jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Mkuu ukipazoea utapaona kawaida tu, sisi kwetu hatuja kulia Uswahili wala uraiani tokea wadogo sasa mzee wetu akastaafu serikalini tukaamia sinza kipindi hicho tupo wadogo miaka 20 hatuja vuta, kuna vitu tulikuwa tuna vishangaa kimoja tulikuwa hatuja vizoea ni watu kupita pita mpaka saa 4 ndiyo wanaisha kupita na Sinza kipindi hicho siyo uswahilini sana lakini sisi tulikuwa tunashangaa mbona watu wengi kuanzia saa kumi na mbili jioni, lakini baadae tuka zoea tukaona kawaida, na wewe ukienda kuishi uswahilini utakuja kupa zoea.kipimo cha uswazi ni kelele , pilikapilika ya watu mara huyu kapita huku mara yule kule, wanawake wanavaa madelaa, duka flani linauzwa sigara hadi panadol, nyumba hazijapangiliwa , vijana na syltle zao za nywele, unamka asubuhi unarudi jion vijana wapo tu wanakula story za mafanikio na watu waliofanikiwa wanazungumzwa sana huko na hatari kuliko zote ni videmu vya huko ukipiga mtupo huru tu kesho unamka na UTI, ila pamoja na shida zote hizo uswaz ni sehemu ya watu wenye furaha na wengi wana vipaji vya asil
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app