Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Life is purposeless which makes it even much boring.

Pesa itakupa furaha ya muda mfupi tu kwa sababu utaweza kukidhi mahitaji ya hapa na pale, lakini hiyo sio furaha ya kweli.

Hata uwe na magari na majumba huwezi kupata furaha ya kweli, utakuwa unajifariji tu huku ukiyaangalia matofali na kuta za nyumba na kujipiga kifua kuwa wewe ni mwamba lakini hakuna lolote.

Ukipata pesa hakikisha unakula kuku, kitimoto za kutosha kisha gida bia mbili za nguvu.

Maisha bila BIA yana faida gani?

Kula BIA.

Cc: mshamba_mwingine Poor Brain
Hapo kwenye bia nimekuelewa bby yani nikiingiza elfu 20 elfu 5 lazima ninywe serengeti lager kubwa mbili za baridi.
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Roho Mtakatfu
 
Hii Hali ni ngumu sana. Moyo unauma na hujui shida ni nini. Naweza kujitahidi kuongea na wazazi na ndugu lakini maongezi yakiisha tu Hali inarudi pale pale hasa wikiendi hizi.
Kila kitu uja na sababu uwenda kipo kitu ndani ya moyo wako unafahamu ndiyo mana inakutesa, siri ya kukosa amani unaifahamu.
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Mhuuuuuuuu..... furaha inatoka Kwa YESU
 
Hapo kwenye bia nimekuelewa bby yani nikiingiza elfu 20 elfu 5 lazima ninywe serengeti lager kubwa mbili za baridi.
Hahahhaaa uwiiiiiihh..,.. kula bia baby, afu bia zinaongeza nguvu za kiume tukiingia kwenye show daaah nadata
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Huwa inatokea hasa ukiwa na upweke jitahidi ku control hiyo hali
Fanya vile ambavyo vinakupa Furaha na sikiliza mziki unaoupenda
 
Back
Top Bottom