Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Kima Cha chini Cha mshahara wa serikali ni 270,000 Takribani dola 130 kwa mwezi , huo sio utumwa ?

Hizo dola kwa ulaya unaingiza kwa masaa kadhaa tu.
Mambo sio rahisi namna hii ulaya, lazima ufanye kazi kama mtumwa ili utoboe

Wengi wangetajirika
 
Wazungu wana ubaguzi sana dhidi ya ngozi nyeusi, sema labda kama una hulka ya kujikombakomba.....vinginevyo utaboreka zaidi ukilinganisha kuishi na jamii ya weusi wenzako..
Well said!! Ni kipaji icho
 
Ila kweli kama unaweza kupata m2_5 kwa mwezi unaenda ulaya kufanya nini
 
Madam we inaonyesha mpambanaji!!!
 


Wanao tuongoza ni watu ambao ni self-centred, hao hao ndo wanabadili maeneo ya wazi kuwa viwanja vya makazi na mwisho wa siku wanagawana wao. Kwa nje wanaonekana wanatupenda lakini roho zao hapana. Public interest siyo kipaumbele kwao.
 
Usiongee tena kaka umemaliza, una spirit ya utafutaji na ya ushawishi, positivity!
 
Tukutane abroad mkuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…