Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Jitaandae vema kupumzika baada ya utumishi uwe wa kuajiriwa au kujiajiri kwa kuwa na kipato cha pili, tatu, nne nk kitakachokuwa mbadala wa kile cha kwanza
 
Mkuu umeongea vyema sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata bibi alikuwa binti... Wakati ukuta...

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
tatizo huwa wanasahau kuwekeza mambo yakiwa Mazuri....muumini si wa kukosa hta vibanda vitatu vya kuchukua kodi ili apunguze ukali wa maisha, sema ndyo ivo alichezea sana hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii comment ilipaswa kusomwa na kila kijana mwenye miaka kuanzia 25 mpaka 45 .....tusipojipanga mapema lazima tutaadhirika huko mbeleni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo basi tena, tupende tu uno maana hakuna namna!!
 
ya
Taarabu ya hadiaj kopa na nasma hamis ilikuja kasi ikawapoteza bendi na bongo fleva baadaye bendi ikarudi kidogo nao wakapotea sasa bongo imebaki bongo zozo maana hata sio bongo fleva tena.
ani we acha tu.
r.i.p nasma
walikuwa mastaa wasiofikika kirahisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alikuambia hayo unayosema au ni ya kwako tu???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante ndugu. ni ujumbe murua kabisa......
tatizo sisi binadamu ni wepesi sana kusahau na kupuuzia mambo, hata hao kina choki na muumini walipokuwa juu nadhani mifano ya wakongwe wa zamani waliotamba ambao sasa ndo hizo nyimbo zao wanaziimba walikuiwa nayo lakini hawakutilia maanani.
kuna makumi ya wastaafu, wa kitambo kama hao unaowasema na wengine wa miaka hii hii ya juzi tu (2015 kuja juu), ambao tayari wameshapoteza dira ikiwemo hata kushindwa kumalizia nyumba walizoanza kuzijenga baada ya kustaafu na kutokuwa au kushindwa kuendeleza mradi.....bado unawaona vijana wakishindwa kuona na kujifunza, wanaponda tu maisha!!
 
umeongea facts na ukweli mtupu mkuu, huo ndio ukweli halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…