Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Nadhani wengi hawajui maana ya dalali Ni Nini? Dalali Ni mtu anayesimama kwa niaba ya mwenye nyumba, mwenye mazao, mwenye bidhaa flani (middle men ) Ila tafsiri hubadilika katika kila sector lakini kitu Ni kilekile
Mkuu tusaidie .je kubadilika kwa tafsiri ya udalali kulingana na mazingira kunabadili maana ya udalali ?
Mfano Wale watu tigo pesa na M pesa tunaweza kuwaita madalali sio ? Sasa niambie Nani huwa anawalipa ? Mteja au yule aliyewapa kazi ?
Kwanini Hawa wanaojifanya wamiliki wa vyumba hawalipwi na hao malandlord ? (Simply Ni kwamba hao Ni wahuni tu ndo maana hata huyo aliyewapa kazi ya kutafta wateja anawatelekeza)
 
Wenye majengo wengi hawana mda huo wengine wanataka taarifa ya nyumba iwafikie wengi kuweka tu bango haitoshi maana utakua ume target watu wa mtaani kwako tu pia mwenye nyumba huokoa hela nyingi ya matangazo. Shida Ni dalali analipwa hela ndefu wewe ulitaka alipwe ngapi ? Maanasheria analipwa ngapi kwa kutetea mwenye haki au asie na haki? Daktari kwa mwezi hulipwa ngapi? Unanyumba mbovu au nzuri unataka iuzwe milioni 100 wewe mteja wakununua nyumba yako huna Ila dalali anajua atampata wapi ili wewe uweze kupata milioni Mia yako uondokane na shida au upate aja yako je kwa hiyo huduma yakukupatia wewe mnunuzi wa milioni 100 kwa mfano ungetaka umlipe ngapi?
Wewe bhana unaongea Kama mlevi
Unamlinganisha vipi dalali na Daktari au mwanasheria ?

Hakuna mwenye nyumba kichaa atakubali kuuza nyumba kwa milion 100 then dalali apate Million 20 kutoka upande wowote . Atazungukwa tu na Hana Cha kufanya zaidi ya kulalamika juu ya Mali isiyokuwa ya kwake ..
 
Wewe bhana unaongea Kama mlevi
Unamlinganisha vipi dalali na Daktari au mwanasheria ?

Hakuna mwenye nyumba kichaa atakubali kuuza nyumba kwa milion 100 then dalali apate Million 20 kutoka upande wowote . Atazungukwa tu na Hana Cha kufanya zaidi ya kulalamika juu ya Mali isiyokuwa ya kwake ..
Huo Ni mtazamo wako wewe wenye nyumba wengi wanalipa commission ya dalali asiliimia kumi muwache kuwanyanyapaa na hawalalamiki wanao lalamikA Ni wale wanaopenda kufanyiwa huduma za bure. Dalali maanasheria na daktari wote sawa kwasababu hutoa huduma yaani( service.) Wote wako kwenye service industry.
 
Mkuu tusaidie .je kubadilika kwa tafsiri ya udalali kulingana na mazingira kunabadili maana ya udalali ?
Mfano Wale watu tigo pesa na M pesa tunaweza kuwaita madalali sio ? Sasa niambie Nani huwa anawalipa ? Mteja au yule aliyewapa kazi ?
Kwanini Hawa wanaojifanya wamiliki wa vyumba hawalipwi na hao malandlord ? (Simply Ni kwamba hao Ni wahuni tu ndo maana hata huyo aliyewapa kazi ya kutafta wateja anawatelekeza)
Sasa kama madalali wahuni kwanini unawatafuta na kuwapa kazi yako
Kwanini usitafute nyumba mwenyewe kimyakimya na ukalipa
 
Wapo wenye nyumba waelewa wanalipa fresh tu sababu anaweza akawa ameitangaza nyumba muda mrefu na akawa hajaiuza na shida zake zinazidi kumzonga but alivyompa dalali tu hata mwezi hajamaliza
Wewe bhana unaongea Kama mlevi
Unamlinganisha vipi dalali na Daktari au mwanasheria ?

Hakuna mwenye nyumba kichaa atakubali kuuza nyumba kwa milion 100 then dalali apate Million 20 kutoka upande wowote . Atazungukwa tu na Hana Cha kufanya zaidi ya kulalamika juu ya Mali isiyokuwa ya kwake ..
 
