Maisha yanabadilika muda wowote, be humble

Maisha yanabadilika muda wowote, be humble

Mimi apa, jirani yangu alikuwa mbunge miaka ya 2005. Watoto wake walikuwa wananwa soda, shuleni wananunua sambusa za darasa zima. Miaka ikaenda mzee kapata scandal ubunge ukaisha. Kufupisha ni kwamba gwaride limegeuka. Mwingine tena
😁😁kwahiyo sasa hivi mbunge ana kazi gani?
 
Le nyambulet enuchii marasnitas
Maghayo limerudi sasa kinyonge sana , baada ya Mongolian kusambaratishwa , ngoja tuone atasurvive kwa muda gani.

Ila Maghayo nipasie namba yako maana hata kichaka hiki ulichorudi nacho usipotulia kinawezwa kufyeka , na Mimi sipendi hivyo sasa nikiwa na namba yako tutaweza kuwasiliana na kupiga stori mbili Tatu ukiwa kifungoni.

PM yangu ipo wazi weka namba tukiwashe Maarasssss Mongo.
 
Maghayo limerudi sasa kinyonge sana , baada ya Mongolian kusambaratishwa , ngoja tuone atasurvive kwa muda gani.

Ila Maghayo nipasie namba yako maana hata kichaka hiki ulichorudi nacho usipotulia kinawezwa kufyeka , na Mimi sipendi hivyo sasa nikiwa na namba yako tutaweza kuwasiliana na kupiga stori mbili Tatu ukiwa kifungoni.

PM yangu ipo wazi weka namba tukiwashe Maarass
JUST KNOW AM BACK!

N de A
 
@
JUST KNOW AM BACK!

N de A
Hahahahahaha!!! nacheka kwa dharauuuu Hahahahaha Maarass Mongo!!!!

Nipe stori mbona Mongolian The Nyabumbu haonekani kwani kafanyaje ?

Weka namba PM mana ukiwa nje ya gemu natamani nikutafute tupige stori mbili Tatu za Amani tu na natamani nikuambie Maarasmitaaa live bila chenga
 
@

Hahahahahaha!!! nacheka kwa dharauuuu Hahahahaha Maarass Mongo!!!!

Nipe stori mbona Mongolian The Nyabumbu haonekani kwani kafanyaje ?

Weka namba PM mana ukiwa nje ya gemu natamani nikutafute tupige stori mbili Tatu za Amani tu na natamani nikuambie Maarasmitaaa live bila chenga
Maghayo mpe namba adriz tuku add kwenye group la mapigano🤣😂
 
Oya mbona kipole hivi, akati huwa ni nyau de adriz Le nyambulet enuchii
Hahahahahaha!! Maarassmitaa Mongo He fights like a reckless bull , and that's is opportunity for me I just lure him to the slaughtering site for his totally demise ...kwa hiyo usishangae kuja kinyonge I'm a Vigilant fighter with a high fighting spirit as seen in my Avatar.

Halafu Nyangwisi Maghayo weka avatar yako ya Zamani maana ID yako imepaishwa bila ile avatar yako ya unyamwezi iliyozoeleka , ile ndio avatar ya mzuka sasa hivi bila ile avatar hauogopeki you are looking so pitiful Mr Mongo.
 
Kama huyu mkuu alikuwa anajikweza na kujiona bas tabia hii haifai Kwa mtu yeyote. Vilevile mkuu wa shule kutolewa hiyo nafasi ni kawaida sana kwani hayupo tofauti sana na walimu wengine. Na inatokea sana sio had mtu aumie kiivyo
 
Back
Top Bottom