Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

kipimo cha uswazi ni kelele , pilikapilika ya watu mara huyu kapita huku mara yule kule, wanawake wanavaa madelaa, duka flani linauzwa sigara hadi panadol, nyumba hazijapangiliwa , vijana na syltle zao za nywele, unamka asubuhi unarudi jion vijana wapo tu wanakula story za mafanikio na watu waliofanikiwa wanazungumzwa sana huko na hatari kuliko zote ni videmu vya huko ukipiga mtupo huru tu kesho unamka na UTI, ila pamoja na shida zote hizo uswaz ni sehemu ya watu wenye furaha na wengi wana vipaji vya asil
 
Uswazi kwetu!
Supu za mimba za ng'ombe!
Sembe la hamira mboga pandu na nyanya masalo, ukichoma ngulu unalaaniwa mtaa!
mzima
mlango wa chooni pazia la kipande cha junia au kiroba! Kona ya mti nyeusi kwa kukokona! Ukiingia utakutana na makimba mengine kama koni, makimba mengine gololi zilizo changanyika na damu na makamasi.....
Ukisha yaruka makimba ili unye salama urojo wa mavi usikurukie unafunika na gazeti....
Uswazi kwetu....!
 
Uswazi kwetu!
Supu za mimba za ng'ombe!
Sembe la hamira mboga pandu na nyanya masalo, ukichoma ngulu unalaaniwa mtaa!
mzima
mlango wa chooni pazia la kipande cha junia au kiroba! Kona ya mti nyeusi kwa kukokona! Ukiingia utakutana na makimba mengine kama koni, makimba mengine gololi zilizo changanyika na damu na makamasi.....
Ukisha yaruka makimba ili unye salama urojo wa mavi usikurukie unafunika na gazeti....
Uswazi kwetu....!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii new kwa kweli
 
kipimo cha uswazi ni kelele , pilikapilika ya watu mara huyu kapita huku mara yule kule, wanawake wanavaa madelaa, duka flani linauzwa sigara hadi panadol, nyumba hazijapangiliwa , vijana na syltle zao za nywele, unamka asubuhi unarudi jion vijana wapo tu wanakula story za mafanikio na watu waliofanikiwa wanazungumzwa sana huko na hatari kuliko zote ni videmu vya huko ukipiga mtupo huru tu kesho unamka na UTI, ila pamoja na shida zote hizo uswaz ni sehemu ya watu wenye furaha na wengi wana vipaji vya asil
vijana wakishua staili zao zanywele zipoje mkuu?shukrani👏
 
Habari za mchana,

Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana kuna.

Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.

Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.

Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Aiseh mazoea ya ajabu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii new kwa kweli
bro uswazi [emoji38][emoji38]
Kisima cha maji kipo karibu na choo hakikauki maji!
mpira wa soksi watoto wakicheza ukiingia sebuleni kwa shoot utasikia gooo...
Nawashangaa mtu akishinda anaacha raha za uswazi anahamia masaki, mikocheni...[emoji56][emoji38][emoji38]
Konyagi pori ukisikia mama muuza lete kamba ujue amesha jinyea!
 
bro uswazi [emoji38][emoji38]
Kisima cha maji kipo karibu na choo hakikauki maji!
mpira wa soksi watoto wakicheza ukiingia sebuleni kwa shoot utasikia gooo...
Nawashangaa mtu akishinda anaacha raha za uswazi anahamia masaki, mikocheni...[emoji56][emoji38][emoji38]
Konyagi pori ukisikia mama muuza lete kamba ujue amesha jinyea!

🥱🥱 mimi nina hasira nitaja piga toto za watu
 
Imebidi nikomentu tu;

Story za vijana wa uswazi sasa, niliwahi kukaa mitaa flani yaani, huwa hawamalizi story moja but juu kwa juu inaanzishwa inafika kati mara nyingine hiyo, jamaa anaongea mara paap unasikia kile.
 
Back
Top Bottom