Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa


hiyo kitu niyakweli bin Laden alikufa kitambo ninayo ushahidi
 
hiyo kitu niyakweli bin Laden alikufa kitambo ninayo ushahidi

We Jambo Tz unatafuta ligi mpya na Mkuu wa chuo !
Manake muheshimiwa haskii wala haoni kuhusu hao wanaopenda ku act movies!

We toa ushahidi mpaka asubuhi!
Sana saaana vidole vitauma tu kwa ku type! Mkuu wa chuo kaisha funga mjadala hapa! Walichosema na kuonyesha wale wazungu! Yeye kabeba mazima!

Na hali hii yeye tuko nae bongo!

Sasa we fikiria kama Mkuu wa chuo angekuwa ni mmoja ya wale waandishi wa habari waliokwenda ktk tukio baada ya inayosemekana operation kumalizika!!

Hapa angekaa mtu kweli!?

Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Alimficha alimtoa wapi? huyo Al Kuwaiti yupo wapi?

CC; kahtaan,

Hapo pazuri hapo!
Sasa hivi atatokea mtu aliye muona huyo Al kuwaiti kule vingunguti! Halafu mkuu wa chuo ataomba ushahidi!

Teh teh teh teh!

Huyu Mkuu wa chuo naona anataka ligi mpyaa!
 
Last edited by a moderator:
hiyo kitu niyakweli bin Laden alikufa kitambo ninayo ushahidi
ukiweza kutuwekea huo ushaidi itakuwa vizuri sana, ili tuweze pima haya mambo na kufanya ulinganifu, tupo tunasubiri ushahidi wako mkuu...
 
Hapo pazuri hapo!
Sasa hivi atatokea mtu aliye muona huyo Al kuwaiti kule vingunguti! Halafu mkuu wa chuo ataomba ushahidi!

Teh teh teh teh!

Huyu Mkuu wa chuo naona anataka ligi mpyaa!


tatizo lako bwana kahtaan unachukulia haya mambo ki movie movie, halafu sio kwamba nachukulia kitu mazima bila ya kutafakari...

wewe nafikiri utakuwa unachukulia zile stori zingine ambazo si rasmi mazima mazima...

Al Kuwaiti kuweza kukaa Vingunguti haiwezi kuwa jambo la ajabu vinginevyo iwepo ushahidi tu, Mbona Ahmed Ghailan aliweza ishi Zanzibar?

Lakini haijawahi ripotiwa kwamba aliwahi ishi Vingunguti, huo ni mfano tu usije chukua kama subject..
 
Last edited by a moderator:
ina maana kumficha mtu mpaka umtoe sehemu? Al Kuwaiti na yeye aliuliwa kwenye ile operation...

Mkuu wa chuo,

1) hebu tusimame kidogo hapa kwa Al Kuwaiti, ilikuwaje mpaka akamficha Osama kwenye hiyo nyumba walikutanaje?

2) Al Kuwaiti, unasema naye alikufa kwenye mapambano kwenye hiyo nyumba, naye alizikwa baharini au maiti yake ilitupwa?

3) Al Kuwaiti, na Osama walikuwa wanakaa nyumba moja?

Cc.. kahtaan,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

1) hebu tusimame kidogo hapa kwa Al Kuwaiti, ilikuwaje mpaka akamficha Osama kwenye hiyo nyumba walikutanaje?

Ritz,
Al Kuwaiti alikuwa ni mmoja ya watu ambao Osama aliwaamini sana hata hivyo habari za Al Kuwaiti ukipitia mabandiko ya mkuu FUHRER ameelezea ni jinsi gani walivyoweza kumpata Osama inaonekana kulikuwa na chain fulani mpaka kumfikia Osama ukweli unaanzia kwa yule mfungwa wa Guantamo kuna watu wameelezea alivyotishiwa kupelekwa hadi Saudia hadi kuhojiwa na maafisa wa CIA wenye asili ya Kiarabu kuna mtu ameelezea mpaka akapewa truth serum ndio jamaa akasema ukweli, akawaambia nyie mtafuteni jamaa mmoja anaitwa Al Kuwaiti ndio mnaweza mpata Osama, lakini bwana Ritz ukipitia mabandiko ya FUHRER utapata picha kamili... au mkuu RealMan anaweza ongeza hapa....

