Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
[emoji23][emoji23][emoji23]kama wa mtaani kwetu daah!!!Wapo wengi tu kazi hakuna.
Wanajadili kila anayepita mbele yao utafikiri wamewazaa wao.
Wanaweza kupa details za kila mtu hapo mtaani kwao hatua kwa hatua.
Sasa hivi wanabetKipindi cha nyuma kidogo ilikuwa ni kawaida sana kukuta vijana wamekaa vijiweni wanapiga soga asubuh hadi jioni,.
Lakini siku hizi mambo ni tofauti na zamani ni nadra kukuta vijana wamekaa kaa hovyo bila shughuli maalum.
Picha kwa hisani ya mtandao
View attachment 2587096
Na anapiga mishe mishe zake Wall street 😅😅bibie unakaa Albania nini
njoo Mbande huku, kisha ufute huu upuuzi
Saivi wamehamia Meridian bet na premier betKipindi cha nyuma kidogo ilikuwa ni kawaida sana kukuta vijana wamekaa vijiweni wanapiga soga asubuh hadi jioni,.
Lakini siku hizi mambo ni tofauti na zamani ni nadra kukuta vijana wamekaa kaa hovyo bila shughuli maalum.
Picha kwa hisani ya mtandao.
View attachment 2587096
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna vijana wana matusi km hawa wa vijiweni? Tena matusi makubwa makubwa. LolHongera huku kwetu kuna segemu nikipita lazima nikute vijana asubuhi nawahi kupita siwakuti ila kuanzia mida ya saa tatu asee ni kelel mpka jioni ukiona pamepoa wameenda kula majumbani mwao.
Siku moja nimepita hapo kuna kiduka nikakukua soda nikakaa nikanywa stor wanazopiga hazieleweki kama ni mpira wanabishana mpka haina maana kama ni mapenzi aloo wanaongea mpka matusi. Kiufupi vijana wanaokaa vijiweni bado walo asilimia chache wanastuka wakaondoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee sasa? Nilicheka kuna siku jirani ananipa taarifa zangu kuwa kapata huko nje, hadi nkajiuliza kuna watu wananifuatilia kiasi hiki. UwiiiiihWapo wengi tu kazi hakuna.
Wanajadili kila anayepita mbele yao utafikiri wamewazaa wao.
Wanaweza kupa details za kila mtu hapo mtaani kwao hatua kwa hatua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaIla jamii ya watanzania ni mitambo ya umbea. Hata ukijifichaje watakujua tu unavyoishi. Ingependeza wakatumia huo weledi kutatua changamoto za maendeleo kwenye tafiti za elimu, kisayansi na kiuchumi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi wambea ni wanaumee.[emoji23][emoji23][emoji23]kama wa mtaani kwetu daah!!!
Kiufupi huku kwetu wanaume ndio wambea kuliko wanawake, yaani ukitaka umbea we mguse tuu kijana wa kiume, utashangaa!!!
Mtaani kwangu wanaanza kunywa smart visungura saa mbili hadi usiku wa manane wanachangia kimoja hata watu saba naogopa wqnaweza kuambukizana magonjwaHongera huku kwetu kuna segemu nikipita lazima nikute vijana asubuhi nawahi kupita siwakuti ila kuanzia mida ya saa tatu asee ni kelel mpka jioni ukiona pamepoa wameenda kula majumbani mwao.
Siku moja nimepita hapo kuna kiduka nikakukua soda nikakaa nikanywa stor wanazopiga hazieleweki kama ni mpira wanabishana mpka haina maana kama ni mapenzi aloo wanaongea mpka matusi. Kiufupi vijana wanaokaa vijiweni bado walo asilimia chache wanastuka wakaondoka
Kuna tatizo sana kwenye mitaa yetuMtaani kwangu wanaanza kunywa smart visungura saa mbili hadi usiku wa manane wanachangia kimoja hata watu saba naogopa wqnaweza kuambukizana magonjwa
Aisee watu wanakunywa sana pombeKuna tatizo sana kwenye mitaa yetu
Mtu akipita tu unasikia aahh yule Mimi namfahamu anaanza kutiririka wee kwa stori zake za kutunga hapo akimaliza basi wenzake wanamsuport siku inakua imeingia, wanafarijiana hapo maisha yanakwenda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee sasa? Nilicheka kuna siku jirani ananipa taarifa zangu kuwa kapata huko nje, hadi nkajiuliza kuna watu wananifuatilia kiasi hiki. Uwiiiiih
Acha kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna vijana wana matusi km hawa wa vijiweni? Tena matusi makubwa makubwa. Lol
Walikua wanasemaje, au wameanza kudiss yule jamaa hatumuelewi😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee sasa? Nilicheka kuna siku jirani ananipa taarifa zangu kuwa kapata huko nje, hadi nkajiuliza kuna watu wananifuatilia kiasi hiki. Uwiiiiih
Swadakta huku ndio waliko kwa sasa na sehemu nyingine ni kwenye vijiwe vya boda boda akiwakosa sehemu hiyo aingie kwenye vigrocery wanakouza pombe kaliSaivi wamehamia Meridian bet na premier bet
Haswaaaah yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu akipita tu unasikia aahh yule Mimi namfahamu anaanza kutiririka wee kwa stori zake za kutunga hapo akimaliza basi wenzake wanamsuport siku inakua imeingia, wanafarijiana hapo maisha yanakwenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo walivukaa na kwenda mbali kabisaa, eti mie nadate na mkaka wa 4m 4, cha ajabu yule dogo sijawahi kuongea nae mie.Walikua wanasemaje, au wameanza kudiss yule jamaa hatumuelewi[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan wana matusi hadi unaogopaaa.Acha kabisaaa
Na wanakuaga serious wanaongea ila rohoni mmoja mmoja wanatamani wangekua huyo dogo wa 4m4 ambaye wanamsingizia😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo walivukaa na kwenda mbali kabisaa, eti mie nadate na mkaka wa 4m 4, cha ajabu yule dogo sijawahi kuongea nae mie.
Alikua anakuja kwa jirani ni ticha kupigishwa pindi, kumbe waja wanajua dogo anakuja kunikaza mie. Uwiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaa hadi basi. Ile siku.