Leta basi we ukweli...
ambaye umeshikiwa akili na story za vijiwe vya kahawa...
Mkuu wa chuo unapo sikiliza habari ambayo huna ushahidi nayo basi kama una busara unaiacha kama ilivyo!
Kwa mfano! Hii habari hapa ! Je wewe
Mkuu wa chuo uko tayari kwenda mahakamani kutoa ushahidi kuwa wale wanajeshi walimuua yule usama!?!
Unaweza kuleta opinion zako kutokana na kupima mambo kwa kutumia akili Mungu aliyo kupa!
Lkn sio uuite ushahidi!
Kwa mfano, kwanza tunafahamu usama ni zao la Cia na American secret service na amefanya kazi na Cia kwa miaka kadhaa. Na kazi yake ilikuwa si mchezo! Mambo yalipo geuka baina ya pande hizo mbili (usama na americans
Huyu usama akageuka kuwa ni Number one most wanted man ktk Fbi na Cia na mataifa yoote ya magharibi!
Leo hii auwawe kwa kupigwa risasi halafu kaburi lake liwekwe mafichoni!?
Na istoshe vyombo vya habari vimekata habari zake zoote!
We hata machale hayakuchezi na ukajiuliza nini kinaendelea hapa!?
Basi tu kwasababu Cnn na Abc na Wale paka Fix(fox )news wamesema hivyo baaasi! Sisi huku kwa sababu km unavyosema tuko dunia ya kariakoo tukubali tu!
Alllaaa! Na sie tumeenda shule bwana!
Hawa si walisema wamekwenda mwezini miaka ya 60'
Mbona wametokea scientists kulipinga hilo na mpaka leo 2013 hawajaamua kuuonyesha ulimwengu wakatuma tena wale wanaojifanya kurukaruka kama ndege mwarabu! Angani!
Walikuja wakawaambia mababu zetu! "Fungeni macho tuombe" wazee maskini wakafunga!
Kuja kufungua! Hamadi! Wameondoka na dhahabu na almasi zoote!
Sisi wametuachia "andiko" na nyimbo kwa wingi!
Kwa kuwa na imani kama zako ndio maana hawa jamaa waliweza kutawala na kuwatumikisha ma babu zetu!
Leo tumeamka! Kama kuna habari inautata lzm tuulize!
Kunani paleee!?
Kama alivyo elezea mkuu
Ritz
Ni hayo tu
Mkuu wa chuo.