2) Al Kuwaiti, unasema naye alikufa kwenye mapambano kwenye hiyo nyumba, naye alizikwa baharini au maiti yake ilitupwa?
Inavyosemekana Al Kuwaiti na yeye alikufa kwenye hayo mapambano si jajua kama maiti yake ilitupwa au ilizikwaje lakini yeye Al Kuwaiti hakuzikwa baharini kama Osama Seal Team wenyewe waliondoka na Mwili wa Osama kwa sababu ile mission ilikuwa ni ya kumpata Osama hapa citation inahitajika zaidi... tujue zaidi...

3) Al Kuwaiti, na Osama walikuwa wanakaa nyumba moja?

Cc.. kahtaan,
Yeah, Al Kuwaiti na Osama inasemekana walikuwa wanakaa nyumba moja na inaweza ikawa hivyo kwa sababu Al Kuwaiti na yeye alikufa kwenye ile operation, wewe mwenyewe si umeona ile Nyumba na ramani pia umeona...
 
Last edited by a moderator:


Sasa hapa ndio mparaganyiko unapoanza!

Unapotaka kumficha mtu mkubwa kama usama! na wakatokea kina RAMBO kufanya vitu vyao!
basi huyo mfichaji lzm ajulikane mwisho wake ni upi!!

Huwezi ukasema"SIJUI" halafu ikatosha kuwa ni jibu!! Na kama hilo ndio jibu pekee ulilonalo!! Basi ukitumia LOGIC HAPA! Utaona kuwa Hii stori ya AL KUWAITI ALIMFICHA USAMA! HAIINGII AKILINI KABISAA!!

Sasa Mkuu wa chuo , Hebu tufafanulie kidogo hapo<

1. Je hio nyumba alokutwa GENERAL USAMA! ilikuwa ni ya alkuwaiti??
2. je! Baada ya KINA RAMBO kumuua GENERAL USAMA! kulikuwa na mtu yyt aliye kamatwa nae humo ??au alikutwa peke yake??

NAKUOMBA MAJIBU YAKO YASIWE NA KAULI YA "NADHANI"!!!!

KWA SABABU KILA MTU ANAWEZA KUDHANI DHANI!!
karibu utupashe!!
 
hatima ya mfichaji na yeye aliuawa...

Sasa Mkuu wa chuo , Hebu tufafanulie kidogo hapo<

1. Je hio nyumba alokutwa GENERAL USAMA! ilikuwa ni ya alkuwaiti??
Yeah, ile nyumba ilikuwa ni ya Al Kuwaiti...
2. je! Baada ya KINA RAMBO kumuua GENERAL USAMA! kulikuwa na mtu yyt aliye kamatwa nae humo ??au alikutwa peke yake??

NAKUOMBA MAJIBU YAKO YASIWE NA KAULI YA "NADHANI"!!!!

KWA SABABU KILA MTU ANAWEZA KUDHANI DHANI!!
karibu utupashe!!
Waliouawa katika ile Operation Neptune Spear walikuwa ni wa nne ambao ni Osama,Khalid mtoto wa Osama, Al Kuwaiti, Ndugu wa Al Kuwaiti aitwae Abrar na Bushra mke wa Abra kwa hiyo moja kwa moja hapo utaona Osama alikuwa haishi peke yake kuna watu waliopona kwa mfano wake watatu 3 wa Osama na mke mmoja wa Al Kuwaiti na watu wengine ambao ni watoto watoto tu...

wakati ile Operation inaendeshwa sio kwamba walienda tu kana kwamba wanaenda kamata kuku bandani la hasha! Kwa mfano Al Kuwaiti alikuwa na kitu cha AK47 lakini hakuweza kukitumia kutokana na wale washikaji wa Seal Team Six walivyokuwa wamejipanga Al Kuwaiti alifyatua fyatua tu risasi...

