Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Mimi nadhani waswahili wengi hapa ndo tuna miss point. Mimi included!

Ok..Ulaya maisha magumu, kazi za box, baridi kali..nk. Lakini bongo maisha yakoje? mtu ameajiliwa anapata mshahara wa laki mbili, read again laki mbili! Hata dola mia haifiki! Professor wa University of Dar es salaam, aliyefundisha zaidi ya miaka 30..hapeleki nyumbani mshahara wa million tano! read again....five million! Pension system ndo hivyo..haieleweki... Kila mwenye ajira serikalini more than 80% wanategemea kuishi kwa ujanja ujanja na virushwa vidogo vidogo....mshahara haukutani na hauwezi kukidhi hata basic needs za mwanadamu! Serikali hata ingepeleka tons and tons za madawa hospitali..hao hao wahusika ndo wanapita mlango wa nyuma kuyauza hayo madawa. Wananchi wengi bongo wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kabisa....uhai hauna thamani tena! Wananchi Tunahusudu siasa za majungu na ujinga kuliko hata wanasiasa wenyewe...

Halafu leo unamshangaa Prof. Kabudi mwanasheria Nguli kafundisha mlimani miaka nenda rudi..anateuliwa uwaziri anamshukuru Rais kumtoa JALALANI? Sasa kama University of Dar ni Jalalani huko halmashauri za Songea na Kigoma si ni chooni kabisa?

Leo unapata wapi courage ya kudharau mtu anayebeba box kwenye winter na kulipwa dola 20 au 30 kwa lisaa (conservative estimates?). Unapata wapi courage ya kudharau watu kwamba wanaosha vyoo au kusafisha barabarani? Kwani kazi maana yake ni nini? Unakuta huyu huyu anayebeba mabox kwenye warehouse...anaishi maisha mazuri yenye kuthamini utu na kusaidia ndugu zake hapa Tanzania! Leo unasema wewe ni engineer bongo..wakati hata calvert za barabara zetu wanajenga fundi mchundo kutoka china? Daktari wa bongo akienda Ulaya hataweza kupractice..itabidi aanze upya..na bado huyo anapata guts za kudharau watu wanaosafisha vyoo ulaya?

Watanzania tuamke! Ndo maana hatuishi kugombana na serikali kwa hivi viajira ambayo hata huwezi kujitunza bila kuiba pesa za wavuja jasho wenzako.....achilia mbali kutunza familia!

Yes, Ulaya au US maisha siyo marahisi. Na wala hakuna sehemu maisha yalipo marahisi. Lakini ukiishi kwa discipline ukapambana..lazima utatoboa. Tatizo wengi wetu akili za umasikini zinatutesa sana. Bado tunaamini kwamba kazi ya maana ni ya kuajiriwa ofisini..hata kama unafanya kazi kwa muhindi unalipwa 150k!

Ushauri wangu..vijana amkeni mpambane. ukipata mchongo wa kwenda popote wewe nenda kafie mbele. Hata ukipata kazi ya ulinzi Syria au Yemeni kwa makampuni ya wamarekani ya ulinzi..nenda..usiogope kufa kwa mabomu. Inawezakana bongo usife kwa mabomu lakini ukafa kwa kugongwa na bajaji ambayo haina bima au kipindupindu!

Tuache negativities watanzania! Tupeane moyo wa kustruggle. Siyo kila anayeenda ulaya atapitia airport na passport na kusindikizwa na familia. au ni msomi anaenda kufanya masters kwa scholarship za wahisani....wengine ni watoto wa masikini. ..Mchongo wa Ulaya inabidi upambane mwenyewe bila baba fisadi wa kukutafutia scholarship za ujanja ujanja!

Imani yangu kubwa...watanzania songeni mbele mkatafute maisha. Hata akina Karl Peters, Livingstone, Columbus na wengine wengi... walitoboa wakaacha comfort zone zao wakaja huku kwetu "kuvumbua" dunia nyingine. Ni kupitia wao nchi zao zilitawala mataifa mengine na kuwa na dola kubwa kiuchumi! Tusiogope kufagia barafu au kusafisha vyoo huko Ulaya. Wengi wametoboa kupitia hizi njia na kazi za fedheha (kama wasomi wetu wa bongo wanavyoziita)

Masanja
Ukweli mtupu !
- connection zikikosekana itabidi tu tujilipuwe itajulikana mbele ya safari... !
 
Mimi nadhani waswahili wengi hapa ndo tuna miss point. Mimi included!

