Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Nashukuru wateja wangu wa JF ni wastaarabu sio kama wengi wao wanaokoment hapa
 
dalali uza chako ndo uone uchungu
Kweli kabisa yaani dalali anakula asilimia zaidi ya 50 ya mali yako ni ujinga bora utangaze bei ya biashara yako kwenye mitandao aisee weka namba mtu aje mwenyewe.
Vitu vya hivi ndio vinafanyaga madalali wanachukiwa. Mwenye Mali kaibiwa na mnunuzi kaibiwa na wote mwizi wenu mnamjua!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitaka kujua umuhimu wa dalali tafuta wewe mwenyewe wateja uione shughuli/

sasa basi imetokea kuna kitu unataka uuze kwa laki 1, ukatafuta wateja lakini hujapata.

kazi umempa dalali sasa, dalali kapata mteja mwenye laki 5
 
Hiyo imetokea juzi dalali mwenzangu ameonyeshwa nyumba na dalali mwengine dalali mm nikipata mteja hapa JF nikampgie yule dalali mwenzangu ambaye nafanya naye kazi tukauza nyumba tunagawana mtu bee.

Mteja alivyolipia nyumba akunitafuta tena kunijulisha kwamba amefanikisha maana mm nikipata mteja nampgia agent (jamaangu) anaenda kuuza nyumba harafu usiku tunakutana bar kufanya mgawo kifupi tunaaminiana sana.

Ss yule dalali wa 3 tuliyemzunguka na aliyemuonyesha mshikaji nyumba akapeleka mteja anakuta Mali ishauzwa akapagawa akaanza msako kwa madalali akupata jibu ikabidi amtaiti amdai mteja ,mteja ikabidi anipigie mm ,hapo ikabidi niende kuongea na madalali wenzangu akiwamo yule tuliyemzunguka,kumbe kihistoria aluwahi kutuzunguka xo kesi ikaishia hapo tukampiga Castle Lite with a bite mbili akatulia ila vinginevyo mteja angelipa hela ya udalali mara mbili.
Mkuu natamani siku moja ukutane na Mimi bhana nione hizo fujo unazotambia humu unazifanya vipi ?

Kweli Mimi nilipe hela ya udalali Mara 2 hahahahahhahahaahaha dunia imebeba watu wanyonge kinoma. Nadhani kwa Kile nitawafanya utagundua Kuna watu huwa hatufanyiwi mchezo
 
Very simple, imagine wewe ndio dalali, ukifanyiwa hivyo utajisikia powa? If yes, then go on, if not basi tenda wema
Mkuu acha kujenga hoja dhaifu kiasi hiki unauliza suala la kujiskia kwenye issue ya uhalali au haki ?
Ujue hata mwizi akinyang'anywa Mali aliyoiba hajiskii poa ? Issue si anajiskia vipi , issue Ni je hiyo anayotaka kuchukua kwa mteja Ni halali ?
 
Mkuu acha kujenga hoja dhaifu kiasi hiki unauliza suala la kujiskia kwenye issue ya uhalali au haki ?
Ujue hata mwizi akinyang'anywa Mali aliyoiba hajiskii poa ? Issue si anajiskia vipi , issue Ni je hiyo anayotaka kuchukua kwa mteja Ni halali ?
Hahahaha hahahaha
 
Shida walio wengi wamekaa kumponda dalali wanasahau mada kuu ya mjadala.

Swali ni je ni sawa kumzunguuka dalali???
na vipi kuna utaratibu wowote kisheria endapo ukinaunguuka dalali???

Achaneni na maswala ya kuita mara tapeli mara nini
Dalali siyo sawa na Tapeli, lakini dalali naweza mlinganisha na tapeli
 
Mnaona udalali kazi rahisi mimi kwangu hela utatoa na makofi utachukua kabla kazi tunakubaliana kabisa na ma landlords wanaelewa kabisa kodi ya mwezi ya kwangu
Mkuu unapiga wadada wewe .

Nakuhakikishia kuwa hujawahi kukutana dhoruba ya watu jeuri wewe. Utaacha udalali siku ukikutana na dhahama .

Kama landlord anaelewa si akupe hiyo hela au agome kuchukua hela yangu . Ntawageuzia kibao wote siku mkikutana na mtu Kama Mimi. Nakuhakikishia utaacha huu ujinga unaotambia hapa
 
Mkuu unapiga wadada wewe .

Nakuhakikishia kuwa hujawahi kukutana dhoruba ya watu jeuri wewe. Utaacha udalali siku ukikutana na dhahama .

