Maji kupwa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2019
- 315
- 330
Kama wote wako hai inatosha pesa sio ishu sana wanazipata kula siku ziende ukishalijua Hilo chili’s hatua haraka jiwekeze Hata sisi wa Enzo za Ali na akina Hega tumechoka basi tu hatujulikani kwa majiniBora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
Mwaka juzi alikuwa Tabora mjini anaimba na bendi fulani pale Whatsup Pubyupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Tunapeta hatutaki Shari....
Singeli inanyemelea kuipuki bongo zozoTaarabu ya hadiaj kopa na nasma hamis ilikuja kasi ikawapoteza bendi na bongo fleva baadaye bendi ikarudi kidogo nao wakapotea sasa bongo imebaki bongo zozo maana hata sio bongo fleva tena.
Banza asee me nime wakumbuka miamba wawili Langa na Ngwea
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE , Albert mangwea school mate huyo Toka Yuko complex yy alikuwa anachana pamoja na Moses ( mez b) ,
Muumini alikuwa habari nyingine miaka ya 2000's sio wa kupanda Bajaji za Jero Jero.Kama wote wako hai inatosha pesa sio ishu sana wanazipata kula siku ziende ukishalijua Hilo chili’s hatua haraka jiwekeze Hata sisi wa Enzo za Ali na akina Hega tumechoka basi tu hatujulikani kwa majini
Nakumbuka siku moja pale Mango Garden vijana kabla haijavunjwa walikuwepo Malaika Band chini ya Mzee wa Masauti wanaburudisha alikuja Msafiri Diouf kupiga mzinga wa buku 2 huku akijitambulisha mie ndio Msafiri Diouf naomba niwezeshe buku 2 angalua niweze kula.
Dah haya maisha noma sana.
Tatizo wasanii wanafanya starehe sana bila kujua future yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteumeongea facts na ukweli mtupu mkuu, huo ndio ukweli halisi.
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani waziri sonyo yupo wapiBadi Bakulee....jogoo la mjini
Khadija kimobitel
Luiza Mbutu
Waziri Sonyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu ww jamaa ila alipokuwa mkubwa alijua maana ya mpenzi?Huyu huyu ambae wakati alivyokuwa Mdogo hakujua maana ya mapenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app