Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Weee uwatishe wa huko huko, mi kwangu hela ya mwezi hupati hata ukizikiri uchi! Na wala hunifanyi chochote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu znauma jomoneeeh lol,
 
Great mind mzeee ..!! Sema ndo kupata mtu ambae yupo free kidogo...
 
Hua naona raha sana nikimzima dalali. Sijawahi heshim makubaliano na dalali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…