Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Humu jf kuna watu washamba kinoma
Mnadharau kazi za watu sisi hizo ndo kazi zetu na ndo zinatupa heshima hapa mjini
 
Mkuu, madalali wapo wengi kuliko hao uliowaainisha kwa uchache, ingependeza ukawaweka inclusively tukajadili ama kuchangia kwa wigo mpana.

Hawa madalali wa binadamu nao wawekwe, itapendeza zaidi ili kuupanua mjadala.
 
Shida walio wengi wamekaa kumponda dalali wanasahau mada kuu ya mjadala.

Swali ni je ni sawa kumzunguuka dalali???
na vipi kuna utaratibu wowote kisheria endapo ukinaunguuka dalali???

Achaneni na maswala ya kuita mara tapeli mara nini
Sasa wewe mchango wako ni upi kwenye mada hii?

Kuna tofauti gani na washereheshaji wengine wanaoongeza mapambo yao ili kuisukuma mbele mada hii pendwa?
 
Kama unahisi madalali wanafanya kazi rahisi yaani spoon feeders kwa nn utafute dalali akusadie ,tafuta nyumba mwenyewe we jamaa wa ajabu kweli kwani umekatazwa kutafuta pambana kama unaona 200k yako ni big ishu hizo akili za kimasikini mwnye hela hata awazi ,ndio maana binafsi siku hizi mtu akinipigia sim anataka nyumba ya kupanga nikiona anaanza kulia Lia mara ooh 20k au 50k ya service charge sina Nina dusiko namjibu jeuri namuuliza boss unataka nyumba ya 100M harafu hauna 50k ya maji twende site are you serious naachana naye au nampgia dalali mwnzng mmoja njaa njaaa sana namwambia Kuna mteja kimeo njoo upige naye kazi.
Wabongo sisi kwenye biashara yoyote Ile tuko longolongo sana, unaweza kumfanyia connection mtu siku mambo yakiwa fire jamaa anapewa mzigo, Wakat wa kukupa wewe chko hapo ndiyo Mtiti

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Shida walio wengi wamekaa kumponda dalali wanasahau mada kuu ya mjadala.

Swali ni je ni sawa kumzunguuka dalali???
na vipi kuna utaratibu wowote kisheria endapo ukinaunguuka dalali???

Achaneni na maswala ya kuita mara tapeli mara nini
Kuenda na wimbo wa swali Ni kazi Sana. Hapa tayari watu wanajadili nje ya wimbo wa swali.
 
Kama unahisi madalali wanafanya kazi rahisi yaani spoon feeders kwa nn utafute dalali akusadie ,tafuta nyumba mwenyewe we jamaa wa ajabu kweli kwani umekatazwa kutafuta pambana kama unaona 200k yako ni big ishu hizo akili za kimasikini mwnye hela hata awazi ,ndio maana binafsi siku hizi mtu akinipigia sim anataka nyumba ya kupanga nikiona anaanza kulia Lia mara ooh 20k au 50k ya service charge sina Nina dusiko namjibu jeuri namuuliza boss unataka nyumba ya 100M harafu hauna 50k ya maji twende site are you serious naachana naye au nampgia dalali mwnzng mmoja njaa njaaa sana namwambia Kuna mteja kimeo njoo upige naye kazi.
Ingekuwa ni wewe unaoneshwa nyumba tu na dalali kwa kodi ya laki 4 kwa mwezi ungetoa kodi na kumlipa hio hela au unatoa povu tu?

Hamnaga hela ya mchezo wewe, pelekesha njaa za kimaku! Unaongea shit kichoko wakati unategea hela za wanaume wanaofight kulipa kodi!
 
Basi tafuta mwenyewe usisumbue watu
Udalali upo tangu enzi za mitume watu ndo kazi zao punguza dharau kama unataka nyumba ya kupanga ingia mtaani itafute
Ingekuwa ni wewe unaoneshwa nyumba tu na dalali kwa kodi ya laki 4 kwa mwezi ungetoa kodi na kumlipa hio hela au unatoa povu tu?

