OIL BUSINESS FROM ARABS KWANI KIPINDI KILE WAO ENZI ZA KINA JOHN D UTAJIRI WAKE MKUBWA ULIKUWA NI OIL

THEN ARABS WAKA TAKE OVER

SO WANAFANYA SWEET REVANGE WAKICHUKUA WALICHOIBIWA KUTOKA KWA BABU YAO JOHN D Oil


1 shot two birds

hii ni kuwa
they take back oil business kwa kuiba oil kutoka kwa arabs

na kufanikisha biashara yao ya silaha ambayo wame sign contract na serikali ya marekani


hao ndio ROCKAFELLER FAMILY FAMILIA MATAJIRI
ZAIDI MAREKANI NA DUNIANI KWA UJUMLA
Sasa hapo tuanze kuchambua kwa undani zaidi, na wewe njoo na evidence pamoja na source zako...
 
ni kweli hizo ndio source zilizopo na source zinginezo zinasema hivyo vinginevyo utupatia source zingine zenye kuaminika zinazosema tofauti na hivyo, inasemekana ni mtandao wa al qaeda ndio ulihusika pamoja na ile milipuko ya Dar es salaam na Nairobi 1998, lakini kuna habari moja nimeiona mwana jf mmoja ameileta hebu isome hapa chini inahusiana na Rockafeller family, chukua kipande hicho kidogo...

Sasa hapo tuanze kuchambua kwa undani zaidi, na wewe njoo na evidence pamoja na source zako...

Hii ni topic ndeefu ambayo hatomfadisha yyt humu!
Nadhani ili kutafuta hitimisho naomba nikuulize swali moja fupi tu Mkuu wa chuo !
Je! Unakubali kuwa mataifa Waongo wanaoongoza ktk Dunia hii ku manipulate jamii na walimwengu kwa ujumla kwa faida zao binafsi ni MATAIFA YA MAGHARIBI!?

Kama utanipa jibu la KWELI hapa,! nadhani huu mjadala utafikia ukingoni
 
Last edited by a moderator:
Hii ni topic ndeefu ambayo hatomfadisha yyt humu!
Nadhani ili kutafuta hitimisho naomba nikuulize swali moja fupi tu Mkuu wa chuo !
Je! Unakubali kuwa mataifa Waongo wanaoongoza ktk Dunia hii ku manipulate jamii na walimwengu kwa ujumla kwa faida zao binafsi ni MATAIFA YA MAGHARIBI!?

Kama utanipa jibu la KWELI hapa,! nadhani huu mjadala utafikia ukingoni
ku manipulate jamii kivipi? kwani we kwa mtazamo wako na fikra zako habari hizi kwamba za Osama ameuawa ni za kweli ama ni uongo?

au bwana kahtaan we ukweli upi unao ujua au habari unazo ziamini ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
bwana kahtaan ngojea nikuulize swali wewe habari za Malcom X ulizipata wapi?

Kuna vitabu vyake vinaelezea maisha yake kuna kitabu cha Alex Hailey.

Sasa kuna Reinveting Malcom X.

Waandishi wameandika kupitia familia ya Malcom X.
 
Last edited by a moderator:
Ila yote kwa yote osama alikuwa kiboko ya njia!
 
Unamwagiwa umbea unashangilia tu. Habari za alkaeda ni puzzle na wengi wanatengeneza tu. Kama alivyotengeneza Obama kumuua Osama aliyekufa more than 2 year ago.


Mkubwa, weka na ya kwako hapa tulinganishe na kuchambua. Hakuna kosa na wewe ukatoa maelezo pale unapodhani jamaa kakosea, karuka ama ukaifuta yote ya kwake na kutoa mwelekeo mpya.
 
Nitarudi tena stori ikibadilika
"VV"
hebu jipumzishe na huu wasifu kidogo tukiendelea kujadiliana..
Siku ambayo ndege zilizotekwa nyara ziligonga majengo ya World Trade Centre na makao ya wizara ya ulinzi ya Marekani, Pentagon, ni vitendo vilivyombadilisha Osama bin Laden kutoka mtu mdogo asiyejulikana na kumfanya kuwa mojawapo watu wanaotambulikana sana duniani.

Lakini alipojaribu kuepuka juhudi za Marekani kumkamata aliendelea kuwa kitendawili. Mawasilianao yake na dunia yalikuwa zaidi kwa kanda za video kupitia kituo cha televisheni cha Al Jazeera.

SIKILIZA WASIFU WAKE

Bin Laden aliwahi kunukuliwa akisema: "Kile ambacho Marekani inakionja hivi leo ni kitu kidogo sana ikilinganishwa na kile ambacho tumekuwa tukikipata katika miongo kadhaa. Taifa letu limekabiliwa na hali hii ya kudhalilishwa na kudharaualiwa kwa zaidi ya miaka 80. Wanawe wanauwawa, damu yao inamwagwa, maeneo yake matakatifu yanahujumiwa na hayatawaliwi kwa mujibu wa amri zake Mwenyezi Mungu."

Osama bin Laden alizaliwa mwaka 1957 katika familia yenye utajiri mkubwa. Baba yake alianzisha kampuni kubwa ya ujenzi katika Saudi Arabia. Akiwa ni miongoni mwa ndugu 18 wa kiume, Osama aliwahi kufanya kazi katika biashara hiyo ya familia. Maisha yake yalianza kubadilika alipokuwa kijana pale Muungano wa Sovieti ulipoivamia Afghanistan.

Alipokwenda Aghanistan, Osama alikuwa kijana sana ambaye alitaka kujijengea umaarufu, katikati ya vita vitakatifu. Osama bin Laden alikaa kwa kipindi cha takriban miaka 10 nchini Afghanistan, na kuanzisha fungamano na wanaharakati wa siasa kali za kiislamu kote duniani.

Na baada ya majeshi yaliyovunjika moyo ya Sovieti kuondoka Afghanistan mnamo mwaka 1989. Osama bin Laden alirejea nyumbani Saudi Arabia. Mwaka mmoja baadaye alijitolea kumpa msaada wa kijeshi mfalme Fahad wakati Iraq ilipoivamia nchi jirani ya Kuwait. Lakini Osama alipatwa na mshtuko mkubwa pale Mfalme Fahad alipokataa toleo lake na badala yake kuigeukia Marekani.

Osama alinyaganywa uraia wa Saudi na akarejea Afghanistan ambayo wakati huo ikitawaliwa na Wataliban ambao alikubaliana nao kuhusu tafsiri ya uislamu.

Mnamo mwaka 1998 aliwahimiza waislamu wawauwe Wamarekani mkiwemo raia popote pale watakapowapata, kukafuatiwa mashambulio kadhaa ikiwa ni pamoja na dhidi ya balozi za Marekani katika Kenya na Tanzania na manowari ya USS Cole katika mwambao wa Yemen. Halafu shambulio la September 11, 2001.

Osama bin Laden aliwasifu waliofanya shambulio hilo. Rais Bush akasema atasakwa apatikane akiwa hai au mfu.

Rais Bush alikunukuliwa kusema: "Sijui kama tutampata kesho au mwezi ujao au mwaka ujao. Lakini hapana shaka tutampata tu."

Ingawa Waislamu wengi walilaani vifo vya watu katika miji ya New York na Washington, Osama bin Laden alichukuliwa na wengi kuwa ni shujaa, aliyetetea haki za Wapalestina na kupinga nguvu za Marekani.

Alioa mke wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 17 na baadaye akawaoa wake wengine wanne. Osama bin Laden anaaminika kuacha watoto 17.
 
Back
Top Bottom