Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Jibaba zima na nywele makalioni unasubiri mwanaume mwenzio ahenye weeee ajenge nyumba kisha wewe ule pesa ya bila jasho qbabako madalali aisee mnakera!
Madalali ni brand kubwa lazima uwatafute wapo kila sector ila wanabadilika majina kama nywele
Mpaka kwenye football wapo wanaitwa maagent kwenye Hisa wanaitwa mabroker sema wabongo ujamaa umewaharibu sana mmezoea kulilia dezo dezo dunia ya kibepari hii madalali ni sector muhimu ipo tangu dunia iumbwe na itaendelea kuwepo
Najivunia kuwa Dalali
 
Ukitaka kununua kitu usiangalie dalali anapata nini wewe angalia uwezo wako wakulipa na thamani ya kitu basiiii mengine taache kama yalivyo
 
Nimekutana na dalali mjinga sijapata kuona.
Jinga jinga hasa.
Na hela anaikosa.

Anabaki kupiga piga simu kila saa.

Sikutaka kumzunguka.

Juzi nimeenda na cash mzigo wa maana nilipie.

Namuambia mpigie mwenye mali tumsikie.
Ooooo hiii nilimpeleka mtu jana aliluwa na pesa kama yako kaikataa.
Sawa alikataa jana lakini mpigie mda huu nisikie.
Hataki.

Nikaondoka.
Nikasema we fala sikupigii utapiga mwenyewe.
Akapiga utaongeza ngapi nikakomaaa kuwa nina ile ile tena imepungua nitaandika deni.
Akasema mwenye mali kasafiri nikasema fresh.

Uzuri mzee wangu mmoja anamfahamu mwenye mali na alimtajia bei ile ile niliyonayo.

Ndo ishaisha hiyo.

Jana tena dalali anapiga kutaka kujua hela imepungua au iko pale pale hapo ndo nilipomcheka na kumshusha.

Mali nalipia kesho bila yeye ndo imeisha hiyo.

Na ni hela pungufu ya ile aliyoikataa.

Means cha juu angepata sema alitaka cha juu zaidi.

Kakosa vyote.
Wanatamaa sana wapuuzi hawa kiwanja cha mln 10 unaambiwa mln 20
 
Kwa hii post yako nakuhakikishia humu ushapoteza wateja!Hii post ilitakiwa uitumie positively kuwavutia wateja na sio haya majigambo uliyoweka humu!
Wateja wapo kila siku napata wateja mpaka nje ya nchi kwa airbnb,tushatengeneza baseline ya kutosha kiasi ambacho mtu hautangazi tena biashara bali biashara ndio inatutangaza.

Inafika point siwazii wateja nawaza nitapata wapi nyumba kali au gari kali za bei nafuu anazohitaji mteja wangu,maana changamoto ya Corona kipato kimeshuka kwa baadhi ya watu wengi wanataka nyumba au gari kali za bei nafuu ,wakati wamiliki bado wameshikilia bei za awali before Corona.
 
Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.

1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%

Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?

2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.

Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.

Swali kwa wadau (dalali na wateja)

1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?

2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?

Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.

Share na sisi tafadhilini.
Ni sawa ila kwaninavyo wajua madali wakibongo lazima wakuroge[emoji23][emoji1787]
 
Wanalipa Kodi? Serikali inawatambua?

Bora udalali wa Nyumba lakini huu udalali wa mazao ya wakulima Ni utapeli mtupu.

Mkulima anapeleka mazao sokoni. Lakini haruhusiwi kuyauza direct kwa mteja mpaka apite kwa dalali Wala sio utaratibu wa kisheria still analanguliwa Bei na Sasa jamii imebariki na kuwaita walanguzi
Tunaongelea udalali wa nyumba.

Suala la kodi hata wamachinga, bodaboda hawalipi vilevile.

Hapo vipi?
 
Madalali ni brand kubwa lazima uwatafute wapo kila sector ila wanabadilika majina kama nywele
Mpaka kwenye football wapo wanaitwa maagent kwenye Hisa wanaitwa mabroker sema wabongo ujamaa umewaharibu sana mmezoea kulilia dezo dezo dunia ya kibepari hii madalali ni sector muhimu ipo tangu dunia iumbwe na itaendelea kuwepo
Najivunia kuwa Dalali
Kwenye football wale ma agent ni wakala wa mchezaji.
Yule sio dalali kama nyie...dalali huku bongo ni middlemen tu!
 
