morphine
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 3,504
- 1,093
mission waliyofaulu UWT ni ya kuiba kura za wapinzani pamoja na kung'oa kucha na meno bila ya ganzi kwa raia wa Tanzania...
tunaona CIA wakifanya mambo MOSSAD pamoja na intelligence zingine...
sasa za TISS zitakuwaje ni siri?
Intelligence ya Saed Kubenea na mwanahalisi yake inaweza ikawa juu sana, Rejea mazungumzo ya Jack Zoka na Zitto kama umesoma nadhani utakubaliana na mimi mkuu morphine...
Jinsi mwanahalisi walivyochambua hata ile issue ya Ramadhani Ighondu, jamaa walikuwa njema walivyoichambua...
naomba uniambie kazi ya TISS ni nini?
bado napenda mimi na kijifamilia changu tuendelee kula ubwabwa na maharage mkuu, sasa ukiniambia niweke mambo wazi hapa kuhusu kazi zao nahofia na mie kusulubiwa nikawa mfano kwa jamii :shut-mouth::fear::tape2::rip:
