Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hata tunda sio ngumu kupata.Ila watu wa uswaz wana pesa na furaha kila wakati na ni wakarimu kati yao.
Japo hilo lifestyle lao siliwezi
Ila watu wa uswaz wana pesa na furaha kila wakati na ni wakarimu kati yao.
Japo hilo lifestyle lao siliwezi
Supendi uswazi kanisa, wamama kutwa nznma ni matusi tu. Wizi umekithiri. Uhuni mwngi.
Makelele ya mabanda ya kuchomea mzki na series. Uchafu wa mazngira yaan kila kitu ni grade ya mwsho kbsa.
Hata tunda sio ngumu kupata.
Na videm vingi vya huko ukiingia na gia ya kumwaga pesa vinakuona mshamba tu utakuja shangaa unapigiwa na wasanii uchwara wa singeli wa mitaa hio sababu vinawakubali sana, yaan hawaabudu hela, wameridhika kabisa na maisha ya ovyo. Ujilete na usomi eti unamtafutia kazi mara nn sijui kisa amekupa game zuri matobo almost yote unataka kumtoa uswahilini ndugu yangu utajuta
Nilijua wamekuban
Kumbe bado unadunda na kelele zako
Kwendraaa 😂[emoji23][emoji23][emoji23] nilipewa na nikatolewa watu na connection zetu bhna tuna dunda mjini hap
Ishara zitakazokujulisha kwamba Sasa unaingia uswazi ni wingi wa vitoto halafu havijavaa shati juu,vinacheza michezo ya kupigana na kubebanabebana bila kusahau mademu kibao vibarazani macho yote yanakutizama kwa mshangao.....!
Dash kuishi uswazi yataka moyo wa ujasusi Sana Kama una pigo za kisomisomi
Kwendraaa [emoji23]
Konekshen yako labda ya kufutiwa nyuzi
Jidai tu[emoji23] haya mimi sio mwezako ww ukipigwa ban unasubilishwa wiki mimi masaaa [emoji23][emoji23]
Jidai tu