Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #21
Umetisha sana mkuuNimesoma heading tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha sana mkuuNimesoma heading tu.
Hakika mkuu, ukipata cheo usijisahauCheo ni mkopo kuna muda unafika aliekupa atakichukua,
Hakika mkuu muhimu kumuomba MunguHata kupanda the some, Kuna mda hata ukitumia jitihada mambo hayaendi, lakin Kuna mda utafika unashangaa Kila unachogusa kina tiki.
Hata mimi sijaona kosa lake ndiyo maana nimesikitikaHeading nzuri, ila content hamna kitu ndugu mwandishi.
Sasa hapo kosa la Mwl. Mkuu lilikuwa nini kama si kuonewa tu?
Hakika kesho yetu ni fumbo, tumuombe Mungu atupe kesho iliyo njemaKawaida... ndiyo maisha yalivyo
Leo unatembea kesho kiwete
Leo unaona kesho kipofu
Yaan mambo kubadilika ni kawaida sana
Hakuna aijuaye kesho mkuu
Hakika mkuu maisha yanabadalika wakati wowote tusijisahausijasoma kote ila ni sawa, Binadamu tunajisahau sana, tuwe wanyeyekevu
Mshahara wake ni zaidi ya walimu wenzieKwani mwalimu mkuu anakuwaga na perks Gani za msingi na muhimu kuzidi wenzake??
Maana usikute ni kama Mkt wa mtaa TU, Taito kubwa mfukoni patupu.
Nimepotea kama mbosso😀😀😀 We jamaa ulipotelea wapi?
Hakik mkuuJua maisha ni mulima ,kuna kupanda na kushuka bali kuteleza siyo kuanguka.
Imefanyaje?Ila jf ya kipindi hichi
Le nyambulet enuchii marasnitasHahahahahaha!! unamuenzi Mongolian akiwa jela
Utoto mwingiImefanyaje?
Wengine wamestaafu wengine badoWalimu wako wa primary bado hawajastaafu tu??
Nyie ndo mlimkosea…why mfeli?!Wengine wamestaafu wengine bado
Utoto upi hapo?Utoto mwingi
Hapo sijajua sababu ya wengine kufeliNyie ndo mlimkosea…why mfeli?!