Ok..Ulaya maisha magumu, kazi za box, baridi kali..nk. Lakini bongo maisha yakoje? mtu ameajiliwa anapata mshahara wa laki mbili, read again laki mbili! Hata dola mia haifiki! Professor wa University of Dar es salaam, aliyefundisha zaidi ya miaka 30..hapeleki nyumbani mshahara wa million tano! read again....five million! Pension system ndo hivyo..haieleweki... Kila mwenye ajira serikalini more than 80% wanategemea kuishi kwa ujanja ujanja na virushwa vidogo vidogo....mshahara haukutani na hauwezi kukidhi hata basic needs za mwanadamu! Serikali hata ingepeleka tons and tons za madawa hospitali..hao hao wahusika ndo wanapita mlango wa nyuma kuyauza hayo madawa. Wananchi wengi bongo wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kabisa....uhai hauna thamani tena! Wananchi Tunahusudu siasa za majungu na ujinga kuliko hata wanasiasa wenyewe...

Halafu leo unamshangaa Prof. Kabudi mwanasheria Nguli kafundisha mlimani miaka nenda rudi..anateuliwa uwaziri anamshukuru Rais kumtoa JALALANI? Sasa kama University of Dar ni Jalalani huko halmashauri za Songea na Kigoma si ni chooni kabisa?

Leo unapata wapi courage ya kudharau mtu anayebeba box kwenye winter na kulipwa dola 20 au 30 kwa lisaa (conservative estimates?). Unapata wapi courage ya kudharau watu kwamba wanaosha vyoo au kusafisha barabarani? Kwani kazi maana yake ni nini? Unakuta huyu huyu anayebeba mabox kwenye warehouse...anaishi maisha mazuri yenye kuthamini utu na kusaidia ndugu zake hapa Tanzania! Leo unasema wewe ni engineer bongo..wakati hata calvert za barabara zetu wanajenga fundi mchundo kutoka china? Daktari wa bongo akienda Ulaya hataweza kupractice..itabidi aanze upya..na bado huyo anapata guts za kudharau watu wanaosafisha vyoo ulaya?

Watanzania tuamke! Ndo maana hatuishi kugombana na serikali kwa hivi viajira ambayo hata huwezi kujitunza bila kuiba pesa za wavuja jasho wenzako.....achilia mbali kutunza familia!

Yes, Ulaya au US maisha siyo marahisi. Na wala hakuna sehemu maisha yalipo marahisi. Lakini ukiishi kwa discipline ukapambana..lazima utatoboa. Tatizo wengi wetu akili za umasikini zinatutesa sana. Bado tunaamini kwamba kazi ya maana ni ya kuajiriwa ofisini..hata kama unafanya kazi kwa muhindi unalipwa 150k!

Ushauri wangu..vijana amkeni mpambane. ukipata mchongo wa kwenda popote wewe nenda kafie mbele. Hata ukipata kazi ya ulinzi Syria au Yemeni kwa makampuni ya wamarekani ya ulinzi..nenda..usiogope kufa kwa mabomu. Inawezakana bongo usife kwa mabomu lakini ukafa kwa kugongwa na bajaji ambayo haina bima au kipindupindu!

Tuache negativities watanzania! Tupeane moyo wa kustruggle. Siyo kila anayeenda ulaya atapitia airport na passport na kusindikizwa na familia. au ni msomi anaenda kufanya masters kwa scholarship za wahisani....wengine ni watoto wa masikini. ..Mchongo wa Ulaya inabidi upambane mwenyewe bila baba fisadi wa kukutafutia scholarship za ujanja ujanja!

Imani yangu kubwa...watanzania songeni mbele mkatafute maisha. Hata akina Karl Peters, Livingstone, Columbus na wengine wengi... walitoboa wakaacha comfort zone zao wakaja huku kwetu "kuvumbua" dunia nyingine. Ni kupitia wao nchi zao zilitawala mataifa mengine na kuwa na dola kubwa kiuchumi! Tusiogope kufagia barafu au kusafisha vyoo huko Ulaya. Wengi wametoboa kupitia hizi njia na kazi za fedheha (kama wasomi wetu wa bongo wanavyoziita)

Masanja
Mkuu naomba connection..pm
 
Nina mwanangu anasambaza magazeti Uingereza ana maisha hapa bongo kukushinda wewe na ukoo wako wote.

Mwaka huu amenunua Nyumba Dar milion 150.


Acha kutisha watu mkuu maisha ni kokote.

Kuna watu wanaenda Iraq, Somalia , kongo kwenye Vita ije kuwa ulaya kwenye nchi zenye amani ?


Acheni watu wasake maisha.
Nipe connection mkuu!
 
Sipendi kabisa vijana wa kitanzania na kiafrika wakafie bahari ya mediteranean kwa kukanyagana kuzamia ulaya, mbona wao hawakanyagani kuja huku kwetu. Hii ni kuwajaza vijana fikra za kitumwa kana kwamba hawawezi kupambana kuboresha hali ya mambo kwenye nchi zao, hadi akawe mbeba mabox ya wazungu.....
Mkuu naona unatuhubiria habari za vifo kanakwamba kwenda ulaya /America aubara jingine mbali na nchi yako ni sawa na kwenda vitani?
 