Yeye General wako Usama hakuweza fanya kitu bwana kahtaan nadhani umenipata...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Hao wote ulionitajia nimeishapitia mabandiko yao yote ndiyo maana naendelea kudadavua baadhi ya hizi bayana zenu.
Hizi ndiyo bayana zenu ambazo mnaziamini kuhusu Al-Kuwaiti, hebu sasa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyo muulezea huyu Al-Kuwaiti, kutoka shirika kubwa la habari la Marekani [abc News].
Mkuu wa chuo, soma vizuri hizo bold utaona kuna contradiction CIA wamemjua Al-Kuwaiti, baada ya kumuua, wewe unasema walielekezwa na mfungwa wa Guantamo, halafu kumbe kwa mujibu wa abc NEWS kulikuwa na maiti nyingi lakini cha ajabu hakuna hata moja ulionyeshwa achalia mbali mazishi yao.
Yeah, Al Kuwaiti na Osama inasemekana walikuwa wanakaa nyumba moja na inaweza ikawa hivyo kwa sababu Al Kuwaiti na yeye alikufa kwenye ile operation, wewe mwenyewe si umeona ile Nyumba na ramani pia umeona...
Hakuna picha yeyote inayo muonyesha huyo Al-Kuwaiti, kuwa anaishi na Osama kwenye hiyo nyumba zaidi ya hii picha ya Hoolywood ambayo unatuonyesha Gheto la Osama, teh teh teh,

According to the interrogation report, bin Laden lived in five safehouses and fathered four children - the two youngest born in a public hospital in Abbotabad. But investigators have only located the houses in Abbottabad and Haripur.


Mkuu wa chuo, angalia hapa hii picha ya Osama, tutumie akili zetu tu, mtu anayetafutwa dunia nzima anaangalia TV, anatumia Computer. kwa nini hawa wanaomtafuta wasitumie The Internet Protocol (IP) is the principal communications protocol in the Internet protocol suite for relaying datagrams across network boundaries. Its routing ....

Cc; kahtaan, THE BIG SHOW, gombesugu,
 


mkuu Ritz umepiga ikulu!

teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Ungeanza kwa kuweka ushahidi kwanza!
yeah, ni kweli mkuu angeanza kuweka kwanza ushahidi tukauona au kama ana ushahidi wa vyeti vya ugonjwa wa Osama angeweka kwanza, au kama ana death certificate ya Osama ambayo ni tofauti inayoonyesha Osama alikufa muda mrefu tofauti na ile Operation angetuwekea tuuone ushahidi wowote...

Asije akawa kama yule jamaa Elungata na yeye alikuja hivi hivi mwishowe akatokomea hadi leo hii ajaonekana kwenye uzi lakini bado nasubiri ushahidi wake alio ahidi ataleta...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz nimesoma bayana zako hebu sasa tuanze kuzichambua, ni kweli hebu tusome habari yote na sio nusu nusu kama uliyoleta hebu ipitie hiyo habari yote hapa chini

wapi imeelezwa kwamba walimjua Al Kuwait baada ya kumuua hebu soma haya maneno vizuri "the CIA knew his identity, but not where he lived. " inamaana kwamba CIA walijua identity yake lakini sio alipokuwa anaishi, hebu soma haya maneno kutoka kwenye hiyo habari yako ambayo umeileta nusu, nzima nimeileta hapo juu na haya ni baadhi ya maneno yaliyomo kwenye hiyo habari
nadhani hapo umeona kwamba walimtambua lini imeelezwa ni 2003, Al Kuwaiti was tracked to the Abbottabad compound in 2010, sasa itawezekanaje mtu wamtambue baada ya kumuua ambayo ilikuwa 2011 huyo huyo mtu wamtrack 2010 nadhani hapo umenipata bwana Ritz... halafu maiti sio kwamba zilikuwa nyingi imeelezwa kwamba watu waliokufa ni watano akiwemo na Osama, halafu kwanini waonyeshe hizo maiti nyingine? wakati target yao kubwa ilikuwa ni Osama, na ile Operation ilikuwa mahususi kwa ajili ya Osama bin Laden... ndio maana wenyewe waliondoka na maiti ya Osama hao wengine haikuwa target...
we umejuaje kwamba hii picha ni ya hollywood? vigezo vipi umetumia? unaweza thibitisha? we ulitaka Osama na Al Kuwaiti waonyeshwe wanapiga story pamoja wakishushia na kahawa ndio ungeamini?

