Zama zao sawa, zama hizi waaofika huko ni majaaliwaKuna shida gani??
Mungu atakuweka kwa ajili yake.
Mbona mimi baba yangu kaoa 45 na kafa miaka 98 years na kaona watu wameoa nakaona wajukuu na baadhi ya vitukuu sasa maisha hupangi wewe ni Mungu .
So what's your point?Nina ushuhuda wa binti aliyekua anatoa mimba almost kila miezi 2 na kila akienda imooo anatoa tena na sasa ana mtoto miaka 2
Ndio au hapana yote yanaweza kuwa majibu sahihi inategemea tu mlengo uliokwishaweka kichwani kwako.Wewe ulishatoa?
Kutoa mimba sio sababu 100% ya utasa wa wanawakeSo what's your point?
Kama no food no shelter kwanini ulifanya tendo linaloleta kiumbe duniani??Turudi kwenye abortion.
If ni wewe assume this you are young and you want to test everything but when you try sex suddenly you are pregnant and your boyfriend still depend his parents to in everything even you.
What will you do and if you figuraout that your mama told you before i will kill you if you get pregnant.
And young lady doesnt have a place to depend on.
Tell me .
No food no shelter you must have an abortion to in order to survive.
It's not their fault
Kwanini wewe uliweka mbegu yako ili mtoto wawatu alaumike na walimwengu na ukamkimbiaKama no food no shelter kwanini ulifanya tendo linaloleta kiumbe duniani??
Abortion ni mauaji ya watoto tumboni.
Hakuna sababu yoyte utakayoleta ikahalalisha mauaji
Kwahyo nilimkimbia Kabla hajazaliwa?Kwanini wewe uliweka mbegu yako ili mtoto wawatu alaumike na walimwengu na ukamkimbia