Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Uza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.

Kufungua pub ni jambo la ziada tu, siyo lazima kila siku watu kunywa pombe.

Ukizingatia huu ushauri wangu utakuja kunishukuru siku zijazo.
Mkuu pub za kisasa unapata msosi na jioni walevi wanapiga monde kwa hiyo anadaka kote kote... Ugali roast, wali nyama, mbogamboga, ugali nyama choma etc. Nilikuwa AR Chuga last month wale jamaa ni noma asubuhi mpaka chai, uji wa ulezi, mtori daah acha kabisa..
 
yani usifanye shughuli yoyote uwe muendesha bajaji tu duh!!
Sasa kama atapata elfu 20 au 30 daily unajua hiyo ni sawa na laki 7 na ushee kwa mwezi? Sawa na mshahara wa Mwalimu graduate??
 
Uza nununua Toyota probox hama Dar nenda mikoani huko mabuseresere,masirari sawa
Nimezikuta Kigoma huko zinasanya kweli kweli, kuuliza bei gani nikaambiwa kuanzia milioni 8
 
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.

Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.

Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.

CHASER AVANTE NUMBER "A"

View attachment 1652148

Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.

Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.

Mkuu unaiuzaje tuongee bei nikusaidie fasta!
 
Back
Top Bottom