Maisha yangu baada ya miaka 37!

Asante sana
 
Huo mkopo ndo vituko kabisa sitaki hata kukumbuka. Nilikopa 36m. Hapo Hela ya LOAN BOARD ikakatwa. Nikabakiwa na 20. Ukiniuliza nilichofanya sijui... Iliisha kiutani utani
20m hapo ndio shida, alafu msikilizaneni na mkeo sio kisa hana kazi basi unambagua! Watoto wane4 blooo wanatosha, mfungulie shemeji hata kaduka, punguza pombe, anza kwenda church, pata new aideas, panga budget zako vyema kwa kumshirikisha mkeo. Madeni mikopo ya bank na huku unalipa loan board ni hatari mzee, anza kuishi kwa posho, mashara anza kumpa mkeo apange budget za mwezi mzima.
 
Mimi ni dereva,mshahara wangu hauzidi laki7, nina familia kama wewe,nyumba na gari pia....kuna tatizo la kimatumizi uko nalo na kusombwa na tamaa za dunia kimatumizi pasi kujua unachopata ni kikubwa tu,ntarudi ukiniita tena nikufundishe
 
Mimi ni dereva,mshahara wangu hauzidi laki7, nina familia kama wewe,nyumba na gari pia....kuna tatizo la kimatumizi uko nalo na kusombwa na tamaa za dunia kimatumizi pasi kujua unachopata ni kikubwa tu,ntarudi ukiniita tena nikufundishe
Asante nipe madini tafadhali.
 
Asante sana. Hilo wazo la kumpa mshahara ninalo maana anasema hiyo pesa nikiishika mimi utaona matokeo...labda nijaribu kwa miezi mitatu nione Kuna chochote au utopolo. Kuhusu idadi ya watoto ni kweli wametosha ila nitajaribu kupata wa kiume nikifika miaka 40! Umri wa wife unaruhusu ni mdogo kwangu. Ikitokea tena wa kike nitatundika daruga
 
Bado hujachelewa kaka,hiyo miaka tisa unayojutia fanya kama ni liheso...
Anza sasa ukiwa positiveli na mtangulize mungu japo yeye hajawahi tuacha.
 
Huo mkopo ndo vituko kabisa sitaki hata kukumbuka. Nilikopa 36m. Hapo Hela ya LOAN BOARD ikakatwa. Nikabakiwa na 20. Ukiniuliza nilichofanya sijui... Iliisha kiutani utani
Pole sana
Mimi nipe 10 tu uone maana kwa sasa nalipwa 500 000 ila nimenunua kiwanja na kuezeka vyumba 2

Nina watoto 2
Mfanyakazi 1
Mke hana kazi
Wazazi wa mke na wa kwangu wananitegemea mimi lakini bado

Toeni sadaka achaneni na habari za michepuko
 
Bado hujachelewa kaka,hiyo miaka tisa unayojutia fanya kama ni liheso...
Anza sasa ukiwa positiveli na mtangulize mungu japo yeye hajawahi tuacha.
Asante sana
 
Pole sana
Mimi nipe 10 tu uone maana kwa sasa nalipwa 500 000 ila nimenunua kiwanja na kuezeka vyumba 2

Nina watoto 2
Mfanyakazi 1
Mke hana kazi
Wazazi wa mke na wa kwangu wananitegemea mimi lakini bado

Toeni sadaka achaneni na habari za michepuko
Aise hongera, unaishi dsm?
 
Kunywa pombe sio tatizo..
Tatizo ni kampani za kisengerema...

Naenda bar alone napiga bia zangu 3 na nyama nusu,nikimaliza mbio home.
 
Kweli kabisa,
Pombe inasingiziwa sana
 
Asante nipe madini tafadhali.
Hakuna kitu mbaya kinacho maliza pesa kama kununua vitu vidogo vidogo bila mpangilio,pipi, pombe, vyakula pasi na njaa, kumsaidia tu yoyote bila sababu za msingi, kununua tu viatu ilihali una pea za viatu vingine kama kumi na ni viatu vigumu tu, akili kubeba maoni yasiyo na tija, wewe ni mmoja kati ya wale wanaoamini kujenga ni mpaka uwe na Milion 100.

Jifunze kuweka akiba, tumia pesa ktk mahitaji ya msingi pekee na achana na mambo yasiyo na tija, rejea nyumbani mala tu utokapo kazini ili usiingie kwenye tamaa za Dunia ukiwa mitaani, mtengeneze mke awe mwenye uchungu na familia na maendeleo, akiweza utaona matumizi ya ndani ya elfu 50 per week, badala ya matumizi ya laki mbili per week... Tengeneza miezi yako ya kununua kimoja baada ya kingine, toka nje ya mji tafuta kiwanja nafuu nunua na anza ujenzi taratibu bila kuathili watoto wako swala la chakula na shule, pia hapo kwenye shule, usipeleke watoto kwenye shule ambazo zinakupa umasikini kwa sababu tu unataka watu wakuone umepeleka watoto shule za kulipia pesa nyingi,zenye raha ilihali watoto watakuja kuishi Afrika yenye majeraha yasiyo angalia mtoto alikula mkate shule na kubebwa na Coaster asbh na jioni, naweza kuendelea lakini naamini kwa uchache utakua umejua namaanisha nini.

N.B - mawazo yako yabebe kufanikiwa kimaisha, kutengeneza pesa na vyote unavyo vitaka maishani, utaona vinakuja kimoja kimoja maana utaweka bidii, achana na mambo ya Simba na Yanga huo ni upuuzi mkubwa unaokula muda wa waTanzania wengi mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…