Maisha yanaenda kasi sana

Maisha yanaenda kasi sana

Upo Tanzania hii Mwenyekiti!!!
Yap Kuna kipindi nilikua mbali Sana na dunia. Bila simu, bila radio, bila kifaa chochote Cha mawasiliano.
Hadi kifo Cha mshua John nilihadithiwa TU.
Hiyo ilikuwa January 2021 mpaka 22 Feb.
Bila shaka kipindi hiki ndicho alichokufa Ana,
Nilistuka pia kuskia maalim Kashasha nae alifariki

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Yap Kuna kipindi nilikua mbali Sana na dunia. Bila simu, bila radio, bila kifaa chochote Cha mawasiliano.
Hadi kifo Cha mshua John nilihadithiwa TU.
Hiyo ilikuwa January 2021 mpaka 22 Feb.
Bila shaka kipindi hiki ndicho alichokufa Ana,
Nilistuka pia kuskia maalim Kashasha nae alifariki

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ulikuwa jera wewe
 
RIP MAKAMANDA MLIOFIA VITANI KAMANDA MTOI KAMANDA MAWAZO KAMANDA MWANA COTIDE MOULA NA WENGINE WENGI AMBAO TULIKUA NAO KWENYE MAPAMBANO
MTOI

Dah mara ya mwisho tulionana nae Lushoto Tanga kijiji cha Mlalo kwenye mazishi ya ndugu yake ambapo mie rafiki ndio alifiwa na mama yake. R.I.P
 
R.I.P
Nyerere, Magufuli, B Mkapa, J Kijazi, Maalim Seif, Augustino Mrema, Basil Mramba, Reganald Mengi, Ruge Mutahaba, Beno Ndulu, Getrude Lwakatare, King Majuto, Mwl Kashasha, Maalim Gurumo, TX Moshi, Selemani Mbwembwe, Mwanyiro, Momba, Banza Stone, Waziri Sonyo, Mangwea, Langa, Kanumba, Masogange, Mpakanjia, Amina Chifupa, Joseph Mungai, Christopher Mtikila, Shekh Ilunga, Gorogosi, Mez B, Jebby, Sharo Millionaire, Subash Patel n.k, hii ni Tanzania tu!

Kweli Duniani tunapita na hawa ni wale baadhi ya watu maarufu tu. ukaona kama juzi tu lakini ndiyo safari yetu.

Leo nimewakumbuka hawa. [emoji25][emoji29]

Mtaje unayemkumbuka ukijisikia.
hakika inafikirisha sana ..
 
Back
Top Bottom