Hawa watu mimi kwa kifupi siwapendi hata kuwasikia, serikali ingetafuta namna ya kuwarasimisha na kuwatoza kodi. Ni watu wenye kuishi dunia ya peke yao, wakijitia umuhimu mkuuuuubwa ambao hawana na hivyo kutengeneza usumbufu. Na haya yanaletwa pia ukosefu wa maarifa ya wenye nyumba kwa kushindwa kutangaza biashara zao wenyewe

Sijui ni nani ameweka hivi viwango kuwa dalali alipwe KODI YA MWEZI MMOJA. Braza angu amepanga nyumba Kinondoni Block 41 analipa kodi Tshs 1,000,000 kwa mwezi. Eti huyu mwenda zake naye alitaka apewe 1m kwa kuwa amempeleka hapo. Nikamwambia ajipange kuchukua 250k au apinde kona na 100KpH pumbav zake...braza akalegea akampa 500k. Mimi nisingempa

BACK TO TOPIC, mimi nashauri tusiwadhulumu ila twende nao sawa. Wanapaswa kueleweshwa kuwa biashara yao hiyo haina mtaji kwa hiyo wasiwe kikwazo cha watu wengine kuishi hapa mjini. Imagine unalipa kodi 250k na yeye anadai 250k...kwa lipi? Na bado atakupeleka kwenye nyumba yenye mauzauza, utakaa miezi 6 unaanza tena kuhama.

Wenye nyumba wangekuwa na akili, hawa matapeli mbona wangejifunza kulima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mziki wake utaujua VP unajua??!!! akigundua ushachukua mzigo. Mbona utaomba pooo.

Mimi back in the days dalali nilimzunguka. Weeeee mziki mnene. Unajua wale wanakua wengi. So mmoja akifanikisha wanagawana woote. So wenzake wakiona mbona Mali imeuzwa wanaanza kuulizana na kuchunguza dalali nani kauza mzigo halaf kala pesa bila ration kufanyika.

Kama ni nyumba mbona utahama.

Dalali alivogundua nimemzunguka aliniwekea vitisho mpk vya kunidhuru. Yaani nili give up mwenyewe nikamuita tuyamalize kwa kumpa haki yake.
Mpeleke polisi.

Atashika adabu.
 
Kodi ya mwezi ya Kwako, [emoji23][emoji23] utasema umejenga wewe, mtazungwa sana kwa style hiyo, kwahiyo kama kodi million 1 na wewe unategemea nikupe milioni, [emoji3][emoji3][emoji3].
Mnaona udalali kazi rahisi mimi kwangu hela utatoa na makofi utachukua kabla kazi tunakubaliana kabisa na ma landlords wanaelewa kabisa kodi ya mwezi ya kwangu
 
Kodi ya mwezi ya Kwako, [emoji23][emoji23] utasema umejenga wewe, mtazungwa sana kwa style hiyo, kwahiyo kama kodi million 1 na wewe unategemea nikupe milioni, [emoji3][emoji3][emoji3].
Wapuuzi sana hawaa...!!!
 
Wenye nyumba wakiamua kuweka vibao kama lodge/ guest "vyumba vipo/ nyumba inapangishwa" madalali watakufa njaa,, maana madalali wanapiga parefu khaaa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu mimi kwa kifupi siwapendi hata kuwasikia, serikali ingetafuta namna ya kuwarasimisha na kuwatoza kodi. Ni watu wenye kuishi dunia ya peke yao, wakijitia umuhimu mkuuuuubwa ambao hawana na hivyo kutengeneza usumbufu. Na haya yanaletwa pia ukosefu wa maarifa ya wenye nyumba kwa kushindwa kutangaza biashara zao wenyewe

Sijui ni nani ameweka hivi viwango kuwa dalali alipwe KODI YA MWEZI MMOJA. Braza angu amepanga nyumba Kinondoni Block 41 analipa kodi Tshs 1,000,000 kwa mwezi. Eti huyu mwenda zake naye alitaka apewe 1m kwa kuwa amempeleka hapo. Nikamwambia ajipange kuchukua 250k au apinde kona na 100KpH pumbav zake...braza akalegea akampa 500k. Mimi nisingempa

BACK TO TOPIC, mimi nashauri tusiwadhulumu ila twende nao sawa. Wanapaswa kueleweshwa kuwa biashara yao hiyo haina mtaji kwa hiyo wasiwe kikwazo cha watu wengine kuishi hapa mjini. Imagine unalipa kodi 250k na yeye anadai 250k...kwa lipi? Na bado atakupeleka kwenye nyumba yenye mauzauza, utakaa miezi 6 unaanza tena kuhama.

Wenye nyumba wangekuwa na akili, hawa matapeli mbona wangejifunza kulima.
Ukilima wewe inatosha sio wote walime
 
Dunia ya ubepari haina msamiati usawa.
Madalali wengi wana tamaa mno,yani anataka apate cha juu kinacholingana n mmiliki.
Niliwahi kununua gari kwa kumzunguka,yani unakuta gari ya M8 anataka apate hapo M1
Ni biashara Kama biashara zingine...mbona ata ukinunua bakuli la 30,000 kariakoo ukilikuta masaki Ni 170,000 mbona Hilo ulioni tatizo?
 
