Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Mkuu wa chuo,

Wala siyo ajabu Osama kuvaa kofia ya cowboy mbona hapa chini kavaaa teh teh teh...
HUMOposter1.jpg


Ajabu ni haya maneno alivalia kofia aina ya cowboy ili kukwepa upelelezi wa setilaiti za Amerika.

kumbuka kuna ma editor wa picture laki
 
Ni kweli usemayo japokuwa umekosea kutamka lakini nimekuelewa...

Duh! hichi kiswahili ulichotumia sidhani hata kama wewe mwenyewe umejielewa, lakini nadhani utakuwa ume translate kutoka kingereza kwenda kiswahili inaweza kuwa kwenye google... kwa hiyo kwa kifupi hapo hujaeleweka
acha uongo.. hebu chukua hichi kipande hapa chini




Hebu soma hicho kiswahili umeelewa nini sasa hapo kwa kweli mimi hapo sijakuelewa nadhani pia na wewe hapo hujajielewa, unaweza nifafanulia zaidi... au ukaandika kwa uzuri zaidi na mimi bila ya hiyana nitakujibu tu...

Japokuwa kiswahili ni kibovu lakini nimekuelewa hebu angalia hapa chini ni kwanini hawaku expose mwili sababu ni hizi hapa chini zimetolewa

ACHENI upuuuzi ...wale SEALs ni Highly skilled ....wanaua chochote with regrets and stress...mnasikiliza magezeti yenu ya mia tano na blog za bure.
 
osama walimkamata kwa shida katika report ya CIA ambayo siri zake zilivuja ni kwamba osama alikuwa na connection ya zaidi ya watu 20 ili uweze kufika au kitu kiweze kumfikia na pale tu walipombana yule bwana wa gereza la guantanamo na kuwaambia msihangaike na osama anzeni na network ya kutoka kwa fulani mwishowe mtampata , na mpaka leo ndiyo maana wamerakani wanahisi lile gereza lina mchango mkubwa katika kufanikisha maswala ya kiugaidi

Kweli yule jamaa alikua wa aina yake. Wamemuua lakini cha moto walikiona jamaa.
 
Wakuu nitaendelea kuwapa simulizi hizi za mission za CIA, MOSSAD na KGB maana wenzetu wanaziweka wazi hawana cha kuficha kama bongo. Ile mission ya kumkamata Osama ni kali lakini kwa watu wanaojua mission zilizofanyika hapa duniani, hakuna mission kali kuizidi ile ya Entebbe iliyofanywa na MOSSAD, hata hii ya Osama ilichukua items nyingi kwenye mission ya Entebbe. Ukitaka kujua ile ya Entebbe ni kali kuliko ya Osama linganisha technologia zilizotumika, hii ya Osama walitumia chopa za shinoku zenye technology ya stealth inayoweza kukwepa rada wakati ya Entebbe hakukuwa na technology hiyo. Ndege zilizohusika kwenye mission ya Osama ziliruka kutoka kwenye military base ya marekani iliyopo Jalalabad Afg ambayo ipo ka 20 km kutoka kwenye mpaka na Pak wakati Ndege zilizohusika kwenye mission ya Entebbe ziliruka kutoka Tel Aviv kupita nchi mbili ambazo ni hostile Egypt na Sudan 5,000km kuja Entebbe. Operation ya Osama kulikuwepo na maofisa wa CIA waliokuwa kwenye ofisi ya ubalozi ambao walielekea Abbottabad mapema kwaajili ya ku-monitor situation na kuna maofisa wa ISI ambao walikuwa kwenye jeshi la Pakistani ambao walikuwa wanatoa taarifa kwa maofisa wa CIA kila kinachoendelea kuhusiana na response ya jeshi la Pakistani. Siku nikipata nafasi nitawasimulia ile operation ya Entebbe ilivyopangwa na failures na success zake. kama ilivyokuwa ya Osama zilipangwa plana 4 za kuifanya ile mission ya Osama na zote zilifanyiwa mazoezi ndio maana ile helicopter ilivyokosa thrust na kudondoka walibadili plan kutoka Plan A kwenda plan C, sasa siku nikipata nafasi nitawaeleza Plani A ilikuwa ikoje, plan b,c na d. Na kwa nini ile helicopter ilivyodondoka walibadili plan kutoa A kwenda C, kwa nini hawakuenda plan B.

mkuu usikose kutupa huu uhondo... mi ni mnazi sana wa haya maswala ukiitumbukiza usisahau kunitag angalau isinipite si unajua malimwengu mengi
 
ACHENI upuuuzi ...wale SEALs ni Highly skilled ....wanaua chochote with regrets and stress...mnasikiliza magezeti yenu ya mia tano na blog za bure.
Upuuzi upi? tuwekee basi we mkuu habari za magazeti ya zaidi ya shilingi 500! na habari kutoka blog za hela yaani blog za kulipia...
 
Nutafute nikupe documentary nzima ina urefu wa saa 1.45
nikutafutie wapi unapatikana wapi au nikupateje? unaweza ukatupa brief kidogo kuhusiana na kilichomo ndani ya hiyo documentary, maana kuna watu wanasema ile operation ni ya uongo wanadai Osama alikufa muda mrefu na matatizo ya Figo...

je hiyo documentary inasemaje?
 
Aisee very interesting/ligence big up to FUHRER ,Ritz na Mkuu wa chuo sijui cha IFm haha.nimesoma between the lines and fullstop hata kama ni hearsay au gossips but now my head can think beyond what i knew before that he is dead ,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom