Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Life is purposeless which makes it even much boring.

Pesa itakupa furaha ya muda mfupi tu kwa sababu utaweza kukidhi mahitaji ya hapa na pale, lakini hiyo sio furaha ya kweli.

Hata uwe na magari na majumba huwezi kupata furaha ya kweli, utakuwa unajifariji tu huku ukiyaangalia matofali na kuta za nyumba na kujipiga kifua kuwa wewe ni mwamba lakini hakuna lolote.

Ukipata pesa hakikisha unakula kuku, kitimoto za kutosha kisha gida bia mbili za nguvu.

Maisha bila BIA yana faida gani?

Kula BIA.

Cc: mshamba_mwingine Poor Brain
Mkuu, nimeku-PM naona ujumbe unagoma kuja kwako naomba ni PM ww kuna issue nataka tuijenge.
 
Unaoina raha hiyo?

Ia m in Peace.

Islam = Peace.

Wewe unangoja mpaka ufe ndiyo uombewe na wengine kuingia kwenye Uislam, inakuwa too late. Amka.
Amka wewe. Bado ni mtumwa, umelala ndio maana unahisi imani yako ni bora kuliko za wengine
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Yesu pekee ndo furaha ya maisha. Ikiwa furaha yako itategemea watu ah mali, muda si mrefu utakuwa kwenye Majuto makubwa. Mtegemee Mungu pekee
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
SWALI KUBWA SANA
 
Nilichogundua maisha huwa matamu pale unapopambana ili utimize jambo Fulani ila ukishapata Kila kitu baada ya muda huwa hamna furaha kwani Kila unachikitaka unakifanya bila jasho na akili hivyo halikupi attention uliokusudia, hii changamoto hata Mimi napitia
Hapa kuna neno la ukweli mtupu
 
Furaha ya maisha ni mambo matatu
1.kumpata mke/mume mwema, hakupi stress anakuheshim, anakujal, anajua hisia zako anakufariji nk
2. Nyumba yenye wasaa, yaan uwe na nyumba nzuri,kubwa yenye nafasi ya kutosha, wageni wakifika kwako huwazi wapi utawalaza, huwazi vyumba vya watoto, chumba chenu kipo vizur mmejiachia na mwenza, inshort uhuru wa faragha upo, hapo umeula,.
3. Kipando,, chombo cha usafiri mfano gari,au chochote ambacho kinaweza kukufikisha sehem kwa wakati unao taka unachokimiliki wewe,

Ase ukivitapa hivi umeula.
Ziada ya gapo
4.tosheka na ulicho nacho acha kujilinganisha na watu wa rika lako uta panic bro, subir muda wako utafika tu ila usiache kupambana
5.ishi maisha yako, stick na jambo moja
6.Imani, Amini, mambo yako yaegemeze kwa Mungu , acha dhambi, utakuwa na furaha
 
Back
Top Bottom