Maisha ya Wakenya rahisi sana, IST inauzwa KShs laki 6 tu

Maisha ya Wakenya rahisi sana, IST inauzwa KShs laki 6 tu

Tatizo kubwa wa Tanzania wengi hawana exposure ya nje ya nchi wapo wapo tu na CCM yao, kuna kijana ana miaka 50 ajawahi kuvuka mpaka wa nchi ila nimsomi kabisa, hilo limefanya watanzania wengi kua mbumbumbu.
Acha kujifanya unajua wewe Mimi Kenya naijua vizurii Wana wengi wao Wana maisha mangumu saana,kijana akimaliza tuu university anajifanya msomii ukiuliza Sasa alichosomeaa hakiwezii kumsaidia kujiajiri wanabakii kuwa vibaka tuu mitaanii Kenya Kuna maisha mangumu vibaya mno labda uwadangaye ambao hawajawahii kufika kenya
 
Acha kujifanya unajua wewe Mimi Kenya naijua vizurii Wana wengi wao Wana maisha mangumu saana,kijana akimaliza tuu university anajifanya msomii ukiuliza Sasa alichosomeaa hakiwezii kumsaidia kujiajiri wanabakii kuwa vibaka tuu mitaanii Kenya Kuna maisha mangumu vibaya mno labda uwadangaye ambao hawajawahii kufika kenya
Hujui Kenya niambie Kenya alikua unaishi province ipi counti ipi? Hapo ndo ntajua unaijua unasikia tu stori za vijueni.
 
Si ufanye conversion ya currency ili ujue kwa hiyo KSH 600K unapata TSH ngapi na je, kwa hizo TSH huwezi kupata IST?

Kwamba TSH 12m hupati IST ya mkononi? Futa thread hii!
 
Hujui Kenya niambie Kenya alikua unaishi province ipi counti ipi? Hapo ndo ntajua unaijua unasikia tu stori za vijueni.
Hujui Kenya niambie Kenya alikua unaishi province ipi counti ipi? Hapo ndo ntajua unaijua unasikia tu stori za vijueni.
N

Hujui Kenya niambie Kenya alikua unaishi province ipi counti ipi? Hapo ndo ntajua unaijua unasikia tu stori za vijueni.
Nyanza province,migori county,siyo tuu kuishii Kenya nimesoma Kenya pia Hadi KCPE nimefanya mwaka 2011,nimehitimu pale Ajumbo academy nikachanguliwa kwenda Tarangaya high school,enzi hizo hata county hazijaja,masomo yalikuwa matano jumlisha insha na Composition hakuna kitu sikijuii kuhusu Kenya mzee,kwanza mazingira ni machafuu watu wanatupa takataka ovyo majelala Hadi kwenye nyumba za kuishii
 
Ndiyo! Laki 6 tu lkn kwenye ile nchi uchwara kwa hela yao bei ya IST inafika milioni 20. Mtu akiwa na KShs milioni 100 anaweza kununua mabasi yote ya mikoani pale Magufuli stand.

Kile kinchi uchwara sijui kikoje? Hivi kina laana kweye hicho kinchi
600,000X20.66 =12,397,648.16
Screenshot_20240709_124405_Chrome.jpg
 
Nyanza province,migori county,siyo tuu kuishii Kenya nimesoma Kenya pia Hadi KCPE nimefanya mwaka 2011,nimehitimu pale Ajumbo academy nikachanguliwa kwenda Tarangaya high school,enzi hizo hata county hazijaja,masomo yalikuwa matano jumlisha insha na Composition hakuna kitu sikijuii kuhusu Kenya mzee,kwanza mazingira ni machafuu watu wanatupa takataka ovyo majelala Hadi kwenye nyumba za kuishii
Wewe unaishi kwa wa Jaluo ndo una generalise Kenya nzima wajaluo wa Kenya wana njaa ni masikini sana, ungeishi Nakuru, Naivasha Mombasa Nairobi ningekuelewa.......unaishi kwenye province masikini ndo usemee kenya yote, ni sawa sawa mtu aishi Geita hapa Tanzania ndo aseme anajua Tanzania vizuri......
 
Mimi Huwawananishangaza sana hawa TRA na wabunge wetu vilaza waliopitisha hizi Kodi zisizo rafiki Kwa wtz.gari inauzwa huko ulaya Milioni 10 lakini Tra nao wanatoza Kodi inafika milioni Tisa hadi 11.sjui Huwa wanatumia vigezo Gani tu.Au Huwa hawataki watanzania wanunue gari?
 
Huna akilii wewe,,,endeleenii kikimbiaa na masufuria kichwanii njaa itawauaa,,,chakula tuu mnashndwa kununua
Chakula nashindwa kununua kwhyo unategemea naish bila kula !? Wewe ni mshamba na haujui ktu ,Kenya hyo watu wanasota kulko unavyofikiria na hyo hela kuipata sio easy ,usione aibu kuulza kabla ya haujakurupuka kuleta thread.
 
Back
Top Bottom