- Thread starter
- #41
Ndiyo maana sijibu comment yoyote, ni kama vile hawajui kuwa hiyo laki 6 ni sawa na milioni 12 za hapa bongo. Na ili upate IST hapa bongo inabidi uwe na 18-20M. Sijui hawaoni hiyo tofauti?Wanakushambulia mleta mada huku wamesahau nchi yao ili ununue gari la milioni 10 inabidi uwe ni mil 20.