Maisha ya wasanii hawa baada ya kujitenga na clouds media...

Maisha ya wasanii hawa baada ya kujitenga na clouds media...

KR NA TID MNYAMA PERFECT COMBO YA WABWIA NGADA.
 
Jamani nielewesheni kidogo hapo,ukisema MAPACHA ni mapacha watatu akina khalid chokoraa na jose mara au ni mapacha gani?..
Hawa ni mapacha wawili wanafanya mziki wa hip hop wanakundi lao la maujanjasaplaya
1475385017153.jpg
 
Rama dee na clouds waligombana nn ila Rama dee mpk leo anaendelea vzr napenda nyimbo zake mbili huwezi na jide na kuwa na subira ft mapacha
Alidandia ugomvi wa ruge na sugu bila kujua chanzo cha ugomvi wao na kuegemea upande wa sugu sasa sugu na ruge walivyo patana yeye na genge la wahuni wenzake wakaonekana ni wanafiki!
 
Umemtaja rama dee au sijaona vizuri..!we hufatilii mziki rama dee ameshinda had tuzo ya kili na wimbo wake wa subira na ngoma hazichezwi clounds ile power yao ya zaman kwa sasa imeshuka sana kina man fongo wamtolewa EFM zaman isingekuwa rahisi
Katika tuzo kili nayo unaita tuzo
 
Nimekaa nikiwaza yani msanii akigombana na clouds kwanini inakua ngumu sana kusimama tena kimuziki? angalia

Jay dee karudi na ndindindi katamba kidogo tu kaja na ngoma yake mpya jiiiiiii imebuma haskiki tena.na ameanza kusahaulika tena

Wagosi wa kaya wakina mkoloni chaaliiiii

Mapacha nao hamna kitu kaaabisaaaaa

Dudu baya nae kuleee

Dan Msimamo kapuni

Rama D kajaribu kufulukuta wapiii

Rubby hata wimbo wake mpya haujulikani tu

Hawa jamaa wana hila gani wanafanya? daah kazi kweli kweli kwa mtindo huu wasanii acha waendelee kua watumwa tu maana njaa haina adabu......ila Ruge na wewe malipo ni hapa hapa duniani japokua mi siichukii clouds maana ndo Radio station bora kwa sasa Tanzania.
wewe chinga unaishi wapi? mapacha na clouds walisha maliza tofauti zao ni mwaka wa pili sasa...
 
Hivi Jide amefulia vipi na anapiga show mikoani za jeshi la mtu mmoja? hebu niambie kati ya hao unaowasifia wako juu ukimtoa Diamond na Kiba nani anaweza shindana kupiga show na jide ?
hakuna mkuu mtoa mada kakurupuka
 
udaku special ndo nani kwani? mbona huwa anakopi sred za watu jf na kuhamishia kwenye peji yke insta bila ku aknoleji?
 
Ukiangalia wote uliowataja hawabadiliki kimelody , sauti aliotoa wimbo wa kwanza ndio hiyo hiyo anaitumia nyimbo nyingine zifuatazo , anachokifanya ni kubadilisha mashairi tuu,kama wewe unafahamu vizuri muziki ona tune za dadu bovu anajiongelesha tuu na kuimba off key, kadhalika mabasi ya kale staili ya kufoka foka tuu haina nafasi kwa sasa , huyu land jaida yeye anachokua mamelody ya nyimbo za asili za kijita na kuweka maneno sio zote zinavutia. Kifupi mtamlaumu huyo mawingo lakini issue ni kwa wasanii wenyewe hawasomi alama za nyakati
Apo apo ishia baba weka na nukta
 
We utakua dada millarday tu sio bure,nani anasikiliza hiyo redio?na inaonekana we hujui mziki unalazimisha kuujua,yaani JD unasema hasikiki?rama d? we hamnazo aisee
Sorry lakini, naona umemvunjia heshima Millard
 
We umejua vipi km hawaskiki wakat redio unaosikiliza ndyo hiyo hiyo ambayo wana bifu nayo hebu fuatitilia na redio nyingine....ndindindi ilikuwa talk of the town na ikafanyiwa uzinduzi mkubwa mlimani city we ulikuwa wapi ?? Na ilipigwa sana redio mbalimbali mpk kuingia kwny top 20
 
Back
Top Bottom