Mkuu tusaidie .je kubadilika kwa tafsiri ya udalali kulingana na mazingira kunabadili maana ya udalali ?
Mfano Wale watu tigo pesa na M pesa tunaweza kuwaita madalali sio ? Sasa niambie Nani huwa anawalipa ? Mteja au yule aliyewapa kazi ?
Kwanini Hawa wanaojifanya wamiliki wa vyumba hawalipwi na hao malandlord ? (Simply Ni kwamba hao Ni wahuni tu ndo maana hata huyo aliyewapa kazi ya kutafta wateja anawatelekeza)
Tafsiri ya dalali Ni mtu anayesimama badala ya mwenye Mali. Yaani mwenye Mali ndio anajukumu la kumlipa dalali na katika zone nyingine mwenye kutafuta pia anajukumu la kumlipa dalali kulingana na mlivyokubaliana. Mimi na experience ya kufanya kazi na agents kwaiyo naelewa umuhimu wao. wakala wa tigo pesa wanaolipwa na tigo wenyewe( commission) ata wale wa kukata tiketi za ndege nao Ni madalali kwasababu wanasimama kwa niaba ya mwenye kampunikwa mfano Ethiopia airlines wanaitwa travel agents neno agent Ni dalali au middle men hao pia Ni madalali..kwasababu wanamuwakilisha mwenye kampuni na kusimama kwa niaba yake na baadae hulipwa commission kulingana na makubaliano na ticket ngapi kauza. Pia Kuna magenta wa insurance...katika kila sector Kuna madalali.
 
Mtu akisoma haraka anaweza kufikiri umeandika point kumbe hamna kitu ngoja nikuoneshe

Madalali wanatambulika na serikali sio ? Sasa nionyeshe Ni kifungu kipi Cha sheria kinasema dalali anapaswa kulipwa Kodi ya mwezi mmoja kutoka kwa mteja ?

Wapi

Wapi sheria imesema dalali akikuonesha nyumba kabla hujalipa unatakiwa umpe hela ya maji ?
Babu madalali wamekufanya nn mbona unawamind au wamekubaka [emoji16][emoji16]
 
Babu madalali wamekufanya nn mbona unawamind au wamekubaka [emoji16][emoji16]
Itakua katendwa sii bure..Maswali yangu hajibu. Unapewa elimu unaanza kutoa lugha chafu. Jiheshimu wewe! Madalali hulipa 600,000 Kodi kwa mwaka. Wengi wenu mmeshajiwekea kichwani kwamba udalali sii kazi..tatizo liliopo nikwamba fani ya udalali imeingiliwa na ambao sio fani Yao Ni Kama manabii feki wanavyoingilia fani ya kiroho...au udereva ulivyoingiliwa na wasio jua kuendesha kwa Sheria inavyotaka au madaktari feki kuingilia fani ya udaktari. Wewe utakua umetendwa na matapeli wanaojifanya madalali na ndio maana unadharau kazi zao . Malipo Ni Jinsi mtakavyopatana Ni juu yako wewe na uyo dalali . Kwani ukipanda bodaboda kisheria kunakifungu kinachosema utamlipa bodaboda 10,000 kwa kukuleta posta kutoka upanga??

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Huo Ni mtazamo wako wewe wenye nyumba wengi wanalipa commission ya dalali asiliimia kumi muwache kuwanyanyapaa na hawalalamiki wanao lalamikA Ni wale wanaopenda kufanyiwa huduma za bure. Dalali maanasheria na daktari wote sawa kwasababu hutoa huduma yaani( service.) Wote wako kwenye service industry.
Kwan Aina hi ya akili sishangai ukisema dalali na mmiliki wote Ni sawa maana wanatoa huduma

Umewahi kufikiri kwamba biashara bila dalali inafanyika . Ila dalali hana anachokifanya zaidi ya kujipachika apate kula katikati ya jasho la watu tena kwa ujanja ujanja ?
 
Itakua katendwa sii bure..Maswali yangu hajibu. Unapewa elimu unaanza kutoa lugha chafu. Jiheshimu wewe! Madalali hulipa 600,000 Kodi kwa mwaka. Wengi wenu mmeshajiwekea kichwani kwamba udalali sii kazi..tatizo liliopo nikwamba fani ya udalali imeingiliwa na ambao sio fani Yao Ni Kama manabii feki wanavyoingilia fani ya kiroho...au udereva ulivyoingiliwa na wasio jua kuendesha kwa Sheria inavyotaka au madaktari feki kuingilia fani ya udaktari. Wewe utakua umetendwa na matapeli wanaojifanya madalali na ndio maana unadharau kazi zao . Malipo Ni Jinsi mtakavyopatana Ni juu yako wewe na uyo dalali . Kwani ukipanda bodaboda kisheria kunakifungu kinachosema utamlipa bodaboda 10,000 kwa kukuleta posta kutoka upanga??

