Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Niliwahi kufikiri nahitaj elimu kua bora nikapata,nikafikiri kuhusu pesa sijakosa kiivo ,nikasafiri mahali kwingi kubadili mandhar lakini bado ni mpweke sana
 
Najitahidi kukuelewa , ila kama wewe ni MWANAUME tambua kuwa FURAHA sio suala la msingi sana wala usiliweke kipaumbele kwenye maisha yako, jitahidi kufanya maisha yako yakae sawa au vizuri zaidi ya ulipo ,.
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
 
Hii Hali ni ngumu sana. Moyo unauma na hujui shida ni nini. Naweza kujitahidi kuongea na wazazi na ndugu lakini maongezi yakiisha tu Hali inarudi pale pale hasa wikiendi hizi.
Wewe ni mpweke.
Unahitaji watu
Unahitaji hobbie
Unahitaji challenges za kukupa energy ya kutokukaa tuu idle
Unahitaji new project
Unahitaji ndoto mpya za mafanikio
Unahitaji ushindani kwenye jambo unalofanya, badili kazi, badili team unayofanya nayo kazi.

Jifanyie tathmini utaona gap ilipo.
Kuoa na watoto sio suluhisho sana iwapo wewe mwenyewe hujui nini kinakukosesha amani unayoitafuta, utawatesa tu!
 
Wewe ni mpweke.
Unahitaji watu
Unahitaji hobbie
Unahitaji challenges za kukupa energy ya kutokukaa tuu idle
Unahitaji new project
Unahitaji ndoto mpya za mafanikio
Unahitaji ushindani kwenye jambo unalofanya, badili kazi, badili team unayofanya nayo kazi.

Jifanyie tathmini utaona gap ilipo.
Kuoa na watoto sio suluhisho sana iwapo wewe mwenyewe hujui nini kinakukosesha amani unayoitafuta, utawatesa tu!
Asante sana Snowhite
 
Back
Top Bottom