Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Mkuu wa chuo,

Wala siyo ajabu Osama kuvaa kofia ya cowboy mbona hapa chini kavaaa teh teh teh...


Ajabu ni haya maneno alivalia kofia aina ya cowboy ili kukwepa upelelezi wa setilaiti za Amerika.

kumbuka kuna ma editor wa picture laki
 

ACHENI upuuuzi ...wale SEALs ni Highly skilled ....wanaua chochote with regrets and stress...mnasikiliza magezeti yenu ya mia tano na blog za bure.
 

Kweli yule jamaa alikua wa aina yake. Wamemuua lakini cha moto walikiona jamaa.
 

mkuu usikose kutupa huu uhondo... mi ni mnazi sana wa haya maswala ukiitumbukiza usisahau kunitag angalau isinipite si unajua malimwengu mengi
 
ACHENI upuuuzi ...wale SEALs ni Highly skilled ....wanaua chochote with regrets and stress...mnasikiliza magezeti yenu ya mia tano na blog za bure.
Upuuzi upi? tuwekee basi we mkuu habari za magazeti ya zaidi ya shilingi 500! na habari kutoka blog za hela yaani blog za kulipia...
 
Nutafute nikupe documentary nzima ina urefu wa saa 1.45
nikutafutie wapi unapatikana wapi au nikupateje? unaweza ukatupa brief kidogo kuhusiana na kilichomo ndani ya hiyo documentary, maana kuna watu wanasema ile operation ni ya uongo wanadai Osama alikufa muda mrefu na matatizo ya Figo...

je hiyo documentary inasemaje?
 
Aisee very interesting/ligence big up to FUHRER ,Ritz na Mkuu wa chuo sijui cha IFm haha.nimesoma between the lines and fullstop hata kama ni hearsay au gossips but now my head can think beyond what i knew before that he is dead ,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…