Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Yupo CCM maana nayo ni nchiUpo Tanzania hii Mwenyekiti!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo CCM maana nayo ni nchiUpo Tanzania hii Mwenyekiti!!!
Kama hulijui na hilo basi wewe wa ajabuMimi nimesoma shule ya ufundi kipindi Mungai akiwa waziri wa elimu.
Kama hulijui na hilo basi wewe wa ajabu
Hakuna kitu kama hicho.Kama hulijui na hilo basi wewe wa ajabu
Mimi form one hadi six. Waziri alikuwa MungaiHata mimi. Sema nilikuwa form IV
Mkenya huyo, nahisi alitumwa na wenzie kuharibuAsilale pema alituvurugia sana elimu yetu kwa maslahi yake binafsi
Jela wsnaanhalia hadi tv,Ulikuwa jera wewe
JuziM'bami kafariki lini?
Corona
Mmh sam wa ukweli yule msanii? Hii mbona sijui?Fanuel Sedekia, Sam wa Ukweli,Albert Mangwea
Sam wa Ukweli- 2016Mmh sam wa ukweli yule msanii? Hii mbona sijui?
Alikuwa chokoJamani rip warumi.
Dah story za huyu kaka humu jukwaa la celebrity dah.