Maisha yalivyo ni Bora ukibeba Mimba uzae tu kuliko kuitoa

Maisha yalivyo ni Bora ukibeba Mimba uzae tu kuliko kuitoa

Kuna shida gani??
Mungu atakuweka kwa ajili yake.
Mbona mimi baba yangu kaoa 45 na kafa miaka 98 years na kaona watu wameoa nakaona wajukuu na baadhi ya vitukuu sasa maisha hupangi wewe ni Mungu .
Zama zao sawa, zama hizi waaofika huko ni majaaliwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Turudi kwenye abortion.

If ni wewe assume this you are young and you want to test everything but when you try sex suddenly you are pregnant and your boyfriend still depend his parents to in everything even you.

What will you do and if you figuraout that your mama told you before i will kill you if you get pregnant.

And young lady doesnt have a place to depend on.

Tell me .

No food no shelter you must have an abortion to in order to survive.
It's not their fault
Kama no food no shelter kwanini ulifanya tendo linaloleta kiumbe duniani??
Abortion ni mauaji ya watoto tumboni.
Hakuna sababu yoyte utakayoleta ikahalalisha mauaji
 
Kama no food no shelter kwanini ulifanya tendo linaloleta kiumbe duniani??
Abortion ni mauaji ya watoto tumboni.
Hakuna sababu yoyte utakayoleta ikahalalisha mauaji
Kwanini wewe uliweka mbegu yako ili mtoto wawatu alaumike na walimwengu na ukamkimbia
 
Back
Top Bottom