Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Huyo alikua bwege tu kuna mahali waliandikishiana kua ntakupa kiasi flani
Siyo kila kitu kinaandikwa, hata makubaliano ya Mdomo Ni mazuri Kama ya maandishi. Kumbuka Dalali anafanya kazi halali, kujua kuwa Kuna Chumba sehemu, siyo kazi ndogo, Kuna hitaji connection. Kama mlikubaliana kuwa utampa Kodi ya mwezi, akikupeleka sehemu husika, ukigeuka inakuwa dhuluma Kama dhuluma, zingine,

Ukipelekwa polisi, unalipa,

Kuna wakati Waziri Lukuvi alipendekeza utaratibu wa kuwataka madalali wajisajili rasmi na wawe wanalipa kodi, sijajua mchakato wa Sheria Yao umefikia wapi kwa Sasa. Wanaojua wanaweza tujuza zaidi.
 
Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.

1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%

Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?

2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.

Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.

Swali kwa wadau (dalali na wateja)

1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?

2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?

Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.

Share na sisi tafadhilini.
Hawezi kukufanya kitu wewe mteja bali mwenye nyumba itabidi amlipe dalali
 
Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.

1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%

Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?

2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.

Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.

Swali kwa wadau (dalali na wateja)

1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?

2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?

Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.

Share na sisi tafadhilini.
Mimi wakati napanga nishawapiga Changa la macho madalali wote watatu katika nyumba zote Tatu nilizopanga kwenye mikoa miwili tofauti
 
Ingekuwa ni wewe unaoneshwa nyumba tu na dalali kwa kodi ya laki 4 kwa mwezi ungetoa kodi na kumlipa hio hela au unatoa povu tu?

Hamnaga hela ya mchezo wewe, pelekesha njaa za kimaku! Unaongea shit kichoko wakati unategea hela za wanaume wanaofight kulipa kodi!
Nishalipaga sana madalali hzo 400k sinaga mda wakusumbuana na watu coz naheshimu kazi za watu cha msingi nipate kitu moyo unapenda,ukinitafutia nyumba Kali Kama we dalali naweza hata kukuongeza hela kwny hyo ya mwezi.
Sisi ndio Wahaya sharti la 50k nanunua hata 100k nikilipenda nanunua dazani nzima.
 
Wewe leta visheria vyako tu vya diploma,nadhani hauwajui polisi.Polisi wa bongo wanajua kucheza na sheria kuliko hata wanasheria.
Walimkamata kwa kosa lipi? huyo dalali amesajiliwa kufanya hyo kazi ya udalali? ana ofisi ya kufanyia hyo kazi ya udalali?
 
Ukitaka kujua umuhimu wa dalali tafuta wewe mwenyewe wateja uione shughuli/

sasa basi imetokea kuna kitu unataka uuze kwa laki 1, ukatafuta wateja lakini hujapata.

kazi umempa dalali sasa, dalali kapata mteja mwenye laki 5
 
Mtajuana wenyewe,muuwane mdhurumiane shauri yenu
 
Kwahiyo dalali anakula laki 4 [emoji3][emoji3]
 
Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.

1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%

Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?

2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.

Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.

Swali kwa wadau (dalali na wateja)

1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?

2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?

Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.

Share na sisi tafadhilini.
Usikiuke makubaliano haya siku moja. Ulikuwa na shida ukasaidiwa. Sasa unastarehe, unadhulumu. Kumbuka huyo aliishapangia matumizi kipato hicho. Siku zote unapofanya jambololote kwa mtu yoyote, jiweke katika nafasi yake
 
Mali yako ananufaika mwingine kupitia Mgongo wako daah inauma Sana
 
Kuna mzee alighairi kuuza nyumba yake kwa ungese wa namna hii.
Alikua anaiuza 40m, dalali kamvuta chemba akamueleza anamleta mteja ila bei ya mwisho kuuza ni 70m dalali ale 30m.
Mzee akapiga hesabu zake akaona huu ni uhayawani yaani dalali hajui hata bei ya msumari halafu akule 30m na yeye mwenye mali aliehangaika kujenga ale 40m.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] japo inauma ila huna budi kumpa. Lasivyo umwombe akupunguzie kidogo.
 
Hao ndo wanafanyaga tusiojua kuroga tujue Sasa..😅
 
Back
Top Bottom