Next month naenda Germany au Sweden nshatumiwa invitation letter nnayo mfuko wa shati.
Najiandaa kwenda ubalozini nikamdanganye balozi kwamba nna sifa stahiki zote za kwenda majuu na kurudi ila honestly sirudi ng'o. Nikifika naanza kusoma hata cherehani tu.
Mkuu nchi hizo uki overstay kuhusu visa yakoinakuwaje?
 
Halafu hao ndo unakuta wamevimbiwa na kodi za Wavuja jasho....wanashauri wenzao wajiajiri.

Unajitutumua kulimia mahindi Laela...au Likonde..anayekupangia bei yupo Dar es salaam....bongo utapeli mwingi sana.
Inasikitisha sana mkuu, vijana , watu wamakamo wanapambana sana ... ila maisha ya bongo yanakatisha tamaa kwakweli!
 
Acha vijana watumikie nchi yao bhana, yaani vijana wanapishana na mzungu na mchina wanaokuja kusomba dhahabu......kijana anakimbilia box alipwe dola 20.....hii mbaya sana.
We mzee umelewa?
 
Bwana mdogo ni teacher. Ana alikuwa na saving zake million 10. Huyu jamaa mwaka juzi alivyooanza kuleta uzi humu kaanzi Ukraine, katoka Ukraine kaingia Poland halafu baada ya wiki akaleta threads zingine yuko Norway.

Mimi nimeishi na nipo Norway miaka 12 sasa hivi. Na kabla ya Norway nilisoma Ukraine baadaye nikajiachia Hungary. Tulitaka kujiachia Ujerumani lakini tukadakwa mpakani tukajikuta tunaomba hifadhi Hungary.

Bwana mdogo nimemsaidia sana visa ya Hungary imeshindikana.

Yupo humu jamvin. Aliposoma uzi wa jamaa akamfua pm.. Jamaa akamuambia yani huku kazi nyingi na mademu kibao ukifika tu wanakugombania wanapenda waafrika sana na unaoa na unapara passport.

Dogo nikamuonya ampotezee jamaa anamdanganya siyo kirahisi kihivyo. Nilisikitika sana bwana mdogo kunitangaza eti sitaki kumsaidia kuja ulaya.

Jamaa akawapanga akawadanganya ana jamaa yake yuko Dar kumbe ndo yeye atafute na wengine waende kwake na milioni 7 kila mmoja atawasaidia visa ya Poland halafu wakifika Poland anawavusha Norway.

Nikamuonya tena bwana mdogo. Ila Inasikitisha sana jamaa kala 14 m
Mkuu tupe njia ya kweli tusitapeliwe...
 
Mimi nadhani waswahili wengi hapa ndo tuna miss point. Mimi included!

Ok..Ulaya maisha magumu, kazi za box, baridi kali..nk. Lakini bongo maisha yakoje? mtu ameajiliwa anapata mshahara wa laki mbili, read again laki mbili! Hata dola mia haifiki! Professor wa University of Dar es salaam, aliyefundisha zaidi ya miaka 30..hapeleki nyumbani mshahara wa million tano! read again....five million! Pension system ndo hivyo..haieleweki... Kila mwenye ajira serikalini more than 80% wanategemea kuishi kwa ujanja ujanja na virushwa vidogo vidogo....mshahara haukutani na hauwezi kukidhi hata basic needs za mwanadamu! Serikali hata ingepeleka tons and tons za madawa hospitali..hao hao wahusika ndo wanapita mlango wa nyuma kuyauza hayo madawa. Wananchi wengi bongo wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kabisa....uhai hauna thamani tena! Wananchi Tunahusudu siasa za majungu na ujinga kuliko hata wanasiasa wenyewe...

Halafu leo unamshangaa Prof. Kabudi mwanasheria Nguli kafundisha mlimani miaka nenda rudi..anateuliwa uwaziri anamshukuru Rais kumtoa JALALANI? Sasa kama University of Dar ni Jalalani huko halmashauri za Songea na Kigoma si ni chooni kabisa?

Leo unapata wapi courage ya kudharau mtu anayebeba box kwenye winter na kulipwa dola 20 au 30 kwa lisaa (conservative estimates?). Unapata wapi courage ya kudharau watu kwamba wanaosha vyoo au kusafisha barabarani? Kwani kazi maana yake ni nini? Unakuta huyu huyu anayebeba mabox kwenye warehouse...anaishi maisha mazuri yenye kuthamini utu na kusaidia ndugu zake hapa Tanzania! Leo unasema wewe ni engineer bongo..wakati hata calvert za barabara zetu wanajenga fundi mchundo kutoka china? Daktari wa bongo akienda Ulaya hataweza kupractice..itabidi aanze upya..na bado huyo anapata guts za kudharau watu wanaosafisha vyoo ulaya?

