Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Yaani hapo penye kumjua Mungu hapo ndo shetani anapataka hapo sana tu!! tena ukiona ivo huyo mfuate Mungu wake kwa bidiii! ndo MUngu wa kweli alipo, huenda huyo dada angekuwa mchungaji mkubwaaaa sana!

sasa shetani anamchelewesha! mshauri asiache kwenda kusali! aendelee na vyote iko siku Mungu atamtetea utashangaa! huyo dada anakitu lazimaaa!! ukahaba ulikuwepo tangu na kabla ya enzi za Yesu!
Kweli kabisa na shetani hawezi kukupiga vita kama una kitu cha muhimu ndani,nakazia hapo"aendelee kusali pia kama hawezi jizuia kwa kipindi hichi pia aendelee na hizo issue"ipo siku Mungu atamtetea tu.
 
Hii dunia ni ngumu mno. Sijawahi enda popote nikanunua malaya au kumlipa mwabamke ili anipe chakula. Ila ni juzi tu nimekuja kugundua moja kati ya watu niliowahi pita nao anajiuza. Na kunconfirm ikabidi nimcheck kwa Account asiyoijua bila aibu kanitajia mpaka na dau kabisa. Dunia ngumu sana hii.
Ndio iko hivyo Mkuu, hadi wake za watu wengi tu
 
Wakulungw hebu nielekezen namn ya kufika hapo kambi ya fisi nipo mabibo mwisho hapa na leo kun mvua nikapata papuchu itakuwa guhd saan
 
Hivi mwanaume aliye kamilika ki biologia ( i mean it maana wengine wanalepelekewa moto kwa Nyuma , so not included )

Ni kipi kari ya hivi anakuwa anatenda KOSA


1.kujichua (punyeto)
2.kulala na malaya (dada poa )

???
 
Weeengi wana dinya fisi! na papuchi ya fisi ni tamu/ Moto! utajiuliza kwanini fisi! ....ni rafiki wa binadamu sana! huyu ana matumizi mengi ktk Dunia ya kichawi! ikiwa ni pamoja na usafiri wa faster tena bila kuonekana!

Mleta mada akirudi kusimulia nitawapa siri jinsi ya kumkamata Fisi na anakuwa wako kabisaa! maafisa game wengi sana wametajirika ajili ya kuuzia wachawi fisi pori!

ki vipi?? subiri mleta mada anogeshe mambo nikumegee........

Ktk hali ya kawaida ke yeyote! ni wavivu sana kufanya mambo kuliko wanaume!! me yeye anapandisha hashiki haraka mda wowowte kuliko me!!

sasa jiulize ke ataweza vipi kuhudumia umati kiasi cha kupata k2000?? eti kwa siku??

wale wana siri kubwa sana! pale vyumbani kwao kuna maeneo nitawaeleza ukiyavuka/kanyaga na mguu wa kulia hayo! hata km unazindiko lzm utalegea tu.

na kutoa hela zako kwa hiari yooote na ukisha onja papuchi ya fisi tu! huachii sababu uchi wa fisi ni mtamu sana askwambie mtu! pia

ni mnato flani ivi mzuri mzuri, halafu una joto flani hivi! linalo ambatana na mibanano wkt wa mambo! wengi wanaliaga! halafu kuna hili hapa.....

Ambalo wengi wanalipenda sana ...Nyota ya biashara/kazi/pesa/mafanikio ya kiuongozi nk! jibu ni papuchi ya fisi! ukiitumia! hii heee!...lkn sisemi ukatafute fisi awe mpenzi wako la hasha nakupa siri za Dunia!!

Me yeyote humu Ukioa mke mchawi! kubali moja uwe usharika nae!! ukijifanya mjanja ukakataa basi jua tu utakulana na mpenzi fisi weeee! wkt yeye anaenda kuwanga mpka ukome!

kuyajua haya ni rahisi sana lkn mpaka mtu akuuume sikio..........

Huwa una comments ndefu ndefu
 
Nipo hapa kiusa bar sema midi ya kuchakata imekata kabisa , sema na enjoy mechi ya croatia tu hapa 2:1 natamani hiishe hivi hvi
 
Nipo hapa kiusa bar sema midi ya kuchakata imekata kabisa , sema na enjoy mechi ya croatia tu hapa 2:1 natamani hiishe hivi hvi
[emoji23][emoji23][emoji23] ushafika kiwende Boss Mkabala na ofisi za kata ya Kiusa[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo.
Ungeingia mule vyumbani ungeona vitanda viwili. Kimoja Cha mchana na wateja na kingine Cha madam na mteja wake wa mpaka asubuhi. Lakini pia Kuna Karai Lina maji chini ya kitanda, haya maji Ni ya kuosha puchi baada ya game (zamani kabla ya kondom kila mteja akimaliza puchi huoshwa na haya maji, hivyo kadiri muda unavyokwenda maji Yale yaligeuka kuwa uji uji. Ilikua ukijifanya mtoto wa mjini hutaki kulipa baada ya game ulikua unamwagiwa Yale maji yote mwilini. Usiombe hili likukute) siku hizi za kondom pia utakuta Kuna kisado Cha kuhifadhia kondom zilizotumika.
Kuna kijimeza Cha kuwekea kibatari, kondom na toilet paper, kazi ya toilet paper ni ya kumvulia mteja kondom na kujifutia Mara amalizapo kuipiga puchi maji.
Wahaya hawavaagi chupi, huwa wanavaa under skirt tu na hawavui nguo zote. Mteja mwenye haraka ruksa kupanda kitandani na viatu (wale wenye ukame wa siku nyingi mnaelewa)
Watu wote waliokulia mjini miaka 50 and above, ukiondoa Lindi, Singida na Mbeya ambàko kulikua hakuna wahaya, wamepitia kwa wahaya especially baada ya kubalehe.
Wahaya wengi Ni wachafu na hawapendi kabisa uwapige katerero.
Zamani Hawa mabinti utamu walikua hawatoi barabara ya vumbi Ni siku hizi tu baada ya Mambo kua magumu na huu mfumuko wa Bei ndio wanakuuliza unataka uingie wapi.
mpwayungu village malizia mengine.
Bro umeelezea kwa weledi sana mimi nakumbuka kisa cha kuzomewa na watoto nikitoka kwa Wahaya ila hiyo ilikua ni Mwananyamala hosptl
 
Kuna mkuu wa mkoa mmoja mjinga wa mkoa wa Dar alitaka akomeshe biashara ya wahaya kuuza utamu. Yeye pia alikua mhaya.
Nyerere alipata habari kwamba wahaya wote wanarudishwa uhayawani. Nyerere amuiita yule mkuu wa mkoa mpumbavu na kumuuliza.
Ukisha wahamisha Malaya wa kihaya Dar, wale wateja wao utawapa kitu gani mbadala wapoze nyege zao?
Mpuuzi akasitisha zoezi Mara moja.
 
Back
Top Bottom