Quote Reply
Report Edit Delete
Mimi nshakwambia hakuna dalali yeyote anaweza kufanya chochote mbele yangu akafanikiwa

Nyumba atatafuta Kodi ya mwezi hapati na ataishia kulalamika.

Akijaribu ogomvi hapo ndo kakosea atapigika Hadi ajute . Uchawi haunipati Mimi .
 
Tafsiri ya dalali Ni mtu anayesimama badala ya mwenye Mali. Yaani mwenye Mali ndio anajukumu la kumlipa dalali na katika zone nyingine mwenye kutafuta pia anajukumu la kumlipa dalali kulingana na mlivyokubaliana. Mimi na experience ya kufanya kazi na agents kwaiyo naelewa umuhimu wao. wakala wa tigo pesa wanaolipwa na tigo wenyewe( commission) ata wale wa kukata tiketi za ndege nao Ni madalali kwasababu wanasimama kwa niaba ya mwenye kampunikwa mfano Ethiopia airlines wanaitwa travel agents neno agent Ni dalali au middle men hao pia Ni madalali..kwasababu wanamuwakilisha mwenye kampuni na kusimama kwa niaba yake na baadae hulipwa commission kulingana na makubaliano na ticket ngapi kauza. Pia Kuna magenta wa insurance...katika kila sector Kuna madalali.
Kuna mwandishi mmoja wa habari aliwahi kuambiwa na kiongozi mmoja wa michezo anaongea Kama Bata [emoji1][emoji1][emoji1] nadhani kauli hi inakuhusu pia maana naona huelewi unachoongea wewe

Kama anasimama kwa niaba ya mwenye nyumba kwanini Mimi ndo nimlipe ?

Hiyo zone nyingine dalali anasimama kwa niaba ya Nani ?

Je kwenye hiyo zone nyingine tafsiri ya dalali inabadilika ?
 
Kuna mwandishi mmoja wa habari aliwahi kuambiwa na kiongozi mmoja wa michezo anaongea Kama Bata [emoji1][emoji1][emoji1] nadhani kauli hi inakuhusu pia maana naona huelewi unachoongea wewe

Kama anasimama kwa niaba ya mwenye nyumba kwanini Mimi ndo nimlipe ?

Hiyo zone nyingine dalali anasimama kwa niaba ya Nani ?

Je kwenye hiyo zone nyingine tafsiri ya dalali inabadilika ?
Hizo nimifumo ya kazi au taratibu za kazi Kama kazi zingine. Dalali anauwezo wakusimamia kwa niaba ya wote. Wewe mwenye shida ya kupata nyumba na mwenye shida ya kupata mpangaji. Dalali anakua keshawahudumia wote na kwa hiyo huduma anahitajika kulipwa. Mtu angaike kukutafutia wewe sehemu yakukaa alafu usimlipe?
 
Ni biashara Kama biashara zingine...mbona ata ukinunua bakuli la 30,000 kariakoo ukilikuta masaki Ni 170,000 mbona Hilo ulioni tatizo?
Uko sahihi Ndio maana Nikasema ni ubepari kwa maana ya kwamba atakayezubaa Ndio ataumizwa
Na Mimi nikigundua mahali anapochukua hizo bakuli kwa 30elfu nazunguka sinunui kwake kwa 170elfu
 
Kinachoumiza ni hii ya mteja kumlipa pesa ya kodi ya mwezi mmoja dalali. Kwa nini dalali asilipwe na mwenye nyumba?
 
Kuna jamaa angu yeye anachofanyaga anamtanguliza mtu kwa madalali..then jamaa akishapata info tu za nyumba basi kwisha kazi..anazunguka yeye kama yeye kwenye hzo nyumba..akipata anayoitaka ANALIPIA..hapo DALALI hawezi kujua kuwa jamaa alimtanguliza rafiki ake kupata connection
 
hakuna kitu sipendi duniani kama udalali mi huwa naona ni wizi,hata wale wanaokatisha ticket stend mawaona kama madalal tu nao wananikera balaa,basi moja,trip Moja nauli tofaut,KUMZUNGUKA DALALI NAONA IKO POA SANA
Nakubali hoja, ila siku wakiwa legalized wakalipa kodi sitakua na shida nao. Siyo sasa wanakunja pesa bila TRA kujua
 
Back
Top Bottom