Maisha yanaenda kasi; Jaffo kutoka kusimamia bajeti ya Tsh 3 trilioni TAMISEMI hadi 28 bilioni Muungano na Mazingira

Na vyuma chakavu!
 
"Hii nyimbo ya sweet kitunguu ya Man moo' hata Jaffo hajawahi kuisikia"
 
Msigwa yuko ikulu pia
Yupo Idara ya Habari na Maelezo kwa sasa. Ofisi yake ipo Jengo la PSSSF Dodoma ghorofa ya 5 kama sijakosea. Nenda pale utamkuta.

Ingawa kwa majukumu yake sio kitu cha kushangaza ukimkuta kwenye ziara za viongozi wa kitaifa. Anaweza kuwa na PM, President na hata VP.
 
Na anakoelekea atasimamia budget za kwenda sokoni na wake zake wanne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…