Hamnaga hela ya mchezo wewe, pelekesha njaa za kimaku! Unaongea shit kichoko wakati unategea hela za wanaume wanaofight kulipa kodi!
 
Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.

1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%

Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?

2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.

Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.

Swali kwa wadau (dalali na wateja)

1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?

2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?

Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.

Share na sisi tafadhilini.
Madalali hiyo 10000 kumi unachukua ya nini?unamtembeza mtu kwenye nyumba mbovu wakati amekupa condition za nyumba ipi anataka..acha mpigwe tu mnakua na vitambi hata kodi za serikali hamlipi
 
Madalali watu muhimu sana kwenye jamii ni kiunganish kizuri baina muuzaji na mnunuzi tusiwabeze kwenye dosari tuparekebishe mimi kwa upande wangu ni dalali tena konki kitaani kote wananijua najenga kwa kazi hiyo nimejuana na wengi
 
Nyumba nikitaka ni dalali atatafuta ila huo ujinga hakuna!

[emoji23][emoji23][emoji23] ila we mbishi! Kwamba nyumba atatafuta lakini ujinga wapeleke huko!

Unajua mi sielewi maana hapa, yaani kodi ya mwezi mmoja anayopewa dalali wameithaminisha na kitu gani? Wamewezaje kupata hiyo value ya malipo? Mtu mwingine ajenge yeye aione aanze kuonesha wateja aclaim kodi ya mwenzi lets say ni 500k kwa mwezi! Mi kwa hili watanilaumu sana, nitampa nayoona ninauwezi nayo kama hataki akashtaki! Ata akinishitaki nitawaambia polisi nina uwezo wa kumpa buku kila mwisho wa mwezi!
 
Anakupeleka polisi na utailipa polis, kuna rafik yang mmoja alimzunguka dalali alivojua akaenda polis jamaa yang akakamatwa akaambiwa alipe hela ya udalal na ya polis
Huyo alikua bwege tu kuna mahali waliandikishiana kua ntakupa kiasi flani
 
Huyo umemkuta dalal mpole, ungekutana na mtata mbona ungeenda kuitoa polisi, yeye atasema yeye ndio kakuleta hapo means bila yeye usingepajua hapo, napolis wakuda utaitoa tu hela
Hizo ni story tu dalali wenyewe matapeli,ukienda police mabatini kesi kibao za madalali wa mlimani city kuuzia watu magari kwa utapeli
 
Mfano kwenye chumba...dalali anataka kodi ya mwezi mmoja. Hivi hizo sheria wamebuni wao au vip?
Ndio utaratibu ila huo utaratibu ni wakati umeletwa na dalali...kama umeweza kukutana na mwenye nyumba bila dalali ni vizuri, ila wenye nyumba nao wanapiga ya dalali [emoji23]
 
Mnaona udalali kazi rahisi mimi kwangu hela utatoa na makofi utachukua kabla kazi tunakubaliana kabisa na ma landlords wanaelewa kabisa kodi ya mwezi ya kwangu
 
Mnaona udalali kazi rahisi mimi kwangu hela utatoa na makofi utachukua kabla kazi tunakubaliana kabisa na ma landlords wanaelewa kabisa kodi ya mwezi ya kwangu
Weeeeeeee unasemaje wewe??? Unipige jiandae kushonwa nyuzi kadhaa.

Nanihakikishe sehemu inayoonekana ili uwe unasimulia kwa kila mtu.
 
Weeeeeeee unasemaje wewe??? Unipige jiandae kushonwa nyuzi kadhaa.

Nanihakikishe sehemu inayoonekana ili uwe unasimulia kwa kila mtu.
Mijitu mnakaa mnadiss kazi za watu kwangu unakula mitama ya nguvu halafu ukahadithie
 
Ukitaka tusikorofishane usiingie kwenye kazi zangu
 
Back
Top Bottom