Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Nmekaa kaa kizushi mtaa wa Nigeria! Karibu na makaburini pale
umenikumbusha bro!
Kuna siku nilikuwuwa na dem hela ya gesti iliunganishwa jwa malipo ya demu hivyo tukaenda kwenye machaka ya makaburini!
Wakati nakula mzigo akaja msera akaa pembeni kidogo sana akaanza kuvuta bange!
Nikamwambia demu tuhame, akasema nikiinuka silali tena nasepa!
Nikaona isiwe tabu....
Yule msela Akaanza kuinuiza, bange nipe nguvu sitaki ujinga, firauni alikojoa pakaota mmea mtakatifu ukaitwa bange, anaesema bange haramu haramu yeye na mamake!......
Uswazi kwetu!
 
Wengi mmeongopa sana kuhusu uswazi au neno uswazi halijaeleweka kwenu .

Eti uswazi ukute kimba chooni ? Nop wadanganye wa kwenu .

Eti uswazi wana style zao za kunyoa hasa vijana ? Acha uongo uswazi unyoaji wengi uwafuatisha wasanii

Eti uswazi sijui bla bla gani , punguzeni kukariri maisha wakati wengine mmetoka huko vijijini mnakunya kwenye misitu leo mnajifanya kuyashangaa maisha ya uswazi .

Sifa za uswazi ni hizi .

Mazoea yaliyopita mipaka kwa watu wake .

Matusi kwa rika zote si babu wala bibi .

Maisha ya bei za chini sana mfano kupata sukari ya mia .

Watu kuishi chini ya dollar ila maisha yanaenda .

Uchawi hasa kwenye viduka vyao yaani tunaita chuma ulete.

Watu wa huko kupenda masherehe yasiyokwisha tunaita shughuli .

Elimu kwa watoto wa kule sio kipaumbele kwa wazazi .

Ukabaji na wizi uliokithiri .

Kujiita majina ya wasanii wa mbele mara Fatuma kuitwa Fetty Rish .

Kupata vitu vya ndani kwa bei za chini kupita kawaida .

Uwepo wa watu ambao ni wababe wa mtaa yaani unaweza ibiwa usiku asubuhi ukaripoti kwa hawa wababe na ukapata mali yako safi .

Uswazi hakuna mtu atakuuliza unafanya kazi gani ? Zaidi usiwe mtu official sana kimavazi sababu watakuita wa kishua na pia watakuhisi ni usalama sababu hiyo kazi sio mtoto wala mkubwa wote wanaijua .

Uswazi kila ukipiga story na watu wa huko si ajabu kila mtu kukuambia ana nduguye ni afisa usalama

Uswazi sio polisi wala baka baka yaani wajeda hawaogopwi na pia wanakaa vijiweni kula story na wana mtaa ikabidi hata ganja wanavuta wote
Cc .keko magereza na askari wake hasa vijana .

Uswazi hawaogopi cheo chako ila wanaogopa hela yako kwa msemo wa dolari zako tu .

Uswazi kila familia ina ndugu alizamia nje hajarudi mpaka leo .

Uswazi kwa dar wengi ni waislamu isipokuwa wachache sana hasa watu kuja waliowahi mjini zama zile

Uswazi ishi na rika zote vizuri hutajutia ila ukijitia huna muda na wana mtaa huwezi kuendelea utaibiwa mpaka ukome

Uswazi si ajabu choo kimoja kutumika na nyumba tatu kwa mpigo na ratiba ya usafi inazihusu nyumba zote .

Ukifika uswazi usikubali kusema unatoka mkoa gani sema ni wa dar utaheshimika kiasi chake ila kujitabanaisha mkoa utokao wao uanza kukuhisi wewe ni mshamba .

Oya jamani dar asilimia 80% ni uswazi japo kila sehemu inatofautiana uswahili wake hivyo msijipe presha wengi wenu mnaishi uswahilini tu ila hamjajua tu.

Haya nayaeleza kupitia exprience yangu huko KEKO, TANDIKA , TEMEKE na kwingineko katika viunga vya jiji la dasalam

Wale wa Masaki tukutane hapa tukumbushane enzi.
Umeongea ukweli mtupuu.. wengi humu hawajui maana ya uswazi.kuna kipindi niliishi kinondoni moscow. haya aliyoyasema mtoa mada hakuna..huko vijana ni wazembe wanapenda vitongaa.. na hakuna kuogopana..mambo ya kuibiana miaka hii hakuna huku unaweza tembea hata saa tisa na hukabwi.watu wamestarabika.nilishakaa na maofisa nyeti kabisa na familia zao zipo hapo mpaka kesho.watu wanaishi kwa upendo.imani za kishirikina zipo kwa wingi..vijana wao wengi wapo south africa au mabara ya ulaya mpaka kesho wanachukuana.
 
Aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20230202-120037.png
    Screenshot_20230202-120037.png
    3.3 KB · Views: 8
Kabla sijahamia Vingunguti, nilikuwa naishi Buguruni kamtaa ka sekulu pale karibu na Kimboka. Raha ya pale ilikuwa hivi, mboga ya maharage ni biashara ya mtu na anatuuzia bei poa tu, yaliyopikwa tayari. Sukari ishafungwa kwenye gazeti, na majani pia ya packed (nguvu blend) ni biashara ya mtu mwingine. Ndo nilipojua jinsi ya kusingizia mtoto kuwa hataki mchicha kisa kaona maharage kwa jirani na unapewa vizuri tu maana na wewe kesho utatoa. Tunajua kuhesabu sana kama huji kwenye misiba. pale kama una mtoko, unaazima viatu, unaazima T shirt, unanyoa kwa mkopo na jinsi unaazima. uswazi raha sana.
 
Mimi nilikaaga gomz huko mitaa fulan ya uswazi nilichokua naenjoy ni manzi tu halafu ni mafundi balaa kitandani

Ila nilikuaga na dem wangu wa buza anatoka buza anakuja geto huku daaah anajua mapenzi kinoma shida nilimuacha kwasababu ya mambo ya kiswahili swahili sana anayo

Ila namiss alivyokua anaifinyia kwa ndani *****[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
umenikumbusha bro!
Kuna siku nilikuwuwa na dem hela ya gesti iliunganishwa jwa malipo ya demu hivyo tukaenda kwenye machaka ya makaburini!
Wakati nakula mzigo akaja msera akaa pembeni kidogo sana akaanza kuvuta bange!
Nikamwambia demu tuhame, akasema nikiinuka silali tena nasepa!
Nikaona isiwe tabu....
Yule msela Akaanza kuinuiza, bange nipe nguvu sitaki ujinga, firauni alikojoa pakaota mmea mtakatifu ukaitwa bange, anaesema bange haramu haramu yeye na mamake!......
Uswazi kwetu!
Fix...
 
Kaka kijichi ni sehemu poa sema ipo underrated!!!Daah umenikumbusha yule dada mke wa Mh D Filikunjombe alikua mnyonge sana jamaa alipopata ile ajali!!!!Kule beach kila jioni tulikua tunapeleka mbwa evening walk!!!Shout to my homiez Raheem the thuggie a.k.a baba midogi🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Kijichi ni ushuani kabisa brother, maana ni zone moja kuanzia mgeninani hadi mikwambe kigamboni. Zinafanana kuanzia barabara, mpangilio wa nyumba, maduka hadi wenyeji wenyewe

Kiufupi Ukifika mtaa wowote ule halafu ukakaribishwa na magenge ya dagaa mchele na nyanya halafu nyumba zake nyingi hazijapakwa rangi,
Hapo ni uswazi bila hata kuangalia watu 😁😁
 
Back
Top Bottom