Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Ukitaka ufurahie vizuri maisha ya uswazi uwe mtu wa akili ndogo, upeo mdogo na mwenye kuridhika mapema na maisha madogo.
Uishie darasa la.3, uwe na nyumba mbovu, uwe na watoto wadogo wengi!; ukitaka kujua hesabu yao asubùhi hesabu vifungu vya mavi!; awe mchawi wa kienyeji, awe na majungu na mmbeya, awe na wake wengj, awe na mshipa......
 
Ukiwa uswazi, ulikua unavuta bange, ila baada ya kuhamia uzunguni Bange umeaacha.
 
HV keko nako uswazi mm ninaishi hapo japo nhc napaenda San ila kutoka mitaa chache uingiie mitaa Ni balaa tupu Ni uhuni na kushinda na Madera bila chupi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Keko kwa kiasi kikubwa ni uswazi mkuu,
Labda huo upande wa nhc hadi maduka mawili kuna mitaa mizuri, middle class kabisa ila hii zone inayotokea hadi mitaa ya kurasini ni 🔥🔥🔥
 
Uswazi watu wanaishi kijamaa... ukisikia ujamaa ndio huo sasa
 
uun
aisee unaweza fananinisha maisha ya uswazi na kijijini, labda vijijii vya mtwara na usukumani, vijijini maisha ni matamu mzee ,mtu anaishi eneo kubwa, anajinafasi , huduma zote za msingi zipo maji, umeme, usafiri na uhakika wa kula mara tatu, vijiji kuna umoja na ukaribu, vijana wanakuzwa na tabia ya upambanaji na kutafta riziki, kijijni kila mtu ana kazi , yaani niishi mazense, mbagala nijione mjanja kwa lipi ,
 
Ila watu wa uswaz wana pesa na furaha kila wakati na ni wakarimu kati yao. Japo hilo lifestyle lao siliwezi
Tuna nyumba ya urithi vingunguti weeee...acha[emoji23]maisha ya kule twayaweza wenyewe though kwa Sasa sidhani km ntaweza Tena kuishi kule Yani Kuna balaa sio dog kuanzia j5 vigoma
 
Nilikuwa natafuta chumba maeneo ya morocco duh nikapelekwa huko ambapo chumba bei rahisi hila sasa pamekaa kichafu sana theni watu wamekaa vibalazani wote wanakushangaa wewe
Kuna kinondoni moscow,pale B katikati na nyuma ya mahakama nuksi yaani palivyo weeee....zaidi ya uswazi pachafuuuu afu nyumba za hovyoooo mnooo
 
Ukiridhika na maisha ya uswahilini..you're done..unaukaribisha umasikini

Uswahilini iwe kama stepping stone kipindi cha kujitafuta ili mambo yakikaa fresh unahamia sehemu zilizotulia lakini kamwe usiridhike na kuishi uswazi
There you are,sahihi kabisaa,ni kwetu pamenikuza ila nshahama nimezaliwa uswazi nimekulia uswazi niliitwa msomi wa mtaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…