Ukilima wewe inatosha sio wote walime
Mtaji wao Ni taarifa..kwamba sehemu flani Kuna nyumba. Wewe huo mtaji au maarifa huna mtaji wao Ni muda...wewe huo mda wakutafuta nyumba huna, wengine Wana maofisi..ndio maana ukatafuta dalali na kaa ukijua sio kila siku au kila mwezi dalali anapata pesa ndio maana commission ya mwezi mmoja au nusu mwezi hu compaseti miezi ambayo hatoingiza pesa. Pia madalali hulipa Kodi 600,000 kwa mwaka ya serekali labda mkute dalali ambaye sio Rasmi. Vilevile nchi Kama Dubai na marekani madalali wanamafanikio makubwa kutokana na hiyo kazi Kule kuheshimika sio apa. Kama huna hela yakumlipa dalali tafuta nyumba mwenyewe lakini Kama Ni dalali unamtegemea Ni haki alipwe sio wewe umpangie alipwe ngapi Apo niwewe ndio utakua tapeli kwa kukiuka makubaliano
 
Mtaji wao Ni taarifa..kwamba sehemu flani Kuna nyumba. Wewe huo mtaji au maarifa huna mtaji wao Ni muda...wewe huo mda wakutafuta nyumba huna, wengine Wana maofisi..ndio maana ukatafuta dalali na kaa ukijua sio kila siku au kila mwezi dalali anapata pesa ndio maana commission ya mwezi mmoja au nusu mwezi hu compaseti miezi ambayo hatoingiza pesa. Pia madalali hulipa Kodi 600,000 kwa mwaka ya serekali labda mkute dalali ambaye sio Rasmi. Vilevile nchi Kama Dubai na marekani madalali wanamafanikio makubwa kutokana na hiyo kazi Kule kuheshimika sio apa. Kama huna hela yakumlipa dalali tafuta nyumba mwenyewe lakini Kama Ni dalali unamtegemea Ni haki alipwe sio wewe umpangie alipwe ngapi Apo niwewe ndio utakua tapeli kwa kukiuka makubaliano
Umeongea vyema mkuu
 
Madalali ni brand kubwa lazima uwatafute wapo kila sector ila wanabadilika majina kama nywele
Mpaka kwenye football wapo wanaitwa maagent kwenye Hisa wanaitwa mabroker sema wabongo ujamaa umewaharibu sana mmezoea kulilia dezo dezo dunia ya kibepari hii madalali ni sector muhimu ipo tangu dunia iumbwe na itaendelea kuwepo
Najivunia kuwa Dalali
Nadhani wengi hawajui maana ya dalali Ni Nini? Dalali Ni mtu anayesimama kwa niaba ya mwenye nyumba, mwenye mazao, mwenye bidhaa flani (middle men ) Ila tafsiri hubadilika katika kila sector lakini kitu Ni kilekile
 
Wenye nyumba wakiamua kuweka vibao kama lodge/ guest "vyumba vipo/ nyumba inapangishwa" madalali watakufa njaa,, maana madalali wanapiga parefu khaaa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wenye majengo wengi hawana mda huo wengine wanataka taarifa ya nyumba iwafikie wengi kuweka tu bango haitoshi maana utakua ume target watu wa mtaani kwako tu pia mwenye nyumba huokoa hela nyingi ya matangazo. Shida Ni dalali analipwa hela ndefu wewe ulitaka alipwe ngapi ? Maanasheria analipwa ngapi kwa kutetea mwenye haki au asie na haki? Daktari kwa mwezi hulipwa ngapi? Unanyumba mbovu au nzuri unataka iuzwe milioni 100 wewe mteja wakununua nyumba yako huna Ila dalali anajua atampata wapi ili wewe uweze kupata milioni Mia yako uondokane na shida au upate aja yako je kwa hiyo huduma yakukupatia wewe mnunuzi wa milioni 100 kwa mfano ungetaka umlipe ngapi?
 
Mtaji wao Ni taarifa..kwamba sehemu flani Kuna nyumba. Wewe huo mtaji au maarifa huna mtaji wao Ni muda...wewe huo mda wakutafuta nyumba huna, wengine Wana maofisi..ndio maana ukatafuta dalali na kaa ukijua sio kila siku au kila mwezi dalali anapata pesa ndio maana commission ya mwezi mmoja au nusu mwezi hu compaseti miezi ambayo hatoingiza pesa. Pia madalali hulipa Kodi 600,000 kwa mwaka ya serekali labda mkute dalali ambaye sio Rasmi. Vilevile nchi Kama Dubai na marekani madalali wanamafanikio makubwa kutokana na hiyo kazi Kule kuheshimika sio apa. Kama huna hela yakumlipa dalali tafuta nyumba mwenyewe lakini Kama Ni dalali unamtegemea Ni haki alipwe sio wewe umpangie alipwe ngapi Apo niwewe ndio utakua tapeli kwa kukiuka makubaliano
Mtu akisoma haraka anaweza kufikiri umeandika point kumbe hamna kitu ngoja nikuoneshe

Madalali wanatambulika na serikali sio ? Sasa nionyeshe Ni kifungu kipi Cha sheria kinasema dalali anapaswa kulipwa Kodi ya mwezi mmoja kutoka kwa mteja ?

Wapi

Wapi sheria imesema dalali akikuonesha nyumba kabla hujalipa unatakiwa umpe hela ya maji ?
 
Back
Top Bottom