Watanzania tuamke! Ndo maana hatuishi kugombana na serikali kwa hivi viajira ambayo hata huwezi kujitunza bila kuiba pesa za wavuja jasho wenzako.....achilia mbali kutunza familia!

Yes, Ulaya au US maisha siyo marahisi. Na wala hakuna sehemu maisha yalipo marahisi. Lakini ukiishi kwa discipline ukapambana..lazima utatoboa. Tatizo wengi wetu akili za umasikini zinatutesa sana. Bado tunaamini kwamba kazi ya maana ni ya kuajiriwa ofisini..hata kama unafanya kazi kwa muhindi unalipwa 150k!

Ushauri wangu..vijana amkeni mpambane. ukipata mchongo wa kwenda popote wewe nenda kafie mbele. Hata ukipata kazi ya ulinzi Syria au Yemeni kwa makampuni ya wamarekani ya ulinzi..nenda..usiogope kufa kwa mabomu. Inawezakana bongo usife kwa mabomu lakini ukafa kwa kugongwa na bajaji ambayo haina bima au kipindupindu!

Tuache negativities watanzania! Tupeane moyo wa kustruggle. Siyo kila anayeenda ulaya atapitia airport na passport na kusindikizwa na familia. au ni msomi anaenda kufanya masters kwa scholarship za wahisani....wengine ni watoto wa masikini. ..Mchongo wa Ulaya inabidi upambane mwenyewe bila baba fisadi wa kukutafutia scholarship za ujanja ujanja!

Imani yangu kubwa...watanzania songeni mbele mkatafute maisha. Hata akina Karl Peters, Livingstone, Columbus na wengine wengi... walitoboa wakaacha comfort zone zao wakaja huku kwetu "kuvumbua" dunia nyingine. Ni kupitia wao nchi zao zilitawala mataifa mengine na kuwa na dola kubwa kiuchumi! Tusiogope kufagia barafu au kusafisha vyoo huko Ulaya. Wengi wametoboa kupitia hizi njia na kazi za fedheha (kama wasomi wetu wa bongo wanavyoziita)

Masanja
Sina haja ya kuongeza.

Watanzania wana ujinga mwingi sana..

Wanahalalisha umasikini wao na kujiona bora zaidi.
 
ILa sio kwa upweke ule wa kuishi ulaya hapana aisee. mi bongo sihami wacha tukomae hapa hapa
 
Siri yao kuu ni kuwekeza sana kwenye elimu. Halafu wanafanya kazi sana hakuna longo longo na wanalipa kodi si mchezo. Na hawana huu ufisadi na rushwa kama hii ya kwetu huku. Kodi kweli unalipa na huduma unapata za hali ya juu kuanzia mashuleni, mahospitalini, mabarabara, miji n.k. Na una uhuru wa kuhoji karibu kila kitu.
Mbongo anaweza kusifia ulipa kodi ulaya lakini akibanwa bongo alipe kodi anaitwa unyanyasaji
 
Bwana mdogo ni teacher. Ana alikuwa na saving zake million 10. Huyu jamaa mwaka juzi alivyooanza kuleta uzi humu kaanzi Ukraine, katoka Ukraine kaingia Poland halafu baada ya wiki akaleta threads zingine yuko Norway.

Mimi nimeishi na nipo Norway miaka 12 sasa hivi. Na kabla ya Norway nilisoma Ukraine baadaye nikajiachia Hungary. Tulitaka kujiachia Ujerumani lakini tukadakwa mpakani tukajikuta tunaomba hifadhi Hungary.

Bwana mdogo nimemsaidia sana visa ya Hungary imeshindikana.

Yupo humu jamvin. Aliposoma uzi wa jamaa akamfua pm.. Jamaa akamuambia yani huku kazi nyingi na mademu kibao ukifika tu wanakugombania wanapenda waafrika sana na unaoa na unapara passport.

Dogo nikamuonya ampotezee jamaa anamdanganya siyo kirahisi kihivyo. Nilisikitika sana bwana mdogo kunitangaza eti sitaki kumsaidia kuja ulaya.

Jamaa akawapanga akawadanganya ana jamaa yake yuko Dar kumbe ndo yeye atafute na wengine waende kwake na milioni 7 kila mmoja atawasaidia visa ya Poland halafu wakifika Poland anawavusha Norway.

Nikamuonya tena bwana mdogo. Ila Inasikitisha sana jamaa kala 14 m
Hata mimi naona harufu ya wizi
 
Sisi tuna mali nyingi Sana kuliko Norway tatizo hatujapata kiongozi tangu UHURU
 
Back
Top Bottom