Kama landlord anaelewa si akupe hiyo hela au agome kuchukua hela yangu . Ntawageuzia kibao wote siku mkikutana na mtu Kama Mimi. Nakuhakikishia utaacha huu ujinga unaotambia hapa
Acha mikwara kima ww yaani dalali unamtafuta mwenyewe unampa kazi akutafutie nyumba ya kupanga na hela ya mwezi mmoja ya kumpa unakubali then ukishaiona nyumba ubadilike dogo utaolewa mjini hapa ushamba peleka kwenu kijijini huku watu wanatumia akili tu wala sio miguvu kulukundu

Sent by Dalali-Mzoefu
 
Aisee me kipindi cha Corona pesa hakuna nahama nyumba kodi 250K mamaee afu eti nimpe dalali mwezi mmoja.. Mbona hajanionaa na nyumba nishaamia sema nkikutana nae mtaani aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama unahisi madalali wanafanya kazi rahisi yaani spoon feeders kwa nn utafute dalali akusadie ,tafuta nyumba mwenyewe we jamaa wa ajabu kweli kwani umekatazwa kutafuta pambana kama unaona 200k yako ni big ishu hizo akili za kimasikini mwnye hela hata awazi ,ndio maana binafsi siku hizi mtu akinipigia sim anataka nyumba ya kupanga nikiona anaanza kulia Lia mara ooh 20k au 50k ya service charge sina Nina dusiko namjibu jeuri namuuliza boss unataka nyumba ya 100M harafu hauna 50k ya maji twende site are you serious naachana naye au nampgia dalali mwnzng mmoja njaa njaaa sana namwambia Kuna mteja kimeo njoo upige naye kazi.
Kwa hii post yako nakuhakikishia humu ushapoteza wateja!Hii post ilitakiwa uitumie positively kuwavutia wateja na sio haya majigambo uliyoweka humu!
 
Acha mikwara kima ww yaani dalali unamtafuta mwenyewe unampa kazi akutafutie nyumba ya kupanga na hela ya mwezi mmoja ya kumpa unakubali then ukishaiona nyumba ubadilike dogo utaolewa mjini hapa ushamba peleka kwenu kijijini huku watu wanatumia akili tu wala sio miguvu kulukundu

Sent by Dalali-Mzoefu
Sasa hizo akili Kama hazikusaidii kuelewa kuwa hiyo Kodi ya mwezi mmoja sio lazima kutolewa ndo watu Kama Mimi tunatumia nguvu kukufundisha adabu .

Nakuhakikishia siku ukikutana na mtu Kama Mimi hivyo vitisho hutotoa . Namlipa landlord mbele yako na hunifanyi kitu hata muitane kijiwe chote .

Sie tushafanya uhuni na ugomvi hadi tukaamua kustaafu . Watu laini Kama wewe mnaopenda slopes nachukua Hadi ulivyobeba mfukoni
 
Acha mikwara kima ww yaani dalali unamtafuta mwenyewe unampa kazi akutafutie nyumba ya kupanga na hela ya mwezi mmoja ya kumpa unakubali then ukishaiona nyumba ubadilike dogo utaolewa mjini hapa ushamba peleka kwenu kijijini huku watu wanatumia akili tu wala sio miguvu kulukundu

Sent by Dalali-Mzoefu

Bro acha utapeli. Kulalia jasho la wanaume wenzio bila kutumia nguvu yoyote qmamae zenu madalali mnakera sana!
 
Bro acha utapeli. Kulalia jasho la wanaume wenzio bila kutumia nguvu yoyote qmamae zenu madalali mnakera sana!
Una ny**e ? Kwani dalali unamtafuta ww au anakutafuta listen kama hutaki utata usiingie katika kazi za watu udalali ni kazi halali soon serikali itatutambua nationwide na tutakuwa rasmi
 
Halogwi anapewa makavu mtoto wa kike badala ya kwenda kumkaangia bahasha wake anakuja kuingia kwenye battle za wanaume

Jibaba zima na nywele makalioni unasubiri mwanaume mwenzio ahenye weeee ajenge nyumba kisha wewe ule pesa ya bila jasho qbabako madalali aisee mnakera!
 
Nao kuna muda wana kaupumbavu fulani umempa kabisa specifications za chumba /nyumba unayotaka na anakuhakikishia kabisa anayo unaenda kuangalia hata haifananii kibaya zaidi anavyoisifia sasa utadhani ataishi yeye ili mradi tu akupige hela ya udalali ndio maana wanazungukwa.
Mimi nikimpa kazi dalali namlipa pale napokuwa nafanya hiyo biashara. Habar za kuzungukia maeneo/nyumba hiyo inakuwa juu yake.

Kumpa hela kila anapokupeleka ni uzembe,lazima na yeye aone uwekezaji/gharama.
 
Back
Top Bottom