Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Fanya kutuma hizo namba pm..wanaume kupasiana inshu kama hizi.

#MaendeleoHayanaChama
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kama brash Mkuup!? Eti mpaka ulie aisee.
 
Akaibiwa na bastola...alivyo mjinga akaripoti polisi kingese..media zikaruka nae
Huyo alikuwa lofa, alikuwa kajulia hela ukubwani na mshamba. Mkuu wa mkoa unaokotezaje malaya hovyo hovyo? Ashukuru tu hakuwa target, vipi kama huyo malaya angekuwa muuaji? Waliokulia shida ndo huwa washamba huku ukubwani. JK hakuwa mshamba kiasi hicho hata alipokuwa Waziri/mkuu wa mkoa
 
Hahahahaaaaaa, umenichekesha sana kubanwa na prize huku chozi likikutoka
 
Huwa ni malaya,kutulia na mtu mmoja hawezi
 
Mkuu umefaidi sana. Halafu inaonekana unakula vitu classic sana.
Kuna moja nilipigaga. Unahisi kama kuna mchanga unakusugua hivi
 
Mie toka mdogo nilikuwa mpenzi wa magazeti na magazeti yote kuanzia habari hadi udaku,ila ni mtoto wa kota ubungo jeshini.wakati nipo azania kuna marafiki zangu wanaoushi hapo mabibo na manzese walikuwa wanaongelea sana ila ndio sikuwa na uwezo wala nafasi.
Mwaka 2005 nilianza kibarua kariakoo kwa siku 3000 na nakaa home ubungo,basi kuna baada ya kushawishika nikawa na make hiyo 1000 au 2000 kwa wiki ili nipite nao jioni lakini saa mbili mbili niwe home.
Nimezungukia tandika,sudani,mwananyamala na buguruni,kwa urasa kigamboni.lakini kutokana na bajeti ndogo ya kuhonga visichana wadogo hawa wahaya walikuwa wanasaidia.
Hebu fikiria 3000 unakula nini,nauli na kuhonga unapata wapi?.
Ila mazense sijawahi pita,kawaida napenda unashuka kwenye gari unafanya kama kunyoosha njia sasa mazense ukishuka unakuta chochoro kwa miaka ile.
Kwa sasa ni ofisa serikalini lakini huwa napendaga kupata update za hayo maeneo ,kigamboni pamenunuliwa hawana vibanda wanafanyia uwanjani wa mpira shule ya makonda.
Buguruni pia pamenunuliwa ila kuna kiupande bado kipo ila ni kama hawana nafasi.
 
Mchati ndio nini Mkuu? Nimekuwa interested kujua kwanini huyu mrembo walimpiga bisu la koromeo
Mchati ni mteja anaenunua Mbususu, kuchetua ni kutoa huduma ya Mbususu. Utamsikia anasema nimepata Mchati naenda kumchetua.
Kuhusu huyo mrembo aliepigwa kisu ni kwamba muda mwingine wanakutana na wateja wakorofi au wezi wanataka kuiba, hivyo wakishindwana ugomvi hutokea. Huwa wana ushirikiano kusaidia kwenye ugomvi na wateja wakorofi ila unakuta wengine hawana maelewano na wenzake hivyo likimpata tatizo hawana habari nae.
 
Mexico City lodge na Korini Hotel ndio zilikuwa sehemu nzuri za kufanyia starehe enzi hizo. Pale Korini hadi live band zilikuwa zinakuja.
 
Shida Yao wanaharaka sana, utaskia humalizi tuuu
 
Mchati ndio nini Mkuu? Nimekuwa interested kujua kwanini huyu mrembo walimpiga bisu la koromeo
Mchati yani mteja anaenunuwa mbususu ,hakukuwa na sababu maalum kwanini alipigwa bisu ila yawezekana ni figisu za biashara au pengine mpenz wake maana wengine wapo kule wanawaume zao hawajui
 
Yes kabisa naye hakuwa na ushirikiano na wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…