Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Hahahahaha huyo alifirwa, hujui tena alifanyweje?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Wewe nitakuja pm nikupe jina la huyo anayechukuaga Malaya watatu kwa mpigo. Ni MTU mzima na hupenda kuvaa kizalendo zaidi lakini kingono Hana chembe ya uzalendo.
 
We jamaa umenikumbusha mbali sana aisee Kwa binti kaenga nyuma ya shule ya msingi kawawa ndo mitaa niliyozaliwa kitambo sana aisee.
 
Ni muda sasa weekend moja nipite lambo apo
 
Sinza ukipata katoto kabichi kanataka kuanzia 80k
 
Kuna mkuu wa mkoa mmoja Kanda ya ziwa aliwahi Kununua mbususu Morogoro shida alipoenda alinyonya tits akaja kuamka kalizwa
Ndio ujue Kuna ukweli kwamba Kuna watu wanaingia chumvini. Weeeh. Mwanamke humjui, anaoga au haogi, anaoga na maji taka au maji Safi, wewe unaparamia kunyonya matiti. Kwa mkewe si ndio atazama kabisa.
 
Hii mbona kama promo, huu uzi umeletwa kimkakati mno ila sisi wenye PhD za Cambodia hutuambii kitu! Wewe na generation z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…