Maisha Yako ya sasa ni Matokeo ya family background yako

Mkuu story yako imenigusa sana, mwenyenzi Mungu akufanyie wepesi
 
🤣🤣🤣🤣
 
Sure 💯💯 na ukitaka utoke kwenye mnyororo wa umasikini wa familia lazima ujitenge nao kwa muda otherwise utakuwa unapoteza muda tu..
 
HAHAHAAA, Aisee umenikumbusha kitu. NCHI ya Japan watu kuoa na kuzaa hawana time. Nilikua nasikiliza documentary fulani ya maisha yao. Unakuta mtu ana miaka 50 hana mke wala mtoto anaishi na paka au mbwa tu. Watu wako busy na uchumi( Ubeberu mambo leo). Serikali ya japan ikawa kwenye mchakato wa kufanya marekebisho ya sera ya uhamiaji Vijana kutoka nje maana wazee ni wengi kuliko vijana.
Sasa mkuu na wewe unatupeleka huko kwenye ubeberu mambo Leo.

Ni ukweli mchungu kuwa familia nyingi Tanzania zina wategemezi wengi kuliko watafutaji na hili limepelekea ile Vicious circle of poverty kuendelea. Mtu mmoja anategemewa na watu zaidi ya watano akija kustuka kashazeeeka na hana kitu yaani alikua anafanya kazi kwa ajili ya wengine tena ndugu na marafiki.
 
Ndio kusema wewe ufahamu kiswahili au ulimbukeni wa lugha[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Nafahamu mkuu Ila ni katika kuelezea hili jambo hivyo lugha inaweza kubadilika ili kuleta maana iliyokusudiwa kwa jamii lengwa.
 
Hiyo ni Story ambayo haina mambo yote lakini kiuhalisia inakupa picha ni jinsi gani nilivyoteseka na kupata matatizo halafu napata hayo yote bado nilikuwa naumwa.
Pole Sana mkuu MUNGU akusimamie Sana it pain
 
Pole Sana mkuu MUNGU akusimamie Sana it pain
Mungu ni mwema sana Mkuu unaambiwa na Wanasaikolojia ukiona haupatwi na Changamoto ingia ndani jifungie lia sana na umlalamikie Mungu mwambie kwanini Mungu huniamini? Hunipa hata changamoto?
 
Huu ukweli mchungu, wazazi walioshindwa kujijengea nyumba wao wanawapa jukumu hilo watoto wao.

Inshort ,bongo unazaliwa kwa maslahi ya mtu mwingine (wazazi).
 
Na hii laana ya single mothers ndio inaleta utegemezi haswa kwa wajomba.
.Unakuta mtu dada zake wamezaa watoto kibao wapo home tu baba zao wamekula kona.
 
OT: Kuna mmoja alisema napaswa kumpa jina mtoto like precious, gifts, loveness etc ila nisimwite like tata, madiba, liti, Ghati etc kwamba majina haya yamejaa laaana na mikosi.

Nikizingatia heading bila content, naenda kidogo tofauti na wewe. Tuna fugures nyingi ambazo ni vielelezo tosha kutoka kutembea kutafuta chakula mpaka kutakiwa kutembea ili kusaga chakula tumboni.
 
Na hii laana ya single mothers ndio inaleta utegemezi haswa kwa wajomba.
.Unakuta mtu dada zake wamezaa watoto kibao wapo home tu baba zao wamekula kona.
Tanzania ujamaaa unatumaliza. Kwa hili Nyerere awajibike. Kuna mambo ukisikia unatamani kulia.
Staff mwenzangu baba yake kastaafu mwaka juzi na hana nyumba mjini karudi kijijni. Just imagine mtu alikua mkuu wa idara ofisi ya umma mshahara milion 4 na perdiem na semina kila Leo, alipewa nyumba na gari la ofisi lakini alikua anasomesha watoto wa dada zake na ndugu wa kijijini alikotoka kwenye shule za private ( Catholic schools).
Leo aliosomesha hawana time naye hata kijijini hawaendi kimsalimia.

Inatia hasira aiseee yaani unazaliwa kwa maslahi na ustawi wa wengine.
 
Self-care inabidi kuwa kubwa kuliko giving care. Ukifeli hapo lazima utakwama .


Kuna kitabu nimesoma hayo mambo "The art of say no"
 
Noma aiseee
 
waambie shangazi watoto wana viburi hawa
 
MKuu

Tatizo hata hiyo elim ya Sasa nayo!

Inaumiza TU vijana haitii suluhisho pa kesho ya kijana mwenyewe!!

Labda carrier za medicine ajiajiri lakini sio hiki ninachoona kinaendelea!!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…