Maisha yangu baada ya miaka 37!

Maisha yangu baada ya miaka 37!

Huo mkopo ndo vituko kabisa sitaki hata kukumbuka. Nilikopa 36m. Hapo Hela ya LOAN BOARD ikakatwa. Nikabakiwa na 20. Ukiniuliza nilichofanya sijui... Iliisha kiutani utani
Hizi m.36 ulizipeleka wapi,Ulizitumiaje?
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Ni kwa sababu huoni. Una macho lkn upo gizani. Watu kama wewe wapo lkn ni rare kwa mtu mwenye elimu. Elimu husaidia kufukuza mapepo ya ujinga. Jicho lako la 3 limezibwa. Sasa naona linaanza kufunguka.
Lingine ni kwamba una pepo la umaskini ambalo hufanya kazi kama laana. Yaani hufifisha nyota.
Unakuwa mtu wa kuamini ili ufanye jambo, hadi uwe na hela nyingi wakato hata buku 10 ulionayo, hujaifanyia kitu cha maana.
Toka kwenye hicho kifungo.
Rahisi kwako ni kurahisisha mishipa ya ubongo. Acha kufanya mishipa ya ubongo kuwa migumu.
Kuwa na macho yanayoona fursa haraka sana.
Fungua jicho lako la 3.
Uwe na uwezo wa kutofautisha kati ya Assets and Liabilities.
Nimekuwa na watu wa karibu kama wewe kwa hiyo naongea kwa experience.
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Uzi wako huu una majibu tosha ya kwa nini hujafanikiwa mpaka sasa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hapo omba mke wako asipate pesa
Akizopata tu umeachwa ndugu.
Ok.
Turudi kwenye mada: Panga chumba na sebule ulipe 60-80 per month.
Hapo utaanza maisha mapya
Usiogope kuchekwa, Mimi nilipooa kodi nililipa 100k per month, nikafulia nikaenda kupanga chumba cha 30 per month tena kwa ugumu. Sasa nimehamia kwangu kidogo naona nafuu ingawa bado napambana.
 
Unalipa Kodi ya nyumba laki tatu kwa mwezi unasema una maisha magumu sisi tunaolipa elfu 30 kwa mwezi mbona hatulalamiki
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo;

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3 m., hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012, hivyo nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne, mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda, sina kiwanja, sina akiba, bado nimepanga, kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na mke siyo mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini bado tunasonga.

7. Mke hana kazi, hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, n.k.

10. Sina gari, niliyoanza nao kazi wana nyumba kubwa na magari mawili, moja la mke.

Nahisi nina mkosi, nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale, ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki tano wametoboa mi nipo nipo tu mpaka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Kitu cha kwanza unachotakiwa kufanya usitumie pesa zaidi ya mapato yako. Lakini jaribu kusoma vitabu vya uchumi I recommend you to read The richest man in Babylon it might help you, pia usione kama umechelewa amini bado muda unao wa kurekebisha ulipokosea.
 
Hapo omba mke wako asipate pesa
Akizopata tu umeachwa ndugu.
Ok.
Turudi kwenye mada: Panga chumba na sebule ulipe 60-80 per month.
Hapo utaanza maisha mapya
Usiogope kuchekwa, Mimi nilipooa kodi nililipa 100k per month, nikafulia nikaenda kupanga chumba cha 30 per month tena kwa ugumu. Sasa nimehamia kwangu kidogo naona nafuu ingawa bado napambana.
Chumba na sebule na ana watoto wanne,ubahili gani wakijinga hivi,mtu ulipwe mshahara milioni ulipie chumba na sebule tu Cha elfu 60,ushidwe ata kuchakata papuchi ya mke wako barabara,kwa mshahara huo nyumba nzuri ungemshauri ya laki na nusu au laki mbili,sio 60 au 80 ,ingekua mikoani uko ndio labda ungesema 80 apate ata vyumba viwili na sebule Ila sio kwa dar
 
Mkosi ni akili yako tu kaka.

