reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Sahihi kabisaaHapa dar es salaam hakuna sehemu ambaya hakuna uswahilini hakuna.naalafu watu humu na drama sana wenyewe kukaa uswahilini ya kimara ubungo na mbezi wanaona wako ushuani[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaaHapa dar es salaam hakuna sehemu ambaya hakuna uswahilini hakuna.naalafu watu humu na drama sana wenyewe kukaa uswahilini ya kimara ubungo na mbezi wanaona wako ushuani[emoji16]
We kule machinjioni nyama buku mi nilikua Nala nyama na maini ya buku jero kuleemi naishi vingunguti machinjioni jamani, raha za kule we acha tu.
Toa mikocheni Kuna mikocheni B weee uswahilini balaaa,ununio sijui kule Kuna wale wazawa mpk mbezi beach Ina uswazi na nyumba za hovyooKwa hapa dar ukiondoa upanga, obey, masaki, posta, mikochen, mbezi beach, ununio, kinondoni,,,, je ni maeneo gan ambayo ni middle class ambapo ni pazuri kuishi?
NB, :isiwe kimara, tegeta, & tabata.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Khahahahaha!,inabidi nicheke.maana 90% ya familia zipo uswahilini.we jifanye matawi ya juu.
Usijifiche mkuu,hakuna anayekujua
Hayapo brohNtajie maeneo ambayo ni middle class hapa dar (yaan sio ushuan wala sio uswazi)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]unatania weweeeMagomeni, Ilala, Sinza, Kinondoni.
Mavi sio kweli bwana weee...uswazi ya wapi hyooo!!!Uishie darasa la.3, uwe na nyumba mbovu, uwe na watoto wadogo wengi!; ukitaka kujua hesabu yao asubùhi hesabu vifungu vya mavi!; awe mchawi wa kienyeji, awe na majungu na mmbeya, awe na wake wengj, awe na mshipa......
Hongera sana kwa kuchomoka uswahilini msomi wa mtaa[emoji28]There you are,sahihi kabisaa,ni kwetu pamenikuza ila nshahama nimezaliwa uswazi nimekulia uswazi niliitwa msomi wa mtaa
Mchana hawapiki watoto wanakula sambusa au kachori ukipika subiri wageniUswazi tunakula mpaka mashavu ya samaki fungu jeroo Hadi buku..siku inapita.
Miguu ya kuku mitatu na supu yake ugali wa kutosha pipo zinashiba..😂😂 uswazi Raha sanaMchana hawapiki watoto wanakula sambusa au kachori ukipika subiri wageni
Acha kabisaa dingi yetu alikua mkali sana so shule lazima na tumetoboa mbona ila home Sweet home bwanaaHongera sana kwa kuchomoka uswahilini msomi wa mtaa[emoji28]
Mnooo...miguu ya kuku ,utumbo,udambwi dambwi km wote supu ya mapupu 200Miguu ya kuku mitatu na supu yake ugali wa kutosha pipo zinashiba..[emoji23][emoji23] uswazi Raha sana
Kwenye ucheshi hapa.kam sikujui nawez kukaa kimya had jionBinafsi naishi uswazi mademu wa huku wananikosha sana, kwanza wamejaliwa alafu natural beauty pili ule uvaaji wao hatar sana tatu sio ngumu kuwapata hasa ukiwa mcheshi.
Kati ya mnyamani na spenkoMavi sio kweli bwana weee...uswazi ya wapi hyooo!!!
Haha Mitaa imetulea ilaa uswazi misosi ya kila aina ipo tena bei cheeeAcha kabisaa dingi yetu alikua mkali sana so shule lazima na tumetoboa mbona ila home Sweet home bwanaa
Aiseeh nishawai tolewa nje kidizaini hiyo mkuu mpaka Leo huwa najiuliza kale kamanzi kalinidharau kwalipi hasa?😂😂😂Dah na nasikiaga ni wazur kweli hila hawatki show off ww mnunulie chips na miguu ya kuku bas
Unaongelea kwetu ni vinyesi viko bwawani vinamwaga sio mtaani na ni maujiuji tuKati ya mnyamani na spenko
Maisha simple mnooo yaani ukiwa na buku 2 enzi zile unakula kusazaHaha Mitaa imetulea ilaa uswazi misosi ya kila aina ipo tena bei cheee
Block K Mbezi Beach waswahili washaondolewa imejengwa shule ya sekondari.Toa mikocheni Kuna mikocheni B weee uswahilini balaaa,ununio sijui kule Kuna wale wazawa mpk mbezi beach Ina uswazi na nyumba za hovyoo
Dar ni masaki ,upanga,posta na obey toa pale polisi kota