hakuna mahali inaposema Osama alikuwa anatumia computer na internet kwa sababu Osama aliachana na matumizi ya computer na simu halafu kuangalia tv wanaweza waka mtrack vipi? Lakini CIA waliweza kunasa mawasiliano ya Al Kuwaiti pamoja kwamba walikuwa wakiharibu laini baada ya kutumia... Na alikuwa akienda umbali kuwasiliana, na Al Kuwaiti alikuwa akitumia Internet cafe, CIA waliweza kumtrack Al Kuwaiti...
 
Last edited by a moderator:
mkuu Ritz umepiga ikulu!

teh teh teh teh!
Ahlan wa Sahlan,
hebu jiburudishe na hii habari zawadi kwako bwana kahtaan kutoka BBC Swahili, huku tukisubiri bwana Ritz aje apige ikulu tena, habari hii hapa chini
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Tatizo lako unataka kila mtu akubaliane na stori za kina Mathew Cole na mwenzake Nick Schifrin, hiyo habari yangu siyo ya kwao huko Marekani kwenyewe wanapigwa kila siku na hizi stori za ambazo hazina ushahidi, ni mie takuletea habari nzima kutoka kwa Wamarekani kuhusu. Al Kuwaiti.

Angalia hiyo picha ya Osama anaangalia TV pembeni kuna Computer, unaweza kutuambia mara ya mwisho alitumia lini.

Hivi wewe umejuaje kama walikufa watu watano unaweza kutupa ushahidi siyo maneno matupu.

Hicho chumba cha Osama ndiyo alikuwa akiishi na hao wake zake wote?

Hebu thibitisha kwa ushahidi wa picha au mazishi kuwa Al Kuwaiti alikufa pamoja na Osama.
 
Last edited by a moderator:

Hizi ndiyo bayana zenu ambazo mnaziamini kuhusu Al-Kuwaiti, hebu sasa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyo muulezea huyu Al-Kuwaiti, kutoka shirika kubwa la habari la Marekani [abc News].

Mkuu Ritz hapo kwenye red naona kama unajichanganya...umejaribu kuleta habari ya wamarekani ili kujengea hoja yako lakini ghafla unasema unataka kila mtu akubali habari ya wamarekani....

Labda unijuze mtazamo wako:
1. je "general" Osama yu hai?
2. Kama yu hai yuko wapi kwa sasa?
3. Kama ameshakufa, alikufaje?

Nakushukuru
 
Last edited by a moderator:
tatizo lako bwana Ritz umeleta habari kwa ufupi toka abc news lakini unakana tena, mimi kukuletea habari yote ambayo wewe umechukua kakipande unakataa tena, kuhusiana na hao watu watano waliokufa hebu jaribu kupitia kale kakipande kako kutoka abc news uliokaleta mbona kanaelezea kwa uzuri kabisa....

halafu hakuna sehemu nilipoelezea Osama alikuwa anaishi gheto la chumba kimoja na wakeze, unajua kwamba bwana Ritz ile nyumba iliyokuwa pale Abbottabad ilikuwa na floor tatu iweje utuambie alikuwa anaishi gheto, yeye Osama alikuwa anaishi floor ya tatu...

Ile ilikuwa ni compound kubwa sio kama ka gheto...
 
Last edited by a moderator:
asante sana mkuu RealMan kumbe umeona na wewe kwamba bwana Ritz analeta bandiko halafu tena anakana, yaani anajichanganya mwenyewe...

halafu itakuwa vizuri kama bwana Ritz akijibu hayo maswali...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…