Fanya mambo kadhaa muhimu:

1.Kaa na mkeo na mpange budget ya matumizi ya fedha mnayopata…kwenye mshahara wako jitahidi uwe unaweka 10% kama dharura na 5% iwe budget yako ya gambe na matumizi yako binafsi (jipende).

2.Tenga kiasi cha akiba kila mwezi kwa ajili ya kufungua kitega uchumi kingine; anza na wife mwambia anaweza kujishughulisha na nini. Weka malengo ya akiba kiasi gani ya kuweka na kwa muda gani mpaka wife awe na bishara.

3.Wakati unaweka akiba kwa ajili ya biashara ya wife, fanya utafiti wa kina kuhusu hiyo biashara kumbuka kuwa tuna fedha kichele hivyo ni vyema tusiipoteze kwa kutokuwa na uelewa na tunachokifanya.

3.Punguza matumizi yasiyo ya lazima; birtdhay za kifahari, michango isiyo ya lazima, pombe n.k punguza.

4.Wakumbuke wazazi na kuwatunza: Baraka zao zitakufungua sana hutaamini.

5.Usijilinganishe na wengine. Kujilinganisha kutakufanya ukate tamaa na kuona umechelewa.

6.Jitahidi utumie uzazi wa mpango, watoto uliobarikiwa wanatosha.

7.Hakikisha familia nzima mna bima ya afya, gharama za matibabu huwa zinarudisha watu nyuma sana.


Kila la Kheri
Umemshauri vema...kuongezea atafute nyumba ya bei rahisi kidogo maan laki 3 kwa mwezi ni nyingi kwa mshahara wake.
 
Watoto 4, Mke na 300k kodi, gambe kimtindo, hapo balaa, kwa maisha ya kibongo noma hapo bado zile dharula za hapa na pale, Muhimu wife angekuwa naye anapiga mishe ingesaidia sana, bila ya hvyo komaa upate biashara ya maana kwa pesa unayolipwa unaweza kuanzisha kitu kikakutoa zaidi
Usipofanya maamuzi mapema madogo wote wakiwa school ndo shughuli yako imeishia hapo , utapanga for long time ukizingatia age ishaenda mzee, m namjua mtu mzima mmoja hivi anakazi lakini anaishi kwenye chumba na sebure (kapanga) yeye , mke, watoto wake wawili na mmoja wa hao watoto wake nayeye ana mtoto, na jamaa anakaribia 60 sasa hivi, haya mambo yanaogopesha sana kwa sisi vijana maada muda hausimami
 
Mkosi ni akili yako tu kaka.

Fanya mambo kadhaa muhimu:

1.Kaa na mkeo na mpange budget ya matumizi ya fedha mnayopata…kwenye mshahara wako jitahidi uwe unaweka 10% kama dharura na 5% iwe budget yako ya gambe na matumizi yako binafsi (jipende).

2.Tenga kiasi cha akiba kila mwezi kwa ajili ya kufungua kitega uchumi kingine; anza na wife mwambia anaweza kujishughulisha na nini. Weka malengo ya akiba kiasi gani ya kuweka na kwa muda gani mpaka wife awe na bishara.

3.Wakati unaweka akiba kwa ajili ya biashara ya wife, fanya utafiti wa kina kuhusu hiyo biashara kumbuka kuwa tuna fedha kichele hivyo ni vyema tusiipoteze kwa kutokuwa na uelewa na tunachokifanya.

3.Punguza matumizi yasiyo ya lazima; birtdhay za kifahari, michango isiyo ya lazima, pombe n.k punguza.

4.Wakumbuke wazazi na kuwatunza: Baraka zao zitakufungua sana hutaamini.

5.Usijilinganishe na wengine. Kujilinganisha kutakufanya ukate tamaa na kuona umechelewa.

6.Jitahidi utumie uzazi wa mpango, watoto uliobarikiwa wanatosha.

7.Hakikisha familia nzima mna bima ya afya, gharama za matibabu huwa zinarudisha watu nyuma sana.


Kila la Kheri
Uko vzr, najua ameondoka na kitu hapa..
 
Back
Top Bottom