Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #181
Mwananyamala.
Kumbe kwahio walikuwa wanatak kunipiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwananyamala.
Kwa hapa dar ukiondoa upanga, obey, masaki, posta, mikochen, mbezi beach, ununio, kinondoni,,,, je ni maeneo gan ambayo ni middle class ambapo ni pazuri kuishi?
NB, :isiwe kimara, tegeta, & tabata.
Umeamua kututusi wakazi wa kwa aziz ally? Ungeongelea tabia za kiswahili bila kutaja mitaa sio wote huku tuna tabia hizo
SIJAPENDA
Ila ukipata demu wa Uswazi aliyetoboa anakuwa mshamba kishenzi, kila akifanyacho anajibandika mtandaoni ili wenzake waone kapata mfano wa hawa mademu (Kajala, Aunt Ezekiel, Hamisa Mobeto, Giggy Money).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKitu hatari ni kufanya Ngono na watoto wa uswahilini hakika jiandae kurogwa na kuibiwa nyota
Miguu ya kuku na utumbooo, mia mia uswazi raha sanaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SISI TUSHAZOEA MAISHA HAYO,KULA PEMBEZONI WA CHOO,KULALA BARAZANI NA BOXER,HUYU ANASIKILIZA TAARABU,HUYU ANACHEKI MOVIE YANI KELELE HADI RAHA,KUMTONGOZA MAMA MWENYE NYUMBA ILI AKPUNGUZIE KODI,NYIE WATOTO WA KISHUA ACHENI KUJA USWAZI HUKU HAKUWAFAI HIVI ULISHAWAHI KULA UGALI NA CHUMVI??
Naunga mkono hoja! Unabeba mikosi tu na kuharibikiwa!Mademu wa uswahilini hawana maana full mikosi Mimi gheto langu atii mguu Mtu anayeitw demu wa uswazi wamewaharibia watu wengi future ya Maisha.
kama robo saa kama utapita kufuata reliVingunguti mpaka veta kipawa kwa mguu natembea dakika ngapi?
Ntajie maeneo ambayo ni middle class hapa dar (yaan sio ushuan wala sio uswazi)Fafanua[emoji28][emoji28]
Kusini cjawahi kupaelewaKijichi
Sawa sawakama robo saa kama utapita kufuata reli
Kwani maeneo gani wajeda wanaogopwa??Wengi mmeongopa sana kuhusu uswazi au neno uswazi halijaeleweka kwenu .
Eti uswazi ukute kimba chooni ? Nop wadanganye wa kwenu .
Eti uswazi wana style zao za kunyoa hasa vijana ? Acha uongo uswazi unyoaji wengi uwafuatisha wasanii
Eti uswazi sijui bla bla gani , punguzeni kukariri maisha wakati wengine mmetoka huko vijijini mnakunya kwenye misitu leo mnajifanya kuyashangaa maisha ya uswazi .
Sifa za uswazi ni hizi .
Mazoea yaliyopita mipaka kwa watu wake .
Matusi kwa rika zote si babu wala bibi .
Maisha ya bei za chini sana mfano kupata sukari ya mia .
Watu kuishi chini ya dollar ila maisha yanaenda .
Uchawi hasa kwenye viduka vyao yaani tunaita chuma ulete.
Watu wa huko kupenda masherehe yasiyokwisha tunaita shughuli .
Elimu kwa watoto wa kule sio kipaumbele kwa wazazi .
Ukabaji na wizi uliokithiri .
Kujiita majina ya wasanii wa mbele mara Fatuma kuitwa Fetty Rish .
Kupata vitu vya ndani kwa bei za chini kupita kawaida .
Uwepo wa watu ambao ni wababe wa mtaa yaani unaweza ibiwa usiku asubuhi ukaripoti kwa hawa wababe na ukapata mali yako safi .
Uswazi hakuna mtu atakuuliza unafanya kazi gani ? Zaidi usiwe mtu official sana kimavazi sababu watakuita wa kishua na pia watakuhisi ni usalama sababu hiyo kazi sio mtoto wala mkubwa wote wanaijua .
Uswazi kila ukipiga story na watu wa huko si ajabu kila mtu kukuambia ana nduguye ni afisa usalama
Uswazi sio polisi wala baka baka yaani wajeda hawaogopwi na pia wanakaa vijiweni kula story na wana mtaa ikabidi hata ganja wanavuta wote
Cc .keko magereza na askari wake hasa vijana .
Uswazi hawaogopi cheo chako ila wanaogopa hela yako kwa msemo wa dolari zako tu .
Uswazi kila familia ina ndugu alizamia nje hajarudi mpaka leo .
Uswazi kwa dar wengi ni waislamu isipokuwa wachache sana hasa watu kuja waliowahi mjini zama zile
Uswazi ishi na rika zote vizuri hutajutia ila ukijitia huna muda na wana mtaa huwezi kuendelea utaibiwa mpaka ukome
Uswazi si ajabu choo kimoja kutumika na nyumba tatu kwa mpigo na ratiba ya usafi inazihusu nyumba zote .
Ukifika uswazi usikubali kusema unatoka mkoa gani sema ni wa dar utaheshimika kiasi chake ila kujitabanaisha mkoa utokao wao uanza kukuhisi wewe ni mshamba .
Oya jamani dar asilimia 80% ni uswazi japo kila sehemu inatofautiana uswahili wake hivyo msijipe presha wengi wenu mnaishi uswahilini tu ila hamjajua tu.
Haya nayaeleza kupitia exprience yangu huko KEKO, TANDIKA , TEMEKE na kwingineko katika viunga vya jiji la dasalam
Wale wa Masaki tukutane hapa tukumbushane enzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha bro!
Kuna siku nilikuwuwa na dem hela ya gesti iliunganishwa jwa malipo ya demu hivyo tukaenda kwenye machaka ya makaburini!
Wakati nakula mzigo akaja msera akaa pembeni kidogo sana akaanza kuvuta bange!
Nikamwambia demu tuhame, akasema nikiinuka silali tena nasepa!
Nikaona isiwe tabu....
Yule msela Akaanza kuinuiza, bange nipe nguvu sitaki ujinga, firauni alikojoa pakaota mmea mtakatifu ukaitwa bange, anaesema bange haramu haramu yeye na mamake!......
Uswazi kwetu!
Kwa Experience yangu sehemu nyingi zinakua zimegawanyika sehemu mbili,ushuani na uswahiliniNtajie maeneo ambayo ni middle class hapa dar (yaan sio ushuan wala sio uswazi)
Magomeni, Ilala, Sinza, Kinondoni.Ntajie maeneo ambayo ni middle class hapa dar (yaan sio ushuan wala sio uswazi)
Uswazi hakuna tozo ya sungu sungu wala tozo ya taka taka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]